nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,678
Kwa mfano mme anaoa mke mwingine kisiri,ilhali alifunga ndoa ya mke mmoja.Mke wa kwanza akigundua anaweza kwenda mahakamani kumshitaki mme ili amlipe fidia? i mean ma milioni ya pesa
Yes inawezekana, hilo ni kosa la madai kwa huku kwetu. Kwa wengine criminal case mfano waarabu.