jaxonwaziri
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 375
- 195
Mkuu, heshima mbele kwa ufutaji huu wa tongo tongo.
Ama baada ya adabu hiyo, mimi nijikite katika muundo, uhalali na upatikanaji (kwa maana ya anuani kamili) ya mabaraza ya usuluhishi kama yanavyotamkwa katika sheria hiyo ya ndoa.
In practical terms: Baraza la Usuluhishi ni nini? (Nina idea linafanya nini kutokana na jina lake), linaundwaje? (How is it formed & what is the composition), linapatikana wapi? Yana Ofisi? (Physical location, nikienda wapi naweza ku-log malalamiko yangu), ratiba zake za kazi (Je, ni Juma tatu hadi ijumaa ama lina msimu wa vikao vyake kama mabaraza ya madiwani?), nini gharama za shauri langu kusikilizwa nao? (How much cost would I incur to have my case deliberated upon), Uhalali wake? (Je lina msajili ama usajili? Nisije nikapata huduma zao ila kufika mahakamani huduma yao ishindwe kutambulika)
Mkuu, niwie radhi, nimeuliza kama vile nataka kwenda kuwaona kesho asubuhi. Utakapojibu, tafadhali jielekeze kwamba muhitaji huduma ya baraza amefunga ndoa ya mke mmoja ya kikristo.
Asante.
Ama baada ya adabu hiyo, mimi nijikite katika muundo, uhalali na upatikanaji (kwa maana ya anuani kamili) ya mabaraza ya usuluhishi kama yanavyotamkwa katika sheria hiyo ya ndoa.
In practical terms: Baraza la Usuluhishi ni nini? (Nina idea linafanya nini kutokana na jina lake), linaundwaje? (How is it formed & what is the composition), linapatikana wapi? Yana Ofisi? (Physical location, nikienda wapi naweza ku-log malalamiko yangu), ratiba zake za kazi (Je, ni Juma tatu hadi ijumaa ama lina msimu wa vikao vyake kama mabaraza ya madiwani?), nini gharama za shauri langu kusikilizwa nao? (How much cost would I incur to have my case deliberated upon), Uhalali wake? (Je lina msajili ama usajili? Nisije nikapata huduma zao ila kufika mahakamani huduma yao ishindwe kutambulika)
Mkuu, niwie radhi, nimeuliza kama vile nataka kwenda kuwaona kesho asubuhi. Utakapojibu, tafadhali jielekeze kwamba muhitaji huduma ya baraza amefunga ndoa ya mke mmoja ya kikristo.
Asante.