Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

Yani huyu mwanamke. Atanikumbuka nimemtowa mbali sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Au angejining'iniza kwa kamba shingoni kutokea darini au kwenye mti mkubwa.
 
Usiandike talaka bila kuthibitisha unachomtuhumu mkeo........

Kama ni muislamu huruhusiwi kufanya hivyo....unatakiwa kuthibitisha hizo tuhuma ukiwa na mashahidi .....

Talaka ina sharti zake haitoki tu kama unavyotoa pesa mfukoni ..nakutakia maamuzi mema na yenye busara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amefumaniwa kala kichapo ndo katomea.hapo ni talaka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
" WEWE ASHURA BINT SHABANI SI MKE WANGU TENA!"
baaaaaaaaaaaaaaaaaas.

Andika tatu
Anjh nne!
Moja yake
Ya pili ya mtaani kwao
Ya tatu ya nguo zake
Ya nne ya kiuno chake!
mambo yasiwe mengi, muda hautoshi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…