Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

Ila nakupa big up sana ulivyoamua kuja jf Ku share na wadau unapunguza mawazo na kuchangamsha akili maana ungetulia tu mwenyewe huku unapanga na kupangua pengine ungekuja kuchukua maamuzi ya ajabu zaidi ya hata hiyo talaka yakakugharimu. Chukulia mfano kichapo ulichompa jana.
Yani huyu mwanamke. Atanikumbuka nimemtowa mbali sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila nakupa big up sana ulivyoamua kuja jf Ku share na wadau unapunguza mawazo na kuchangamsha akili maana ungetulia tu mwenyewe huku unapanga na kupangua pengine ungekuja kuchukua maamuzi ya ajabu zaidi ya hata hiyo talaka yakakugharimu. Chukulia mfano kichapo ulichompa jana.
Au angejining'iniza kwa kamba shingoni kutokea darini au kwenye mti mkubwa.
 
Usiandike talaka bila kuthibitisha unachomtuhumu mkeo........

Kama ni muislamu huruhusiwi kufanya hivyo....unatakiwa kuthibitisha hizo tuhuma ukiwa na mashahidi .....

Talaka ina sharti zake haitoki tu kama unavyotoa pesa mfukoni ..nakutakia maamuzi mema na yenye busara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiandike talaka bila kuthibitisha unachomtuhumu mkeo........

Kama ni muislamu huruhusiwi kufanya hivyo....unatakiwa kuthibitisha hizo tuhuma ukiwa na mashahidi .....

Talaka ina sharti zake haitoki tu kama unavyotoa pesa mfukoni ..nakutakia maamuzi mema na yenye busara

Sent using Jamii Forums mobile app
Amefumaniwa kala kichapo ndo katomea.hapo ni talaka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
" WEWE ASHURA BINT SHABANI SI MKE WANGU TENA!"
baaaaaaaaaaaaaaaaaas.

Andika tatu
Anjh nne!
Moja yake
Ya pili ya mtaani kwao
Ya tatu ya nguo zake
Ya nne ya kiuno chake!
mambo yasiwe mengi, muda hautoshi!
 
Back
Top Bottom