Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
Kama mtu na mume wake wameshindwana, wanafanyaje ili kuachana kisheria bila kujali sheria ya dini?
Mfano kama inawezekana kukubalina kwamba "tunaachana", je wafanye nini ili kutarikiana na kila mmoja kubaki huru kisheria?
Private Inestigator anataka kuvunja Ndoa Yake. hahahahaha