Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

Some men are just so daft.

What if anything happened to her na dunia ya sasa hivi ilivyochafuka?

What if uandike hiyo talaka kwa hiyo mihemko yako afu uje ugundue alidhurika? Utaishije? Moyo wako utauambia nini? Watoto je?

Mwanamme wa kweli anaejielewa anamtafuta mke wake..... anahakikisha yupo salama kwanza halafu anasikiliza sababu za kutolala nyumbani. Obvious ushagundua kidizain flani nakuambia hujielewi.
 
Some men are just so daft.

What if anything happened to her na dunia ya sasa hivi ilivyochafuka?

What if uandike hiyo talaka kwa hiyo mihemko yako afu uje ugundue alidhurika? Utaishije? Moyo wako utauambia nini? Watoto je?

Mwanamme wa kweli anaejielewa anamtafuta mke wake..... anahakikisha yupo salama kwanza halafu anasikiliza sababu za kutolala nyumbani. Obvious ushagundua kidizain flani nakuambia hujielewi.
Mkewangu mfanya biashara ndogondogo jana aliniaga anakwenda Dukani kudai madeni

Lakini alikata chocho kwenda kwa kijana. Nika mfumania

Nilimpa kichapo

Akakimbia hakurudi nyumbani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom