Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Nashukuru kwa majibu yako. Lakini nina swali jingine kama hutajali, nalo ni: hivi kabla ya watu kufunga ndoa, huwa kuna utaratibu wa kuomba na kupewa 'marriage license' inayowapa hao wanandoa watarajiwa rukhsa na uhalali wa kufunga ndoa?
Nauliza tu hivyo kwa sababu kuna nchi zingine ambazo mtu huwezi tu kwenda kufunga ndoa halali bila kupata hiyo leseni ya ndoa.
Tanzania tunao huo utaratibu?
Hakuna huo utaratibu Mkuu Nyani Ngabu.Labda masharti au sifa anazopaswa kuwa nazo anayetaka kufunga ndoa zaweza kutafsirika kama ndiyo leseni yenyewe. Lakini,kwasasa makanisa mbalimbali yana taratibu mbalimbali za ndani kuelekea kufunga ndoa.Pia,zaweza kutafsirika kama leseni. Lakini,kisheria hakuna Mkuu
Last edited by a moderator: