Sheria ya Pasu Kwa Pasu ifutwe Kwa Hoja zifuatazo

Kwani yeye ana nyaraka zipi za kuonyesha ni nyumba yake? Kwanza nyumba siandikishi jina langu Bali la ndugu yangu Ili baadae niseme sikujenga Mimi Bali alijenga Fulani then tulivyoachana ndio ametaka nyumba yake hata kama tumeishi humo maana pesa zilikuwa zake na mwanamke hajawahi changia chochote.
 
Hawawezi kugawa 50/50,hili hata Marekani halipo,
huna hakika na hayo ya Marekani, utapotosha bure...

kasome "community property States" ndo utajua kwamba Marekani zipo sheria kali za pasu kwa pasu... and worse! Mwanamme unaweza kuambiwa utoke mazima kwenye nyumba.

Sheria ya Tanzania inamlinda mwanamme kuliko ya huko Marekani, tatizo mahakama zetu ndio mbovu
 
Community Property Law is not autonomous as you hereby feign savvy. Community Property Law is a presumption, presupposition, or a legal assumption and a general rule, that all properties acquired by spouses during subsistence of their marriage are deemed to be jointly owned. Be it as it may, presumptions can be rebutted and all general rules have exceptions. Even in radical state like California, before issuance of divorce decree courts will make considerations as to whether properties owned by couples were ex ante subject to community property law.

Mahakama haziamui-amui tu kama genge la wanywa kawaha kama ninyi mnavyokomaa kutulazimisha hapa. Hili liko hata kwenye hayo majimbo tisa ya Marekani. Exceptions are, properties under the corpus of prenuptial agreement, properties acquired before marriage, properties like gifts, inheritance, trust-benefits/funds are not subject to Community Property Law. Also, properties acquired through resources and efforts of a single spouse, and properties acquired by spouses individually when they are living apart. For, example a spouse is Military veteran whose most part of his life was spent in military barracks of backwater hell-holes like Afghanistan.

Mahakama haiwezi kugawa tu bila kuwasikiliza wahusika na kufanya upembuzi yakinifu. Nakubali kuna sehemu huko Marekani kunakuwa na shida kubwa, ila mara nyingi matukio haya yanakuwa ya watu maarufu na hutangazwa mno kwenye vyombo vya habari. Ila kiukweli ni matukio ya sehemu ndogo mno ya wanandoa wanaoachana (They are just sporadic and isolated incidents), kwasababu hii sheria iko kwenye majimbo tisa tu. Sehemu nyingine za Marekani inatumika Common Law ya Uingereza.

Halafu acha kujifanya mjuaji, sheria ya Tanzania inamlinda zaidi MWANAMKE kuliko MWANAMUME. Ungekuwa unayafahamu haya fika kama unavyojitanabaisha hapa usingediriki kuandika huu ujinga hata kidogo. Consider these good examples as food for thought, the corpus of marriage law in Tanzania mandates the following:

  • A husband to dutifully maintain a wife through entirety of their marriage, and not vice-versa.
  • A wife can pledge on her husband properties if not properly maintained.
  • Division of properties even when there's a presumption of marriage (Cohabitation with no marriage)
  • Child custody laws explicitly tilts in favour of women than men.

I could give you a mountain of examples, but I face two predicaments, time and your stubbornness.
 
sheria gani iko kwenye majimbo tisa tu ?
Community Property Law is only applicable within 9 American states. If you had bothered reading a little, all these facts wouldn't have been within a domain of your witts.

But like I said earlier, I could have given you a mountain of evidence but you wouldn't be able to comprehend nothing because you're stubborn like a Honey-Badger.
 
Community Property Law is only applicable within 9 American states.
anhaaa, kwa hiyo kumbe ipo huko Marekani sheria ya Community Property law ya pasu kwa pasu kama nilivyosema

nilitaka urudie maneno yangu uyaandike mwenyewe halafu umeze maneno yako potofu

siku nyingine never ever assume kwamba unaweza kuandika kitu kwenye jamvi la maelfu ya watu kutoka kila pembe ya dunia wenye upeo na visomo vya wa kila ngazi halafu ukadhani nobody would bother to check the facts of your cockamamie claims

pasu kwa pasu ipo all over the world
 
Mwanamke inabidi apate zaidi ya nusu endapo mna watoto. Wanaume huwa si watunzaji wa watoto labda wachache sana
 
Kijana kataa ndoa.

Ndoa ni ubadhilifu.

Yeye aweke miguu juu na remote.

Mwisho wa siku ghorofa langu Atake tugawane.

Akwende
 
Community Property Law is a presumption that can be rebutted. If you can't comprehend a meaning of a phrase "presumption of law", then not even the angelic host of heaven can ever make you understand.
 
Nimeisoma kwa kuruka rukia (sijasoma yote) lakini Kuna sehemu hapo nimeona umeandika eti "Mfano, Haiwezekani mtoto alelewe na Mama mwanzo mwisho alafu ATI maamuzi ya jina la mtoto yatoke Kwa Baba kisa alimzaa, huo ni UHUNI. Udhulumaji, ukandamizaji."

Niliposoma hicho kipande magoti yakalegea kabisa
 
Wala hakuna kitu kama hicho kwangu
Hahahahaa unaonekana unamisimamo sanaa safiii kabisaaa
Mabinti wengne hawataki kazi/kujishughulisha wanatumia mpk nguvu za giza kuingia kwenye maisha ya vijana waliosimama kiuchumi kwa kigezo kwamba watapata mali
Hii sheria iwe na mkazo kwelikweli italeta uwajibikaji ukiamua kulala tu nyumban unachart mkiachana utaondoka na simuyako
 
Mwanamke sehemu yeyote akienda hata kama yeye ndiyo mwenye makosa ataonewa huruma si dawati la jinsia ,si mahakamani ,si bakwata si kwa paroko.
Na wana ile tabia yao ya kujiliza liza.., itabidi na wanaume nao waanze kulia lia kama watoto ili kupata huruma, maana mahakama zinaendeshwa kwa hisia badala ya ushahidi misingi ya sheria
 
Haya mambo yenu ya sijui mchango wa mwanamke kwenye ndoa na sheria izingatiwe ni kwa ndoa zenu za kikiristu, kwenye uislam hamna kitu kama hicho.
 
Huo wajb haufanyw na wote kama unavyo generalize.....mana kuna ilivyo na inavyotakiwa kuwa.....
 
Huo wajb haufanyw na wote kama unavyo generalize.....mana kuna ilivyo na inavyotakiwa kuwa.....
Tafadhali usinipachikie maneno, hakuna sehemu yoyote ile nimesema huu wajibu unatimizwa na wote. Nilichosema ni kwamba mahakama itapima na kuzingatia utekelezaji wa majukumu ya nyumbani kama moja ya kigezo.

Ugumu uko wapi ???
 
Haya mambo yenu ya sijui mchango wa mwanamke kwenye ndoa na sheria izingatiwe ni kwa ndoa zenu za kikiristu, kwenye uislam hamna kitu kama hicho.
Hayo ya waislamu na wakristo baki nayo mwenyewe kwasababu hayanihusu. Binafsi kinachonihusu hapa ni sheria za nchi na falsafa yake tu.
 
Watanzania wawe macho na 'Matapeli'

Maadili na tamaduni ngeni mara nyingi, ndizo zenye kuleta tafrani ndani ya Jamii haswa pale Unapo shauriwa kwa hila! Na unapokubali bila kufanya udadisi wa kina.

Ndoa iwe na mkataba kabisa wa maandishi unaoelezea makubaliano ya wanandoa kuanzia jinsi watakavyoishi, namna watakavyolea Watoto, Makosa ambayo hayatavumilika,
???
Sheria za kusema Mwanaume anaowajibu wa kuhudumia familia IFUTWE na isomeke kuwa Wanandoa, yaani Baba na Mama wanayohaki Sawa kuhudumia Familia
??? hiyo Sheria ipo wapi?
Watu wasiohusika na ndoa yenu Kwa kile kiitwacho sijui Dini, sijui Serikali, au Mapokeo ya utamaduni ati wao ndio wawe na mchango mkubwa katika mkataba wenu.
Unachokifanya....(unajihusisha).ndii hayo unayokataza, kwanini?
Na upo ushahidi WA kesi nyingi Mahakamani kuhusu migogoro ya kugawana Mali na mirathi.
Kama taifa kuna haja ya kuzipitia hizi Sheria upya ili kulijenga taifa hili.
Tutajie moja, ipo wapi, Mahakama gani Tanzania, hususani pale hiyo "pasu pasu" ilipotajwa na kutumika kuendesha kesi hizo
Mapenzi na upendo haviongozwi na sheria Ila ndoa lazima iongozwe na Sheria, Kanuni..
Aiseee


Cyber crimes act inasemaje kuhusu vitu kama hivi....yaani Watu au Taasisi kujiamulia kutunga "Sheria" inayowafaa Jamii na kuibandika mtandaoni kama ndio sheria yenyewe.
Aisee
 
Hayo ya waislamu na wakristo baki nayo mwenyewe kwasababu hayanihusu. Binafsi kinachonihusu hapa ni sheria za nchi na falsafa yake tu.
Unapiga maktaimu hapo kijana, issue ya Ndoa ni tofauti na hayo unayosimamia, acha kabisa!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…