Shibuda: Magufuli aliniahidi kunipa mil 5 nikalipe ada ya watoto lkn nilipompinga akanigeuka

Hili jitu huwa la hovyo sana, nafiki halijitambui, halichagui cha kusema na wapi likaseme
 

Huyo ni mchumia tumbo tu sio mtu wa kumuamini!! Siasa alijifunzia kwa KOMANDOO Salmin Amour huko zenj!!! Hana jipya ni chawa Mzee.!
 
Hakusema kwa sababu hakukuwa na kongamano!
 
Ila jamaa lilikuwa kauzu[emoji1787][emoji1787] ukute hata kwa mademu lilikuwa halirembi "reta tigo kama hutaki kwenda"[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah nimecheka sana, eti jamaa lilikuwa kauzu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila jamaa lilikuwa kauzu[emoji1787][emoji1787] ukute hata kwa mademu lilikuwa halirembi "reta tigo kama hutaki kwenda"[emoji1787][emoji1787]
Eti hata hiyo hela sikupi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jiwe alikuwa na roho mbaya sana, na ndiyo maana Mwenyezi Mungu alimtwaa haraka haraka!
Jamaa lilikuwa halina aibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…