Shibuda: Magufuli aliniahidi kunipa mil 5 nikalipe ada ya watoto lkn nilipompinga akanigeuka

A stupid comment by a stupid person
Seems like you are so determined to mark your presence here. Well, we honour your exceptional stupidity and remarkable pride you take in it by consistently reiterating yourself that you are a dimwit.

Now that you have been recognized, why don't you go and find a little corner and play with your stupid self. Adios.....
 
Kwani kuna tabu gani mkinyoosha kuwa alikua na roho mbaya mpaka mjifiche kwenye kivuli cha utani huku wenzenu wanaumizwa?
Zile Milioni alizokuwa anatoa kwa watanzania wanyonge zilitoka mfukoni kwako wee Lofa.
 
pick your struggle elsewhere....
 
Nae hana jipya,angepokea hiyo ml 5 asingesema kamwe
 
Shibuda anajua sana kiswahili. Anatumia misemo na lugha zenye misamiati migumu kufikisha ujumbe. Wengi wanaweza wasimuelewe. Ni Msukuma aliyekielewa kiswahili vizuri sana na hata matamshi yake, huwezi kuamini kwamba ni Msukuma.

Cc FaizaFoxy
Upo sahihi mkuu.
 
Kuingia mitini haimaanishi hatukuwepo, ni "metaphorical" Tulijibanza "nyuma ya miti". Ukitusoma humu utatuona lakini hatukujifaragua kama wakati wa Kikwete au sasa, wakati wa mama. Tunadeka.
Lakini mlimshangilia sana humu 'Bwana yule' alivyoanza kwa kishindo na mkabaki kimya alivyoanza kuwafinya wapinzani ila alipowageukia na nyie wapambanaji wake mkaingia mitini na kuufyata.
 
Kipindi cha utawala wa Magu Jf nimekula ban balaa
 
njaa mbayma sana.
 
Ulitaka aseme magu akiwa hai ili amiminiwe mvua ya risasi kama lissu?

Mtu unamuona kabisa kakaa kinyamelanyamela ujitokeze tu useme.

Haiwezekani lazima uufyate tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…