Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Shein ni mpemba wa Chokocho , njaa , woga kuliko kunguru vinamsumbuwa , mtu na elimu yake ya Phd kaamua kuzifuata nyayo za Lipumba na KabudiAisee nilikuwa cjui haya, 😂 je sheini ni wakuja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shein ni mpemba wa Chokocho , njaa , woga kuliko kunguru vinamsumbuwa , mtu na elimu yake ya Phd kaamua kuzifuata nyayo za Lipumba na KabudiAisee nilikuwa cjui haya, 😂 je sheini ni wakuja?
Asante, mazingira Moro.wameyaharibu sana nashangaa kule milimani bado wanajenga vijumba tuu na huduma za kijamii zinapelekwa.
Kunywa bia pimbi weweNilikuwa kikazi mkoani MOROGORO, nikapita kwa ndungu yangu mafiga iasee, wananchi wa Morogoro municipal wana shida ya maji balaa.
Hasa kipindi hiki cha kuelekea maonyesho ya 88 Hali inakuwa mbaya zaidi, kwani maji mengi wanayapeleka kunyeshea kwenye bustani za mazao mbalimbali kwenye eneo hilo la 88.
Yani week nzima maji yametoka mara tu yani 😤, tena mwenyeji wangu ananiambia hata masaa 2 hayakufika yakakatika.
Viongozi wa mkoa wa Morogoro acheni propaganda wananchi wenu wanaumia, maonesho ya 88, kila mwaka vitu ni vilele tu, watu wameshawazoea hakuna jipya, na hata wakulima wenyewe hawanufaikii kivile, kwasababu kilimo sio maonyesho bali ni shambani.
Pia usumbufu mwingine niliouona ni moshi utokao kwenye kiwanda cha ku-process tubacco, aisee harufu ya moshi wa tobacco ikifika mida ya jioni ni kali sana, mpaka maeno ya SUA huku inafika embu imangini apo means ni karibia mjini mzima, ikifika mida ya jioni wananchi wakiwemo watoto wadogo wamama wajawazito wanavuta moshi mzito wa tumbaku (tobacco).
Viongozi wa mkoa wa Morogoro kuweni na weledi kwenye majukumu yenu ya kazi.
Pia nasikia mbunge abood ametoa basi la maziko, ina maana watu wa Morogoro maitaji yao ni kufa na kuzikwa tu yani 😂.
Wananchi wa Morogoro municipal na viongozi kuweni serious.
Mamlaka ya maji ya moshi na tanga kila mwaka wanabeba tuzo ya utoaji huduma bora na maji ya uhakika bila kukatika katika.Kero nyingine ananiambia huwa idara ya maji wanafungulia upepo mwingi sana [emoji1787] badala ya maji , ivyo kupelekea bill za maji kuwa kubwa sana, Kuna kipindi jamaa , bili ilikuja elfu 74k,
MORUWASA Acheni huu wizi wa kufungulia upepo badala ya maji, hiki kitu nimekiona pia Dodoma, HAta dar wanafanya ivi,
Nikama imekuwa Nika mchezo kao hawa idara za maji,
Sehemu pekee ambako niliona maji hayana shida sana, na safi na salama Kwa kunywa bila kuchemsha ni moshi, hongerani sana idara ya maji ya mkoa wa Moshi (Kilimanjaro) , endeleeni msirudi nyuma [emoji120][emoji1666]
Hizi idara za maji 👉Moshi na Tanga wapewe maua Yao 💐🌻🌼Mamlaka ya maji ya moshi na tanga kila mwaka wanabeba tuzo ya utoaji huduma bora na maji ya uhakika bila kukatika katika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu maji ya boza unakuta wanauza hao watu wa moruwasa. Yani ningekua kiongozi ningewahamisha au kuwafukuza watu wote ofisini nilete wapyaKero nyingine ananiambia huwa idara ya maji wanafungulia upepo mwingi sana [emoji1787] badala ya maji , ivyo kupelekea bill za maji kuwa kubwa sana, Kuna kipindi jamaa , bili ilikuja elfu 74k,
MORUWASA Acheni huu wizi wa kufungulia upepo badala ya maji, hiki kitu nimekiona pia Dodoma, HAta dar wanafanya ivi,
Nikama imekuwa Nika mchezo kao hawa idara za maji,
Sehemu pekee ambako niliona maji hayana shida sana, na safi na salama Kwa kunywa bila kuchemsha ni moshi, hongerani sana idara ya maji ya mkoa wa Moshi (Kilimanjaro) , endeleeni msirudi nyuma [emoji120][emoji1666]
Hayo ndio yanaensa msamvu, kihonda, mafiga, nanenane tubuyu na kwengineko kwenye mini mipya.Morogoro kuna watu wanatumia maji kutoka sehemu mbili, kuna wale ya kutoka milimani na wengine wanatumia kutoka pale mindu,
Maji ya mindu ni magonjwa tupu
Ova
Miaka fulani kwenye utafutaji niliendaga dodoma,kyna sehemu inaitwa segala,aise huko nlikutana na shida na maji balaaIsee we jamaa Kila sehemu bongo unaijua, upewe mau yako hapa JF[emoji253][emoji258][emoji272]