Shida ya Nchi hii sio vyama vya upinzania wala viongozi wa upinzani, shida ni Watanzania hatuna Spirt ya mapambano.

Shida ya Nchi hii sio vyama vya upinzania wala viongozi wa upinzani, shida ni Watanzania hatuna Spirt ya mapambano.

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Bongo madhaifu yetu tunataka kuyaficha au kutupia vyama vya upinzani na viongozi wao kwamba ndio sababu ya upinzani kulegalega. Hii sio kweli hata siku 1.

Ukiiangalia Kenya utagundua mafanikio yao hayajatokana na upinzani bali spirti binafisi ya Wakenya. Wakenya wana personer spirt ya kupambana, sio tu kwenye siasa hata makazini, huwezu ajili Mkenya uka mburuza kama tunavyo buruzwa huku Tz

Loe hii mfano yule Mwana Dada raisi wa Chama cha Mawakili cha Kenya, Law society of Kenya(LSK) anao uwezo wa ku pool watu Barabarani peke yake, Kenya kuna watu wengi wana weza pool watu Barabarabu nje ya vyama vya siasa kitu ambacho Tanzania hakipo kabisa.

Natamani Lisu awe Mwenyekiti wa chama ili baadae tuje tu realiase kwamba shida sio kiongozi bali ni aina ya watu wanao tawaliwa.

Angalia Migomo ya Wafanya kazi Kenya haiishi wanafanya kupokezana, wakitoka Walimu, utasikia Madakitari, Wakitoka Madakaitari utasikia wafanya kazi wa Shirika la ndege la Kenya, wakitoka hao utasikia Madakitari wa intern, mara manesi, mara Ma lecture wa vyuo vikuu.

Sasa niambie Mara ya Mwisho kushuhudia migomo Tanzania hii ni lini? au huku wanalipwa vyema?;Walimu wa Tanzania wanalipwa vizuri sana ndio maana wako kimya? au wanataka wapinzania waandamanie?

Bongo hata aje Malaika kuwa kiongozi wa chama cha Upinzani hataweza faulu chochote kwa sababu ya aina ya watu.

Tunasahau kwamba Upinzani sio Chama bali ni Idelogy, Ideology ambayo inaonekana Wabongo hatuna au iko low sana.

Natamani Lisu ashike usikani tuone pool out ya watu Barabarani, make Barabarani ndio Lugha pekee watawala huielewa ukiachana na kugha ya Lisasi.

Kenya na nchi zingine wana enjoy kiwango cha juu cha Molari ya Raia wao. Kenya Wakina Raial odinga kinacho wabevmba ni Spirti binafisi ta Wakenya.

Sasa tunangoja tuone spirt ya Watanzania Barabarani, kumbuka bila Barabarani hawa CCM hakuna kitu wanaweza badilisha, Kenya wakina Raia ndio siasa wanafanyaga za Barabarani.

Watanzania hatuna Spirt ya kupambana tusidanganyane kabisa.
 
Bongo madhaifu yetu tunataka kuyaficha au kutupia vyama vya upinzani na viongozi wao kwamba ndio sababu ya upinzani kulegalega. Hii sio kweli hata siku 1.

Ukiiangalia Kenya utagundua mafanikio yao hayajatokana na upinzani bali spirti binafisi ya Wakenya. Wakenya wana personer spirt ya kupambana, sio tu kwenye siasa hata makazini, huwezu ajili Mkenya uka mburuza kama tunavyo buruzwa huku Tz

Loe hii mfano yule Mwana Dada raisi wa Chama cha Mawakili cha Kenya, Law society of Kenya(LSK) anao uwezo wa ku pool watu Barabarani peke yake, Kenya kuna watu wengi wana weza pool watu Barabarabu nje ya vyama vya siasa kitu ambacho Tanzania hakipo kabisa.

Natamani Lisu awe Mwenyekiti wa chama ili baadae tuje tu realiase kwamba shida sio kiongozi bali ni aina ya watu wanao tawaliwa.

Angalia Migomo ya Wafanya kazi Kenya haiishi wanafanya kupokezana, wakitoka Walimu, utasikia Madakitari, Wakitoka Madakaitari utasikia wafanya kazi wa Shirika la ndege la Kenya, wakitoka hao utasikia Madakitari wa intern, mara manesi, mara Ma lecture wa vyuo vikuu.

Sasa niambie Mara ya Mwisho kushuhudia migomo Tanzania hii ni lini? au huku wanalipwa vyema?;Walimu wa Tanzania wanalipwa vizuri sana ndio maana wako kimya? au wanataka wapinzania waandamanie?

Bongo hata aje Malaika kuwa kiongozi wa chama cha Upinzani hataweza faulu chochote kwa sababu ya aina ya watu.

Tunasahau kwamba Upinzani sio Chama bali ni Idelogy, Ideology ambayo inaonekana Wabongo hatuna au iko low sana.

Natamani Lisu ashike usikani tuone pool out ya watu Barabarani, make Barabarani ndio Lugha pekee watawala huielewa ukiachana na kugha ya Lisasi.

Kenya na nchi zingine wana enjoy kiwango cha juu cha Molari ya Raia wao. Kenya Wakina Raial odinga kinacho wabevmba ni Spirti binafisi ta Wakenya.

Sasa tunangoja tuone spirt ya Watanzania Barabarani, kumbuka bila Barabarani hawa CCM hakuna kitu wanaweza badilisha, Kenya wakina Raia ndio siasa wanafanyaga za Barabarani.

Watanzania hatuna Spirt ya kupambana tusidanganyane kabisa.
Clap your hands

Tunaishi kwenye jamii ya kanyaga twende, jamii ambayo haiwezi kuchakata fikra chanya na hasi, pia ni jamii ambayo unaweza ukaisafisha ubongo wakafikiri unavyotaka wewe kwavile ni masikini na kukosa elimu, (wavivu wa kufikiri).
 
Siasa za Lissu ni confrotational haziwezi kudumu..na hivyo mtu anayeamini kwa mrengo huo asipopata wafuasi wanaofanana nae unakuwa ndio mwisho wa chochote anachofanya, kwa maana hiyo hawezi kuwa Mwenyekiti wa chama akafanikiwa sababu hao wafuasi wa kufanana nae sio tu CHADEMA hata kwa nchi nzima ni km hawapo, km wapo ni wachache sana..la pili kuwa Mwenyekiti wa chama cha siasa cha upinzani Tanzania si tu kujua kuongea na kuwa na elimu..inahitaji kujitoa sana kwa rasilimali zako mwenyewe pale inahitajika, mkionyesha hata chumba cha darasa moja tu alichojenga Lissu jimboni kwake wakati akiwa mbunge..niko tayari kufuta huu uzi..Lissu hana sifa ya kuchangia maendeleo kwa kutoa rasilimali toka mfukoni kwake, na kuwa Mwenyekiti wa chama upinzani ni kuwa MLEZI pia..hii sifa Lissu hana! Conclusion..pengine atafaa siku za usoni Mungu akimjalia afya! lkn si kwa sasa..!
kuna jambo jingine CHADEMA wanapaswa kufahamu na nadhani wanafahamu lkn wanachukulia poa..kuna kundi kubwa sana la vijana ndani ya chama ni mamluki..lengo lao ni kuleta fujo kuvuruga MAAMUZI..chama kijihadhari sana na maamuzi yanashinikizwa na vijana..lugha za jazba, ushabiki km wa ccm, matusi, kejeli na dharau na fujo zingine, mkiwafahamu watu hawa dawa ni kutojali sana wanachosema..bahati mbaya hawa ndio wanamsapoti Lissu agombee uenyekiti taifa, kwangu mimi bora kubaki 5 ndani ya chama kuliko kuwa na kundi la vijana 1,000 wa aina ya waliopo CHADEMA kwa sasa.
 
Bongo madhaifu yetu tunataka kuyaficha au kutupia vyama vya upinzani na viongozi wao kwamba ndio sababu ya upinzani kulegalega. Hii sio kweli hata siku 1.

Ukiiangalia Kenya utagundua mafanikio yao hayajatokana na upinzani bali spirti binafisi ya Wakenya. Wakenya wana personer spirt ya kupambana, sio tu kwenye siasa hata makazini, huwezu ajili Mkenya uka mburuza kama tunavyo buruzwa huku Tz

Loe hii mfano yule Mwana Dada raisi wa Chama cha Mawakili cha Kenya, Law society of Kenya(LSK) anao uwezo wa ku pool watu Barabarani peke yake, Kenya kuna watu wengi wana weza pool watu Barabarabu nje ya vyama vya siasa kitu ambacho Tanzania hakipo kabisa.

Natamani Lisu awe Mwenyekiti wa chama ili baadae tuje tu realiase kwamba shida sio kiongozi bali ni aina ya watu wanao tawaliwa.

Angalia Migomo ya Wafanya kazi Kenya haiishi wanafanya kupokezana, wakitoka Walimu, utasikia Madakitari, Wakitoka Madakaitari utasikia wafanya kazi wa Shirika la ndege la Kenya, wakitoka hao utasikia Madakitari wa intern, mara manesi, mara Ma lecture wa vyuo vikuu.

Sasa niambie Mara ya Mwisho kushuhudia migomo Tanzania hii ni lini? au huku wanalipwa vyema?;Walimu wa Tanzania wanalipwa vizuri sana ndio maana wako kimya? au wanataka wapinzania waandamanie?

Bongo hata aje Malaika kuwa kiongozi wa chama cha Upinzani hataweza faulu chochote kwa sababu ya aina ya watu.

Tunasahau kwamba Upinzani sio Chama bali ni Idelogy, Ideology ambayo inaonekana Wabongo hatuna au iko low sana.

Natamani Lisu ashike usikani tuone pool out ya watu Barabarani, make Barabarani ndio Lugha pekee watawala huielewa ukiachana na kugha ya Lisasi.

Kenya na nchi zingine wana enjoy kiwango cha juu cha Molari ya Raia wao. Kenya Wakina Raial odinga kinacho wabevmba ni Spirti binafisi ta Wakenya.

Sasa tunangoja tuone spirt ya Watanzania Barabarani, kumbuka bila Barabarani hawa CCM hakuna kitu wanaweza badilisha, Kenya wakina Raia ndio siasa wanafanyaga za Barabarani.

Watanzania hatuna Spirt ya kupambana tusidanganyane kabisa.
Uko sahihi..lkn suala la watanzania kuwa na misimamo ya km Lissu haliwezekani..ukitafakari vzr tofauti tulizo nazo watanzania pamoja na historia yetu, mabadiliko hayawezi kuja kwa kusimama barabarani..zipo njia nyingi na bora kuleta mabadiliko tunayohitaji Tanzania, tatizo ni viongozi wengi wa vyama vya siasa waliopo kwa sasa ni wagumu kufanya homework yao km kiongozi ili kulinda mafanikio yaliyopo na kusonga mbele..kiongozi pekee wa aina hii alikuwa Dkt. Slaa labda kdg na Zitto..tuwahimize kuwa tayari kufanya wajibu wao hasa wa njia za kusonga mbele zaidi..
 
Bongo madhaifu yetu tunataka kuyaficha au kutupia vyama vya upinzani na viongozi wao kwamba ndio sababu ya upinzani kulegalega. Hii sio kweli hata siku 1.

Ukiiangalia Kenya utagundua mafanikio yao hayajatokana na upinzani bali spirti binafisi ya Wakenya. Wakenya wana personer spirt ya kupambana, sio tu kwenye siasa hata makazini, huwezu ajili Mkenya uka mburuza kama tunavyo buruzwa huku Tz

Loe hii mfano yule Mwana Dada raisi wa Chama cha Mawakili cha Kenya, Law society of Kenya(LSK) anao uwezo wa ku pool watu Barabarani peke yake, Kenya kuna watu wengi wana weza pool watu Barabarabu nje ya vyama vya siasa kitu ambacho Tanzania hakipo kabisa.

Natamani Lisu awe Mwenyekiti wa chama ili baadae tuje tu realiase kwamba shida sio kiongozi bali ni aina ya watu wanao tawaliwa.

Angalia Migomo ya Wafanya kazi Kenya haiishi wanafanya kupokezana, wakitoka Walimu, utasikia Madakitari, Wakitoka Madakaitari utasikia wafanya kazi wa Shirika la ndege la Kenya, wakitoka hao utasikia Madakitari wa intern, mara manesi, mara Ma lecture wa vyuo vikuu.

Sasa niambie Mara ya Mwisho kushuhudia migomo Tanzania hii ni lini? au huku wanalipwa vyema?;Walimu wa Tanzania wanalipwa vizuri sana ndio maana wako kimya? au wanataka wapinzania waandamanie?

Bongo hata aje Malaika kuwa kiongozi wa chama cha Upinzani hataweza faulu chochote kwa sababu ya aina ya watu.

Tunasahau kwamba Upinzani sio Chama bali ni Idelogy, Ideology ambayo inaonekana Wabongo hatuna au iko low sana.

Natamani Lisu ashike usikani tuone pool out ya watu Barabarani, make Barabarani ndio Lugha pekee watawala huielewa ukiachana na kugha ya Lisasi.

Kenya na nchi zingine wana enjoy kiwango cha juu cha Molari ya Raia wao. Kenya Wakina Raial odinga kinacho wabevmba ni Spirti binafisi ta Wakenya.

Sasa tunangoja tuone spirt ya Watanzania Barabarani, kumbuka bila Barabarani hawa CCM hakuna kitu wanaweza badilisha, Kenya wakina Raia ndio siasa wanafanyaga za Barabarani.

Watanzania hatuna Spirt ya kupambana tusidanganyane kabisa.
Maadui wakubwa wa taifa hili ni CCM, katiba ya mwaka 1977 na upumbavu
 
Back
Top Bottom