Shida zilipokubana uliwahi kuuza kitu gani kwa bei ya hasara ili ujinasue?

Post hii kaiandika July 24 siku aliyopiga TUKIO asubuhi akiwa anatoka Ofisini SweetPain
 
Kumbe wee ni intake ya 2019? Daaah Dogo kabisaa. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu ni msomi wa Chuo kikuu cha Dodoma.
Bachelor Degree ya Internal Relations.

Ninachoona hapa tabia ni kama ngozi, kuibadilisha ni ishu ngumu sana
Kwao hawamuelewi hadi wanahisi kalogwa sijui, kuna wakati naamini uchawi upo ila sijui kwakweli

nilishamuhisi ila sikutaka chukulia serious past life yake kwa kazi alizonambia kafanya na kwann kaacha

sikua na majibu mazuri nikasema acha nijionee namimi,sasa nmeshagundua hata huko aliacha kwann
 
Hiyo kawaida sana kwenye maisha mkuu. Assets utazipata tena tu
 
Nilikua nauza viwanja wiwili milion2.6 saizi jamaa anataka milion 1.6 nataka nikubal maana sina hata hela
 
Sitasahau nilivyopigiwa cm na kaka yangu kabisa akanipa mchongo wa kazi Tanga wkt huo nipo Arusha

Kwasababu skua na mke wakati huo na kazi ilikua ya muda mrefu na ukizingatia Tanga ndo home
Ikabidi niuze vitu vyote vya ndani kwa bei ya hasara
Kilichofuata kwakifupi kazi nilikosa nikaishia kulala nje kwa bro kwa miezi 6 kwasababu yeye alikua kaoa na chumba ni singo

Kwakweli iliuma Sana
 
Niliwekaga tangazo home nauza nguo zangu na nikawatafuta wadada wale masista duu waliokuwa wanakuja kukodishaga nguo zangu waje tufanye biashara.!!
Mzee alivyorudi akalichana tangazo tulikula mikanda mimi pamoja na wateja wangu, aiseee wazee wa kichaga jau sana 🀣🀣🀣

Ila bila kujua ile ndio ilikuwa hatma yangu, ss hivi nimekuwa winga mzoefu.!! 😹
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Pole Mkuu
 
Sasa kiatu sio ishu
 
Mimi nadhani vitu vipo Kwa Ajili ya kutusaidia pale tunapohitaji kutatua Changamoto,Sasa ulisema huwezi kuuza ndio manake nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…