Shikamoo "Muajemi"; Umeguswa, Umenuka!

Shikamoo "Muajemi"; Umeguswa, Umenuka!

Iran imeandika historia mpya Ulimwenguni kwa kufanya shambulizi la kipekee ambalo halijawahi kushuhudiwa toka dunia iumbwe...

Shambulizi lile litaendelea kutumika ktk mafunzo ya vyuo vya kijeshi vya nchi za Ulimwengu wa kwanza.

Kwa hakika safari hii Iran imetoa salamu za kipekee si kwa Israel tu bali kwa Marekani, Uingereza, Ufaransa na vifaranga vyao vyotee....

Salamu hizo zimezifika vema nchi zote za mashariki ya kati ambazo kamwe hakuna atakaejaribu kufanya ujinga wowote (kutoa anga au ardhi kwa adui) wa kuomba kupelekewa bando la moto wa droni na makombora 300 kwa mpigo.

Pamoja na mkwara mzito wa Biden kuwa Iran akiishambulia Israel, Biden nae atajibu mashambulizi...lakini wanaume wametimiza ahadi ya kushambulia tena shambulio la kihistoria ambalo halijawahi shuhudiwa popote kwenye Ulimwengu huu. Biden kausoma mchezo, kamkanya kijana wake BN kuwa asijibu chochote, kama haikutosha nae Biden katia mpira kwapani!

Btw: Usitegemee kusikia tena Israel karusha jiwe kwenye ardhi (ubalozi) ya Muajemi...hata kwa bahati mbaya
Umemsikiliza waziri wa Vita wa Israel?
 
Israel saivi kapata saizi yake... Iran wapo vizuri tofauti na Hamas au Hezbollah...Ndo mana Marekani wamemshauri atulie kwanza isije ikawa noma hapo Mashariki ya Kati...Ila nae Israel hataki kuonekana dhaifu sababu ana maadui wengi hapo Mash ya Kati...pia kumbuka Israel imeshauwa waarabu wengi tu na waarabu si watu wa kusahau, wanamlia timing tu
 
Ila kwa kweli Irani jana kaonesha kitu amaizing, hajaomba kutumia nchi za jirani kufanya kazi yake, hizo nchi zilishuhudia tu anga inapitishwa silaha kuelekea nchi nyingine. Package ya kitu 300 sio mchezo
utafananisha mtu anaye jitegemea na mtu abaye anasaidiwa.

Israel hana ubavu wa kupigana na Iran hata siku moja.
 
Israel alikuwa anajitapa sana kuwa Iran si chochote na yeye ndio supepawa hapo Middle East akitamba Iran ajaribu aone. Iran kafanya kweli mbona sasa wameufyata?
Sasa hivi Israel inasema oooh hizo drone hazijafanya uharibifu na blaa blaa nyingi.

Cha muhimu kupigwa kapigwa. Kama yeye mwanamke kweli aingie vitani sasa na Iran si alikuwa anaitafuta hiyo opportunities? Mbona keshaipata halafu anapotezea

Alizoea kuwaonea Hamas aende Tehran sasa tuone..

Aibu iliyoje nchi kamili inaombaomba misaada kwa wazungu asaidiwe kila kitu. Na bado kasaidiwa na bado kapigwa dadeki
Amepigwa wapi wewe? Apigwe halafu ligi ya soka ya Israel iendelee leo kama kawaida?

Wakijibu usije kulia lia hapa. Iran mwenyewe kashasema hatashambulia tena labda achokozwe. Wanasema hivyo kwa kuwa wanajua shambulizi walilolifanya limezimwa kirahisi sana, na kwamba wamefeli.

Israel wanaendelea maisha kana kwamba hakuna kilichotokea.
 
utafananisha mtu anaye jitegemea na mtu abaye anasaidiwa.

Israel hana ubavu wa kupigana na Iran hata siku moja.
1000005087.jpg

Israel ubavu kwa Iran hana we kwa mazoez haya ya wairan lazima wayahudi wakimbie
 
Iran imeandika historia mpya Ulimwenguni kwa kufanya shambulizi la kipekee ambalo halijawahi kushuhudiwa toka dunia iumbwe...

Shambulizi lile litaendelea kutumika ktk mafunzo ya vyuo vya kijeshi vya nchi za Ulimwengu wa kwanza.

Kwa hakika safari hii Iran imetoa salamu za kipekee si kwa Israel tu bali kwa Marekani, Uingereza, Ufaransa na vifaranga vyao vyotee....

Salamu hizo zimezifika vema nchi zote za mashariki ya kati ambazo kamwe hakuna atakaejaribu kufanya ujinga wowote (kutoa anga au ardhi kwa adui) wa kuomba kupelekewa bando la moto wa droni na makombora 300 kwa mpigo.

Pamoja na mkwara mzito wa Biden kuwa Iran akiishambulia Israel, Biden nae atajibu mashambulizi...lakini wanaume wametimiza ahadi ya kushambulia tena shambulio la kihistoria ambalo halijawahi shuhudiwa popote kwenye Ulimwengu huu. Biden kausoma mchezo, kamkanya kijana wake BN kuwa asijibu chochote, kama haikutosha nae Biden katia mpira kwapani!

Btw: Usitegemee kusikia tena Israel karusha jiwe kwenye ardhi (ubalozi) ya Muajemi...hata kwa bahati mbaya
Radio Magomeni Mwembechai
 
Israel alikuwa anajitapa sana kuwa Iran si chochote na yeye ndio supepawa hapo Middle East akitamba Iran ajaribu aone. Iran kafanya kweli mbona sasa wameufyata?
Sasa hivi Israel inasema oooh hizo drone hazijafanya uharibifu na blaa blaa nyingi.

Cha muhimu kupigwa kapigwa. Kama yeye mwanamke kweli aingie vitani sasa na Iran si alikuwa anaitafuta hiyo opportunities? Mbona keshaipata halafu anapotezea

Alizoea kuwaonea Hamas aende Tehran sasa tuone..

Aibu iliyoje nchi kamili inaombaomba misaada kwa wazungu asaidiwe kila kitu. Na bado kasaidiwa na bado kapigwa dadeki
Israel kapigika hasaa na wayahudi wengi sana wamekufa na bado wairan wanaendelea na mazoez makali ya kuifuta israel kama picha inavyojieleza

1000005087.jpg
1000005087.jpg
1000005087.jpg
 
Amepigwa wapi wewe? Apigwe halafu ligi ya soka ya Israel iendelee leo kama kawaida?

Wakijibu usije kulia lia hapa. Iran mwenyewe kashasema hatashambulia tena labda achokozwe. Wanasema hivyo kwa kuwa wanajua shambulizi walilolifanya limezimwa kirahisi sana, na kwamba wamefeli.

Israel wanaendelea maisha kana kwamba hakuna kilichotokea.
Iran haijafeli acha uzwazwa.
Iran target yake ilikua ni millitary/airbase za Israel,viwanja ni sehemu ya raia na sio sehemu za kijeshi.
Yani kisa kambi ya gongo la mboto ishambuliwe ndio ligi ya NBC uwanja wa taifa na Chamazi isimame??
Mbona poor reasoning hii!?
Lengo la Iran limefanikiwa na kama sio Jordan,USA kudunguwa zile drone Israel ilikua inapata damage kubwa sana.
Iran imeonesha kuwa ina uwezo wa kuishambulia Israel kutoka kwake Tehran.
Na ndio maana kalenga millitary base ya Israel.
Teyari amesha impose threat kwa Israel,na silaha alizotumia zote za ujazo wa kati na masafa ya kati.
Sasa jiulize angetumia masafa marefu tena guided missiles hivi ingekuaje!?
 
Iran haijafeli acha uzwazwa.
Iran target yake ilikua ni millitary/airbase za Israel,viwanja ni sehemu ya raia na sio sehemu za kijeshi.
Yani kisa kambi ya gongo la mboto ishambuliwe ndio ligi ya NBC uwanja wa taifa na Chamazi isimame??
Mbona poor reasoning hii!?
Lengo la Iran limefanikiwa na kama sio Jordan,USA kudunguwa zile drone Israel ilikua inapata damage kubwa sana.
Iran imeonesha kuwa ina uwezo wa kuishambulia Israel kutoka kwake Tehran.
Na ndio maana kalenga millitary base ya Israel.
Teyari amesha impose threat kwa Israel,na silaha alizotumia zote za ujazo wa kati na masafa ya kati.
Sasa jiulize angetumia masafa marefu tena guided missiles hivi ingekuaje!?
Iran kafeli vibaya sana.

Yaani urushe mamia ya makombora na yasifike kwenye kwenye target halafu useme hajafeli? Iran ina jeshi kama la Mfalme Huihui wa nchi ya Wagagagigikoko siyo? That's total failure.

Kingine, nchi kuvamiwa na bado ikaendelea na ligi hiyo ni kumdharau aliyerusha kombola. Sudan tu hapo ligi imesimamishwa itakuwa hiyo ya kurushiwa makombora zaidi ya 200? Wewe ndo una the poorest reasoning kabisa.
 
Jordan atakuja kua wa kwanza kutiwa kijiti aki endeleza u pimbi
Hayupo wa kumfanya lolote. Amekuwa anawasnitch mara kadhaa na hukuna nchi kwenye Arab League aliyewahi kuizingua.

Misri yenyewe ni snitch, mmeshaifanya nini? Bado Saudia (japo iko mbali) nalo ni lisnitch la kutupwa, mlishalifanya nini? Na ndo kitovu cha dini ya Allah kilipo.
 
Ila kwa kweli Irani jana kaonesha kitu amaizing, hajaomba kutumia nchi za jirani kufanya kazi yake, hizo nchi zilishuhudia tu anga inapitishwa silaha kuelekea nchi nyingine. Package ya kitu 300 sio mchezo
lakini msimpatie kichwa Iran wanamvutia pumuzi angalia iraq ailivyofanywa. yetu macho.
 
Iran kafeli vibaya sana.

Yaani urushe mamia ya makombora na yasifike kwenye kwenye target halafu useme hajafeli? Iran ina jeshi kama la Mfalme Huihui wa nchi ya Wagagagigikoko siyo? That's total failure.

Kingine, nchi kuvamiwa na bado ikaendelea na ligi hiyo ni kumdharau aliyerusha kombola. Sudan tu hapo ligi imesimamishwa itakuwa hiyo ya kurushiwa makombora zaidi ya 200? Wewe ndo una the poorest reasoning kabisa.
UNaonesha kuwa fala tena fala haswa.
Sudan kuna civil war kila eneo kinanuka miji inabomoka risasi zinapigwa mtaani.
Unataka ligi zisisimame!??
Unajionesha kuwa fala.
Iran amelenga Negev tuuuu eneo la airbase hakulenga maeneo ya raia,narudia tena hakulenga maeneo ya raia.
Sudani risasi zinapigwa mitaani maeneo ya raia na risasi zingine zikiwapata raia na kuwaua.
Je uwanja wa mpira ni eneo la jeshi!?
Narudia mfano wangu,Kambi ya Lugalo Kawe ikishambuliwa je ndio ligi ya NBC isimame huko Benjamin Mkapa stadium!?
Iran haijafeli kwasababu imesha impose threat kwa Israel.
Na Israel imekiri na kushukuru kuwa msaada wa Jordan na USA umewaokoa laa sivyo damage ingekua kubwa na yapo makombora yaliyopenya.
KAMA HUWEZI KUTAFAKARI KAA KIMYA KILAZA WEWE.
 
Hayupo wa kumfanya lolote. Amekuwa anawasnitch mara kadhaa na hukuna nchi kwenye Arab League aliyewahi kuizingua.

Misri yenyewe ni snitch, mmeshaifanya nini? Bado Saudia (japo iko mbali) nalo ni lisnitch la kutupwa, mlishalifanya nini? Na ndo kitovu cha dini ya Allah kilipo.
Saudi Arabia anaelewa alichofanywa na Houthi.
Na alionywa kama Jordan ilivyoonywa akaleta ukaidi,Houthi wakawa wanashambulia oil plant zake kila siku na kumtia hasara.
Jordan ajiangalie.
 
Back
Top Bottom