Israel inasema hasara iliyotumika ni kubwa ku intercept ayo makombora ya Ilani...
Hasara iliyopatikana
Iran = $60 Mil
Israel = $ 1.0 Bil
Apo wanasema hawajaweka cost za washira wake US,UK,France na Jordan....
Google uone in intercoptor moja ya Arrow 2&3 ina cost sh ngap??
Ndo maana US hataki hujinga maana anajua Israel hana uwezo wa kuzuia makombora ya Iran na American taxpayers ndo watakao umia... Iran mjanja sana hizi kamikaze zake (drone) ni very cheap $120,000 lakin kombora la kuzuia hizi linaenda mara kumi na zaidi itategemea wapi wametengeneza...So hivi vitakataka anavitumie ili vikuchoshe utumie interceptor missile zako umalize stock yako alafu nyuma anatuma madude cruise missile,Ballistic and hypersonic.....Russia walianza kuishiwa makombora wakawapigia goti wa Iran vikatumwa ivi vidubwasha easy to construct vya Iran ni long range yan kanatoka Dar mpaka Kampala usipokatungua kanakugonga ukikatungua kanakumalizoa makombola yako jiulize kwann Ukraine alipiga kelele sana baada ya Iran kuanza kuwapa Urusi ivi wakati yeye Ukraine alikua anazo Byaktar za Turkye??? Kwann US na EU waliweka vikwazo kwa Iran baada ya kumpa Mrusi ivi vitoi wakati US na wahairika wake waliwapa Ukraine airdefence zakutungua ndege na missile kwann wapigw kelele....Leo Russia akituma mzigo Ukraine anatanguliza Shaheed kamikaze drone za Iran km 40 ivi alafu yanakuja Iskender utasikia Zelensky kua tumetungua Drone za Iran 38 kati ya 40 mbili zimefikia lengo vipi kuhusu Cruise missile na iskander ballistic missile???