Shikamoo "Muajemi"; Umeguswa, Umenuka!

Shikamoo "Muajemi"; Umeguswa, Umenuka!

Ila kwa kweli Irani jana kaonesha kitu amaizing, hajaomba kutumia nchi za jirani kufanya kazi yake, hizo nchi zilishuhudia tu anga inapitishwa silaha kuelekea nchi nyingine. Package ya kitu 300 sio mchezo
Pata taarifa sahihi, shambulizi hilo halijatekelelezwa na Iran peke yake, idadi ya hizo silaha zimechangiwa pia na washirika wake anaowafadhili kama Syria, Yemen na (Iraq?)

Halafu hii siyo mara ya kwanza kwa Israel kushambuliwa na Dola huru katika ardhi yake, Mwaka 1991 alipigwa kama hivi na Iraq lkn Israel haikujibu
Kuhusu urushaji wa hayo makombora, ni kawaida TU kwa sababu umbali kati ya Iran na Israel ni maili 620 sawa na umbali kati ya Tunduma na Dar
 
Us walipewa 72 hours na alichofanya iran alijua wanauwezo nacho ndio maana aliamua kuwakeep busy ili apige target yake. Uislam haufundishi kuuua asiehusika katika vita. So wao walitaka kulipa familia za marehemu kisasi chao kwa kambi iliyolipua watu wao.
Vipi kuhusu Hamas walivyoua raia zaidi ya 1400 pamoja na Watanzania wenzetu wawili huku wakiimba allah wakbar, ?!
 
Israel sasa yupo njia panda...na kikao cha magenerali wa ulinzi kutopata jawabu la nini cha kufanya dhidi ya Iran kinaakisi hilo...Urusi nae amemtetea Iran katika Baraza la Usalama la UN kwa kusema kuwa alichokifanya Iran ni majibu ya alichokifanya Israel katika Ubalozi wa Iran, Dameski...Kwa miaka mingi Israel iliogopeka na waarabu kwa kuaminika kuwa ni wababe wa vita na teknolojia ya hali ya juu...sasa itawabidi wafanye jambo ili asionekane dhaifu...isije wadau wengine wakaendelea kumchokonoa...ila ngoma bado mbichi...
 
Kwanini sasa Israel inataka kurudia kulipiza? changanya na zako ukiambiwa, Iran inasema imetimiza adhima yake kwa mafanikio yote waliyotaka, lengo lao halikuwa kuua raia lakini ilikuwa ni kushambulia base ya IDF iliyotumika kushambulia Damascus consulate building, na moto umeenda kuwaka pale pale on the spot. Israel wameambiwa wajibu kwa vvitendo sio kwa mdomo waone mapigo makubwa zaidi juu yao,

Biden kama ameshatia mpira kwapani kamwambia Netanyahu hatakuwa pamoja naye kwenye mashambulio ya kulipiza kisasi kwa Iran
IMG_20240415_152350.jpg
 
Vipi kuhusu Hamas walivyoua raia zaidi ya 1400 pamoja na Watanzania wenzetu wawili huku wakiimba allah wakbar, ?!
Ndio maana hapo chini nineongelea kisasi quran imefundisha namna bora ya kulipa kisasi

Qurani 2:194 aliyewachokoza mchokozeni kwa kadri alivyowachokoza.

42:42. Malipo ya ubaya huo sawa na ubaya huo

5:45 ....nafsi kwa nafsi

17:33 ..onyo usipite mpaka katika kulipa kisasi.

Kama hamasi kaua raia bila makadirio yuko hatiani au alichokozwa kwa kiwango kipi? Lakini vile vile vita haki kama mmevamiwa katika ardhi yenu na kufuta unyanyasaji
 
Kusema kweli shambulizi hili litakuwa ni moja ya module kwenye course za kijeshi za nchi nyingi tu, na emphasis ya Wakufunzi hao wa kijeshi itakuwa ni "Ni failure ya hali ya juu kurusha missiles takribani 300 kwa adui yako na zote zikasambaratishwa angani kabla hazijafikia targets, ni ujinga wa hali ya juu, na ni jambo la kuonea aibu badala ya kujisifu".
usisahau Hamas wamekuwa wanarusha rocket kwenda Israel back to back since 2014 lkn wao ndo wanaongoza kupiga mayowe
 
Hizo drones zimepotea bure tu
Israel inasema hasara iliyotumika ni kubwa ku intercept ayo makombora ya Ilani...

Hasara iliyopatikana

Iran = $60 Mil
Israel = $ 1.0 Bil
Apo wanasema hawajaweka cost za washira wake US,UK,France na Jordan....
Google uone in intercoptor moja ya Arrow 2&3 ina cost sh ngap??
Ndo maana US hataki hujinga maana anajua Israel hana uwezo wa kuzuia makombora ya Iran na American taxpayers ndo watakao umia... Iran mjanja sana hizi kamikaze zake (drone) ni very cheap $120,000 lakin kombora la kuzuia hizi linaenda mara kumi na zaidi itategemea wapi wametengeneza...So hivi vitakataka anavitumie ili vikuchoshe utumie interceptor missile zako umalize stock yako alafu nyuma anatuma madude cruise missile,Ballistic and hypersonic.....Russia walianza kuishiwa makombora wakawapigia goti wa Iran vikatumwa ivi vidubwasha easy to construct vya Iran ni long range yan kanatoka Dar mpaka Kampala usipokatungua kanakugonga ukikatungua kanakumalizoa makombola yako jiulize kwann Ukraine alipiga kelele sana baada ya Iran kuanza kuwapa Urusi ivi wakati yeye Ukraine alikua anazo Byaktar za Turkye??? Kwann US na EU waliweka vikwazo kwa Iran baada ya kumpa Mrusi ivi vitoi wakati US na wahairika wake waliwapa Ukraine airdefence zakutungua ndege na missile kwann wapigw kelele....Leo Russia akituma mzigo Ukraine anatanguliza Shaheed kamikaze drone za Iran km 40 ivi alafu yanakuja Iskender utasikia Zelensky kua tumetungua Drone za Iran 38 kati ya 40 mbili zimefikia lengo vipi kuhusu Cruise missile na iskander ballistic missile???
 
Iran imeandika historia mpya Ulimwenguni kwa kufanya shambulizi la kipekee ambalo halijawahi kushuhudiwa toka dunia iumbwe.

Shambulizi lile litaendelea kutumika ktk mafunzo ya vyuo vya kijeshi vya nchi za Ulimwengu wa kwanza.

Kwa hakika safari hii Iran imetoa salamu za kipekee si kwa Israel tu bali kwa Marekani, Uingereza, Ufaransa na vifaranga vyao vyotee.

Salamu hizo zimezifika vema nchi zote za mashariki ya kati ambazo kamwe hakuna atakaejaribu kufanya ujinga wowote (kutoa anga au ardhi kwa adui) wa kuomba kupelekewa bando la moto wa droni na makombora 300 kwa mpigo.

Pamoja na mkwara mzito wa Biden kuwa Iran akiishambulia Israel, Biden nae atajibu mashambulizi...lakini wanaume wametimiza ahadi ya kushambulia tena shambulio la kihistoria ambalo halijawahi shuhudiwa popote kwenye Ulimwengu huu. Biden kausoma mchezo, kamkanya kijana wake BN kuwa asijibu chochote, kama haikutosha nae Biden katia mpira kwapani!

Btw: Usitegemee kusikia tena Israel karusha jiwe kwenye ardhi (ubalozi) ya Muajemi...hata kwa bahati mbaya
History inaonyesha ktk vita dunia ya pili, Waarabu wa palestine land walichagua upande wa Hitler ambaye alitaka kuangamiza western civilization na Wayahudi. Matokeo yake walishindwa vita. Mwaka 1948, 1967 na 1973 Waarabu walichagua kuchangamana na Soviet Union, hasimu wa western civilization matokeo yake vita zote walishindwa. Kipindi chetu Iran ameingia kwenye huo mtego wa kuungana na Urusi na Uchina ambao ni mahasimu w western civilization; mbaya zaidi kwa kuwategemea hao, Iran wanataka kulifutilia mbali Taifa la Israel. Waarabu wa Palestine, hasa HAMAS wameachana na Waarabu wenzao na kujiunga na Iran!! Je historia itajirudia?? Yaani Mamullahs wa Iran na Hamas wataendelea kuwepo? Mwaka huu wa 2024 huenda ukatuptia jubu

View: https://youtu.be/dEoVzKyD_IM?si=rrcGX4TGbyvnLxR2
 
Kusema kweli shambulizi hili litakuwa ni moja ya module kwenye course za kijeshi za nchi nyingi tu, na emphasis ya Wakufunzi hao wa kijeshi itakuwa ni "Ni failure ya hali ya juu kurusha missiles takribani 300 kwa adui yako na zote zikasambaratishwa angani kabla hazijafikia targets, ni ujinga wa hali ya juu, na ni jambo la kuonea aibu badala ya kujisifu".
Hypersonic zote zimepiga target.
 
Ndio maana hapo chini nineongelea kisasi quran imefundisha namna bora ya kulipa kisasi

Qurani 2:194 aliyewachokoza mchokozeni kwa kadri alivyowachokoza.

42:42. Malipo ya ubaya huo sawa na ubaya huo

5:45 ....nafsi kwa nafsi

17:33 ..onyo usipite mpaka katika kulipa kisasi.

Kama hamasi kaua raia bila makadirio yuko hatiani au alichokozwa kwa kiwango kipi? Lakini vile vile vita haki kama mmevamiwa katika ardhi yenu na kufuta unyanyasaji
Kwani hii vita ni ya kidini?.
 
.

Ningekuwa mimi ni Waziri mkuu wa Israel, huu ulikuwa ni wakati sahihi wa kurusha kombora juu ya jengo la Al Aqsa na kusingizia Makombora ya 🇮🇷 🇮🇷 yameliharimbu jengo hilo.
Umewaza mbali mno, yaani huu ndiyo ulikuwa muda wa kuipoteza Palestine kwenye uso wa dunia...
 
Kamanda wa Iran amesema waziwazi kwamba Iran haikulenga kuu watu kama wanavyofanya Israel kuua raia wasio na hatia, lengo lao ilikuwa ni kushambulia base ya IDF kambi iliyotumika kushambulia Damascus consulate building kule Syria, na kasema wamefanikiwa asilima 100%, ndio mana Israel ina hofu kwamba Iran aliikusudia ile base yao na kaenda kugonga pale pale.

wewe huna ujualo, wenzako jana vikao vyao hawakupata suluhusho warudishe mashambulizi Iran au watulie kwanza, nchecheipi nchecheipi, Biden kachomoa anasema hatakuwa kwenye operation ya kulipiza kisasi baina Israel na Iran
Yetu macho na bundle maana yajayo ni lawama kwa u.s.a na IDF dhidi ya waarabu
 
Hahaha yani wameleta ndege vifaru na hatimae wameondoka ila jana tu iwe mwisho wa Palestina hii ni zaidi ya comedy
Wameondoka kwenda wapi? 😄😄😄..

Wewe hujui Palestine ni Israel na Israel ni Palestine.?

Kifupi Palestine ni mchungwa wa uani wake Israel, muda wowote chungwa linapodondoka anaokota au anaacha.😄😄😄😄
 
Back
Top Bottom