Shikamoo "Muajemi"; Umeguswa, Umenuka!

Yaani kashindwa ata kuua panya wa Israel πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Kamanda wa Iran amesema waziwazi kwamba Iran haikulenga kuu watu kama wanavyofanya Israel kuua raia wasio na hatia, lengo lao ilikuwa ni kushambulia base ya IDF kambi iliyotumika kushambulia Damascus consulate building kule Syria, na kasema wamefanikiwa asilima 100%, ndio mana Israel ina hofu kwamba Iran aliikusudia ile base yao na kaenda kugonga pale pale.

wewe huna ujualo, wenzako jana vikao vyao hawakupata suluhusho warudishe mashambulizi Iran au watulie kwanza, nchecheipi nchecheipi, Biden kachomoa anasema hatakuwa kwenye operation ya kulipiza kisasi baina Israel na Iran
 
Na mkirudishiwa mapigo mje mjisifu Tena hapa,sio kulia lia kama yule mpwa wenu.
 
Mwenzetu hizi habari unazipata wapi?
 
Acheni uongo bhana hapo wanajipa moyo tu. Kama isingekuwa hao US UK na France na Jordan kusaidia kutungua hizo drones unafikiri wangekuwa wapi.

Huyo Netanyahu mwenyewe aliingia shimoni katoka mchana
Wewe mkewe mlikuwa wote shimoni?
 
Unasema madhara ni makubwa sana, unadai vyombo vinaficha? Ww habari za madhara makubwa unatoa wapi? Source yako ni ipi?
 

View: https://youtu.be/qgwYpAkKczU?si=Tw0RL1WSXV5J4Hu8
 
Amepigwa kivip wakati hata hazijaleta madhara zaidi ya kumjeruhi mtoto mdogo wa kindergarten
 
Iran wameshambulia halafu ligi ya soka ya Israel ikaendelea leo kama kawaida, na kesho tarehe 15 Hapoel atacheza na Maccabi Tel Aviv. Aiseee Israel ina dharau jamani! [emoji23][emoji1787]
Kwani kashambulia uwanja wa mpira ? Alichotaka kuonesha naweza kupiga nnapotaka ndo hio base ilikuwa target na vitus vimefika
 
Kasome historia vizuri. Si mara ya kwanza tangu dunia iumbwe waajemi kushambulia Israel. Miaka ya 580 BC Nebuchadnezzar mfalme aliwafanya kitu mbaya wayahudi. Koreshi, Darius wafalme wa uajemi wbaliwatawala wayahudi. Kinachowauma waajemi ni ile power superpower waliyokuwa nayo enzi za Nebuchadnezzar, Koreshi, Dario na xerxes hawakonayo tena
 
Sasa hajapigwa mbona Israel na marekani wamekubali uwanja wa Jeshi ulishambuliwa ? Wapi Iran Kasema kashambulia watu au uwanja wa mpira ? Mbona Ukraine ligi pia inaendelea au we mpira unaujua wa Israel tu ?
 
Acheni uongo bhana hapo wanajipa moyo tu. Kama isingekuwa hao US UK na France na Jordan kusaidia kutungua hizo drones unafikiri wangekuwa wapi.

Huyo Netanyahu mwenyewe aliingia shimoni katoka mchana
watu wanaujua ukweli kwamba wamesaidiwa ila wanaamua kuonyesha mapenzi Yao wasingesaidiwa Ingekuwa Habari nyingine kwa ule mzigo dron 300 kwa mpigo si mcezo
 
"Ni failure ya hali ya juu kurusha missiles takribani 300 kwa adui yako na zote zikasambaratishwa angani kabla hazijafikia targets, ni ujinga wa hali ya juu, na ni jambo la kuonea aibu badala ya kujisifu".
Samahani, maana huu mfano unaweza usikupendeze sana!

Hiki ulichokisema hapo juu mkongwe hakina tofauti na kitendo cha kuruhusu mwanaume mwenzako akupapase na kuminyaminya makalio yako, baada ya hapo wewe umwambie jamaa kuwa ni mjinga kwa kuwa ameshindwa kumaliza mchezo kwa kukutia kidole. Unashindwa kutambua kuwa kwakuwa umeruhusu kuchezewa makalio yako, basi kutiwa kidole ni suala la muda tu.

Ni mfano tu mkongwe, hii ndio njia nyepesi ya wewe kuelewa uzito na ukubwa wa tukio alilolifanya Iran.
 
Amepigwa kivip wakati hata hazijaleta madhara zaidi ya kumjeruhi mtoto mdogo wa kindergarten
Una amini hicho unachoambiwa? Mtoto mdogo alikua wapi wakati huo usiku wakati watu wote walikua kwenye mahandaki ya kujikinga na mabomu...??Sio kila kitu hua kinasemwa? We unafikiri Israel ikikili kua watu kadhaa wameuliwa raia wake watamuelewa wakati daily wanaandamana atoke madarakani!
 
Na mkirudishiwa mapigo mje mjisifu Tena hapa,sio kulia lia kama yule mpwa wenu.
Sio rahis kiasi hicho... Umbali ni sababu kuu inayofanya vita kua ngumu upande wa Israel...Ndege zake F-15,16 na 35 zote haziwezi fika uko bila kutembea na li Boing C-130 la kuziongezea wese ili ziweze kufika na kuridi... Ukishatumia ndege hiyo Boing ina maana ile stealthness ya F-35 haiyakuepo tena... So only option ni kuomba nchi jiran mfano Bahrain au Azerbaijan ili aweze kuweka ndege zake pale ndo anaweza jarib kufanya mashambulio...Lakini pia Iran ana mifumo yake mingi na tofautitifauti ya ulinzi wa Anga ambayo anatengeneza mwenyewe achilia hizi S-300 PMU za Russia ambazo US/UK/Israel walishaziwezea na kujua madhaifu yake....rejea lile dege lisilo na rubani la US ambalo Iran alilishusha kwa kutumia home made air defence system na US hakuamini....So kuivamia Iran lazima uwe na resources zakutosha maana Iran ni nchi kubwa na mifumo yake mingi ya Ulinzi haitegemei Radar moja unakuta ni Gari moja apoapo ina radar na apoapo ina interceptors missiles so utaharib mangap???
 
Israel imeshaua generals kadhaa wa Iran bila Iran kuua hata Luteni mmoja. Yet mashambilizi ya Iran yakaishia kuzimwa yakiwa angani, aliyetomaswa hapo ni Iran.
 
watu wanaujua ukweli kwamba wamesaidiwa ila wanaamua kuonyesha mapenzi Yao wasingesaidiwa Ingekuwa Habari nyingine kwa ule mzigo dron 300 kwa mpigo si mcezo
Us walipewa 72 hours na alichofanya iran alijua wanauwezo nacho ndio maana aliamua kuwakeep busy ili apige target yake. Uislam haufundishi kuuua asiehusika katika vita. So wao walitaka kulipa familia za marehemu kisasi chao kwa kambi iliyolipua watu wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…