Shikamoo "Muajemi"; Umeguswa, Umenuka!

Wameondoka kwenda wapi? πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„..

Wewe hujui Palestine ni Israel na Israel ni Palestine.?

Kifupi Palestine ni mchungwa wa uani wake Israel, muda wowote chungwa linapodondoka anaokota au anaacha.πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Hahaha mfupa mgumu ule miezi 6 na mbwembwe zimeisha alaf ndio akutane na iran bado sana
 
Hahaha mfupa mgumu ule miezi 6 na mbwembwe zimeisha alaf ndio akutane na iran bado sana
Vita haipo kama mipasho kwamba ukibishiwa na wewe unabisha.....ila uzuri ata wewe unafahamu wakina nani wanalia kunaposikika puuuuh.....

Kama vipi Iran nao waue jeneral wa kiisrael la sivyo hadi sasa ni (Tatu bila).
 
Vita haipo kama mipasho kwamba ukibishiwa na wewe unabisha.....ila uzuri ata wewe unafahamu wakina nani wanalia kunaposikika puuuuh.....

Kama vipi Iran nao waue jeneral wa kiisrael la sivyo hadi sasa ni (Tatu bila).
Umekua jeneral wa iran unawapangia pa kupiga na vya kupiga hongera kijana
 
Umekua jeneral wa iran unawapangia pa kupiga na vya kupiga hongera kijana
Kazi yangu ni kukaa nyuma ya keyboard na kuhesabu Israel katoa roho za wairan wangapi na Iran karusha makombora hewa mangapi kwenda Israel. πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
wayahudi walikua na masaa zaidi ya 6 ya tabu sanaa kuwakuta tangu wavamie palestina mwaka 1948. Unakaa kwenye TV unaoneshwa Live mizinga ipo njiani kutoka Iran unaambiwa inakuja kukuangukia unadhani utakua na amani? Juzi na jana nimeona maelfu ya walowezi wa kiyahudi wakikata ticket Airport kurudi huko walipotoka.
 
Acheni uongo bhana hapo wanajipa moyo tu. Kama isingekuwa hao US UK na France na Jordan kusaidia kutungua hizo drones unafikiri wangekuwa wapi.

Huyo Netanyahu mwenyewe aliingia shimoni katoka mchana
Drones ni danganya toto, drones zimesaidia ku confuse mifumo ya kiulinzi, lengo kuu ni kupiga kambi ya IDF na wamefanikiwa.
 
Mlilenga watu wasife viumie vifaa na silaha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…