Shikamoo ni lazima? Unaninyima nini?

Huu utambulisho wizo sijauelewa vitawi vingi sana 🀣🀣🀣🀣
Asa apo hujaelewa nini wizo, ufukunyuku tuuhh 😹😹😹😹

Sie tumeolewa kwa akina Dokta, mdogo wangu mzaa shangazi yangu kaolewa na mwanae wa tatu 😹

Endelea kubisha tu uniamshe komwe πŸ˜‹πŸ˜‹
 
Salamu ya kidwanzi sana hii,,,,siipendi Habari yako,za asubuh ,za saa hizi, imetoka hiyo uwe mkubwa au mdogo ila shkamoo hapana kwa kweli
 
Asa apo hujaelewa nini wizo, ufukunyuku tuuhh 😹😹😹😹

Sie tumeolewa kwa akina Dokta, mdogo wangu mzaa shangazi yangu kaolewa na mwanae wa tatu 😹

Endelea kubisha tu uniamshe komwe πŸ˜‹πŸ˜‹
Nakubaliana kutokukubaliana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
sala
Salamu ya kidwanzi sana hii,,,,siipendi Habari yako,za asubuh ,za saa hizi, imetoka hiyo uwe mkubwa au mdogo ila shkamoo hapana kwa kweli
Salamu mbaya sana. Mimi sisaliamiagi kabisa, bora tupishane kama masanamu kuliko kutoa shkamOo
 
Nmeshajibiwa hivyo na wazee wawili huku kijijini , eti unataka kujinyima nini madam, mhh. nljiskia vbaya, ila nkaja kuzoea,basi siku hizi nkiwaona sitoi shikamoo tena
😹😹😹😹😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…