Shilingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi kubwa

Shilingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi kubwa

Je, 'factor' ya dollar moja ya kimarekani kuwa sawa na madafu yetu zaidi ya 2,000/ haionyeshi kushuka kwa thamani ya madafu? Nakumbuka tuliwahi kuwa na $1 sawa na madafu 7 enzi fulani. Nini kilitokea tukafika hapa tulipo leo?
Siamini kuwa ni hayo uliyoeleza hapo wewe.
Mkuu nakubaliana nawe sarafu imeshuka
Huyo ndugu kajibu Yes and No, amejichanganya.

sarafu ni medium of exchange ambayo stabilization yake ni indicator ya hali ya uchumi. Ingawa kuna mazingira nchi inaweza kwa makusudi ikashusha thaman ya sarafu yake ili bidhaa zake ziwe cheap. Japan, China, Vietnam ni mifano ya nchi ambazo zinashusha thamani ya sarafu zao kwa makusudi.

Lakini hii ya Tanzania inatokana na factors za nje pamoja na ndani. Nje ni criss ya vita kubwa za Ukraine na Gaza ambako kumefanya suppy ya Nishati ipungue. Sababu za ndani zipo kadhaa ikiwemo BoP deficity iliyochochewa na Dola kutumika katika Ulipaji wa madeni makubwa ya Serikali nje ya nchi, Dola kutumika kununua mitambo na chuma kwa ajiri ya Miradi ya Nyerere Dam, SGR na Madaraja makubwa, na kudumaa kwa sekta za Utalii, Madini na Kilimo (wanasema zinakuwa lakini ukweli ni kuwa zimedumaaa ikilinganishwa potential yake). Sababu nyingine ni kushamiri kwa money rounderling inayotokana na kuongezeka kwa finacial crimes na mismanagement ya uchumi.

Hali hii siyo ngeni, iliwahi tokea mwaka 1980-1996 ambapo hali ilikuwa mbaya kuliko sasa. mfano mwaka 1991-1995 inflation ilipaa hadi 30%.

Aidha, Upo uwezekano hali kuwa mbaya zaidi 2025-2030 kwani serikali imekopa sana na ulipaji wa madeni hayo utakuwa katika peak kipindi hicho. Aidha, kipindi hicho kitakuwa ngwe ya lala salama ambayo mra nyingi ugubikwa na financial crimes za hatari ambazo uchochea inflation, Kumbukeni hali ilivyokuwa miaka ya 1990-95 (Ruksa); 2003-2005; 2012-15.

Mungu awasaidie viongozi wetu walipatie suluhisho hili.
 
Wapi huko, na mie nikauze dola zangu kwa bei hio, usiniambie hawa wabadilishaji wa barabarani ukapata hela
1.00 US Dollar =2,589.7497 Tanzanian Shillings
1 TZS = 0.000386138 USD
 
Sasa tuje kwenye kichekesho. Jana nilikuwa kwenye mwalo moja hapo Ziwa Victoria na sikuamini macho yangu nilipoambiwa kuwa samaki moja aina ya sato ni Tshs. 30,000 karibia bei ya mbuzi wakati miaka mitatu iliyopita samaki wa uzito huo alikuwa akiuzwa kwa Tshs.8,000.
Anaupiga mwingi
 
Kwa kweli shillingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi ya kutisha dhidi ya sarafu nyingine. Ukitaka kujua kuwa shillingi yetu inaporomoka kwa kasi linganisha bei ya bidhaa kwa leo na ulinganishe na miaka mitatu, miwili na hata mwaka mmoja.

Chukua mfano wa nishati ya mafuta. Miaka mitatu iliyopita bei ya dizeli kwa lita moja ilikuwa wastani wa Tshs.1,500 leo hii lita moja ya dizeli ni wastani wa Tshs.3,300. Mfano mwingine chukua sukari. Miaka mitatu iliyopita sukari kilo moja ilikuwa Tshs. 1,300 leo hii kilo moja ya sukari ni Tshs.3,500.

Sasa tuje kwenye kichekesho. Jana nilikuwa kwenye mwalo moja hapo Ziwa Victoria na sikuamini macho yangu nilipoambiwa kuwa samaki moja aina ya sato ni Tshs. 30,000 karibia bei ya mbuzi wakati miaka mitatu iliyopita samaki wa uzito huo alikuwa akiuzwa kwa Tshs.8,000.

Tuna wachumi, tunaelezwa uchumi kwa Mama umepaa na mbona sisi wananchi hatuoni badiliko lolote. Huku kijijini kuna umaskini wa kutisha. Mtu kujaliwa kula balanced diet labda kuwe na harusi au sherehe fulani.

Tuwaulize wachumi wetu, Je uchumi umepaa kwa vigezo gani?.
Wachumi wenyewe kina Mwigulu unatarajia kunakupanda kwa uchumi? Wao ni kukopa na kusema DENI letu STAHIMILIVU
 
Kwa kweli shillingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi ya kutisha dhidi ya sarafu nyingine. Ukitaka kujua kuwa shillingi yetu inaporomoka kwa kasi linganisha bei ya bidhaa kwa leo na ulinganishe na miaka mitatu, miwili na hata mwaka mmoja.

Chukua mfano wa nishati ya mafuta. Miaka mitatu iliyopita bei ya dizeli kwa lita moja ilikuwa wastani wa Tshs.1,500 leo hii lita moja ya dizeli ni wastani wa Tshs.3,300. Mfano mwingine chukua sukari. Miaka mitatu iliyopita sukari kilo moja ilikuwa Tshs. 1,300 leo hii kilo moja ya sukari ni Tshs.3,500.

Sasa tuje kwenye kichekesho. Jana nilikuwa kwenye mwalo moja hapo Ziwa Victoria na sikuamini macho yangu nilipoambiwa kuwa samaki moja aina ya sato ni Tshs. 30,000 karibia bei ya mbuzi wakati miaka mitatu iliyopita samaki wa uzito huo alikuwa akiuzwa kwa Tshs.8,000.

Tuna wachumi, tunaelezwa uchumi kwa Mama umepaa na mbona sisi wananchi hatuoni badiliko lolote. Huku kijijini kuna umaskini wa kutisha. Mtu kujaliwa kula balanced diet labda kuwe na harusi au sherehe fulani.

Tuwaulize wachumi wetu, Je uchumi umepaa kwa vigezo gani?.
Mambo yameharibika sana - jk
 
Kwanza Waziri Wa Fedha hajui kitu jamaa yule ukimsikiliza hata anajibu swali halafu anasema ana PHD jamani sisi tumesoma chuo kama UD lazima ukae darasi ule msoto kweli kweli uandike thesis upeleke jamaa waisome mpaka nukta page zote 100..Uende ukadefend waisome wakuhoji jopo lote lile..Lakini unashangaa mtu ni Waziri kila leo yuko kazini kesho anaitwa Dr flani...

Yaani Hao jamaa unategemea wanajua lolote kuhusu sera za uchumi?? Pili wizi sasa wizi ni wazi wazi hakuna anaejali.
wametusumbua sana kwenye umeme ukiangalia mikopo ni mingi sana hakuna nchi iliendelea kwa kukopa haipoo..
 
Mkuu nakubaliana nawe sarafu imeshuka
Huyo ndugu kajibu Yes and No, amejichanganya.

sarafu ni medium of exchange ambayo stabilization yake ni indicator ya hali ya uchumi. Ingawa kuna mazingira nchi inaweza kwa makusudi ikashusha thaman ya sarafu yake ili bidhaa zake ziwe cheap. Japan, China, Vietnam ni mifano ya nchi ambazo zinashusha thamani ya sarafu zao kwa makusudi.

Lakini hii ya Tanzania inatokana na factors za nje pamoja na ndani. Nje ni criss ya vita kubwa za Ukraine na Gaza ambako kumefanya suppy ya Nishati ipungue. Sababu za ndani zipo kadhaa ikiwemo BoP deficity iliyochochewa na Dola kutumika katika Ulipaji wa madeni makubwa ya Serikali nje ya nchi, Dola kutumika kununua mitambo na chuma kwa ajiri ya Miradi ya Nyerere Dam, SGR na Madaraja makubwa, na kudumaa kwa sekta za Utalii, Madini na Kilimo (wanasema zinakuwa lakini ukweli ni kuwa zimedumaaa ikilinganishwa potential yake). Sababu nyingine ni kushamiri kwa money rounderling inayotokana na kuongezeka kwa finacial crimes na mismanagement ya uchumi.

Hali hii siyo ngeni, iliwahi tokea mwaka 1980-1996 ambapo hali ilikuwa mbaya kuliko sasa. mfano mwaka 1991-1995 inflation ilipaa hadi 30%.

Aidha, Upo uwezekano hali kuwa mbaya zaidi 2025-2030 kwani serikali imekopa sana na ulipaji wa madeni hayo utakuwa katika peak kipindi hicho. Aidha, kipindi hicho kitakuwa ngwe ya lala salama ambayo mra nyingi ugubikwa na financial crimes za hatari ambazo uchochea inflation, Kumbukeni hali ilivyokuwa miaka ya 1990-95 (Ruksa); 2003-2005; 2012-15.

Mungu awasaidie viongozi wetu walipatie suluhisho hili.
Import inflation imeshuka sana duniani bei ya mafuta na gęsi leo sio sawa na hizo sababu unazotaja.

Matter of fact nchi zilizoendelea ambazo inflation zilifika over 11% percent kwa sababu ya vita ya Ukraine Russia (mind you) wengi walikuwa wananunua gas Russia na mafuta. Sasa hivi inflation imeshuka mpaka 3-4% interest set by central banks nazo zinashuka.

Na huko kwao interest rates za central bank zikipanda ni shida kwa sababu watu wengi wana mortgages ambayo ni over 90% of household debt, rates ikipanda na mortgage rates zinapanda, so is credit card rates and consumer credit.

Factors nchi zilizoendelea ambazo kwa uchumi wa Tanzania ni minimal.

Sasa jiulize iwaje huko kwa wazungu central banks za zishushe interests, bei ya nishati ishuke, na inflation ishuke kwa sababu ulizotaja. Wakati sisi wenye minimal impact kwenye global events mwezi uliopita BoT imepandisha rates na inflation ni shida.

Matatizo yetu yana uhusiano mdogo sana na global invents, shida ni ufisadi (which makes hard to control inflation with monetary policies), unqualified people in economic posts, uncontrolled demand of foreign currency kupitia criminal activities.

Kwa kifupi nchi inahitaji kutafuta watu wenye uwezo wa kuongoza kuanzia usalama wa taifa. I have met a couple of Tanzania intelligent officers hawana uwezo.
 
Kwanza Waziri Wa Fedha hajui kitu jamaa yule ukimsikiliza hata anajibu swali halafu anasema ana PHD jamani sisi tumesoma chuo kama UD lazima ukae darasi ule msoto kweli kweli uandike thesis upeleke jamaa waisome mpaka nukta page zote 100..Uende ukadefend waisome wakuhoji jopo lote lile..Lakini unashangaa mtu ni Waziri kila leo yuko kazini kesho anaitwa Dr flani...

Yaani Hao jamaa unategemea wanajua lolote kuhusu sera za uchumi?? Pili wizi sasa wizi ni wazi wazi hakuna anaejali.
wametusumbua sana kwenye umeme ukiangalia mikopo ni mingi sana hakuna nchi iliendelea kwa kukopa haipoo..
Mkuu nakuunga mkono
DPM, JOffo na huyu Msingida PhD zao ni za mashaka

Hawajawahi onekana wakiwasilisha proposal, data collection na wala presentation za progress zao haijulikani walikuwa wanafanyia wapi na lini. wakati kigezo cha kupata PhD ni uwazi katika kila stage. Kwenye nchi za watu walio makini na elimu ukiwasilisha proposal inabandikwa kwenye mbao za matangazo na chuo kizima wanaalikwa kuja kukusikiliza. Ziku ya defense mwezi mmoja kabla unatangazwa kwenye mbao za matangazo, website, wizara ya elimu na vyuo vya jirani. Aidha, 75% wasahishaji wa final wanatoka nje ya chuo. ni uwazi kwa kwenda mbele.

Hapa kwetu Waliopewa jukumu la kusimamia Elimu ndio vinara ya kuua elimu.
Katika hali ya kawaida ni vigumu sana kwa mbunge, waziri au mtu aliye katika majukumu tight kukamaliza PhD ndani ya 3yrs, only in Africa.

Mungu atuongoze
 
Import inflation imeshuka sana duniani bei ya mafuta na gęsi leo sio sawa na hizo sababu unazotaja.

Matter of fact nchi zilizoendelea ambazo inflation zilifika over 11% percent kwa sababu ya vita ya Ukraine Russia (mind you) wengi walikuwa wananunua gas Russia na mafuta. Sasa hivi inflation imeshuka mpaka 3-4% interest set by central banks nazo zinashuka.

Na huko kwao interest rates za central bank zikipanda ni shida kwa sababu watu wengi wana mortgages ambayo ni over 90% of household debt, rates ikipanda na mortgage rates zinapanda, so is credit card rates and consumer credit.

Factors nchi zilizoendelea ambazo kwa uchumi wa Tanzania ni minimal.

Sasa jiulize iwaje huko kwa wazungu central banks za zishushe interests, bei ya nishati ishuke, na inflation ishuke kwa sababu ulizotaja. Wakati sisi wenye minimal impact kwenye global events mwezi uliopita BoT imepandisha rates na inflation ni shida.

Matatizo yetu yana uhusiano mdogo sana na global invents, shida ni ufisadi (which makes hard to control inflation with monetary policies), unqualified people in economic posts, uncontrolled demand of foreign currency kupitia criminal activities.

Kwa kifupi nchi inahitaji kutafuta watu wenye uwezo wa kuongoza kuanzia usalama wa taifa. I have met a couple of Tanzania intelligent officers hawana uwezo.
Mkuu sikatai kuwa ufisadi ni kigezo na wala mimi siyo mtetezi wa serikali

Lakini pia ni sahihi kuwa vita imesababisha economic crisis katika nchi mbalimbali hasa Europe.
Kwa sababu uchumi wetu ni tegemzi tumeathirika na tutaendelea kuathirika, mfano bei ya nishati imepanda dunia nzima chanzo ni vita. Supply ya ngano imeshuka kisa vita. gharama za maritime logistics zimepanda kisa vita ya Gaza n.k
Kitu pekee ambacho najiuliza tumefaidika vipi na vita. kwani kuna nchi uwa zinachanua kutokana na vita. Mfano North Korea kwa sasa wamekuwa supplier wakuu wa silaa kwa Urusi hali iliyopanua employment na exports. Waafrica tulipaswa kuwa supplier wa ngano, vyakura LNG na makaa ya mawe lakini tumelala dooo, usingizi wa pono.

Pia ni kweli ulipaji wa Madeni ya nje, Miradi mikubwa Tz nayo imechochea crisis nchini kwa kusababusha dola iadimike, hii ni fact. swali ni kwa nini tunakopa sana? na kwanini chuma ya mchuchuma na liganga imekwama kiasi cha kuagiza chuma nje?

nakubaliana na conclusion yako, tunapaswa kubadilika na kuwa na approach chanya. Tangu tupate uhuru tumefanya makosa mengi makubwa ya kisera na kimaamuzi ambayo yanatugharimu hadi sana na ndio chanzo cha umasikini. Upeo mdogo wa watendaji, financial crimes, miscalculation na leadership feilure ndio sababu za kuu za umasikini wetu. Wanaojua hawatakiwi na wasiojua ndio madereva.

Mungu atupe mwanga
 
Kwa kweli shillingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi ya kutisha dhidi ya sarafu nyingine. Ukitaka kujua kuwa shillingi yetu inaporomoka kwa kasi linganisha bei ya bidhaa kwa leo na ulinganishe na miaka mitatu, miwili na hata mwaka mmoja.

Chukua mfano wa nishati ya mafuta. Miaka mitatu iliyopita bei ya dizeli kwa lita moja ilikuwa wastani wa Tshs.1,500 leo hii lita moja ya dizeli ni wastani wa Tshs.3,300. Mfano mwingine chukua sukari. Miaka mitatu iliyopita sukari kilo moja ilikuwa Tshs. 1,300 leo hii kilo moja ya sukari ni Tshs.3,500.

Sasa tuje kwenye kichekesho. Jana nilikuwa kwenye mwalo moja hapo Ziwa Victoria na sikuamini macho yangu nilipoambiwa kuwa samaki moja aina ya sato ni Tshs. 30,000 karibia bei ya mbuzi wakati miaka mitatu iliyopita samaki wa uzito huo alikuwa akiuzwa kwa Tshs.8,000.

Tuna wachumi, tunaelezwa uchumi kwa Mama umepaa na mbona sisi wananchi hatuoni badiliko lolote. Huku kijijini kuna umaskini wa kutisha. Mtu kujaliwa kula balanced diet labda kuwe na harusi au sherehe fulani.

Tuwaulize wachumi wetu, Je uchumi umepaa kwa vigezo gani?.
Una maana ya wachumi akina mwigulu hawa? Duu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Licha ya sarafu kupanda lakin nchi yetu imekosa dira na usimamizi wa dira yenyewe
..wengi wa Vijana tuna maarifa makubwa sana kuisaidia nchi yetu na tuna uzalendo kutoka ndani mioyo yetu kuipambania nchi yetu.
Tulisoma kwa bidii sana tukiamini kwamba tutaisadia nchi yetu kwenye maendeleo na kuweka dira na misingi kwa vizazi Hadi vizazi

Bahati haikuwa upande wetu, tulipigwa vita! Hakuna kazi utapewa ukionekana ulikuwa unafanya vizur darasani..

Wengi wa Vijana wenye maarifa na akili wananyimwa kazi tena kwa makusudi kabisa..

Nchi inahitaji kushikana na kushirikiana na kuhamasishana uzalendo kwa kila raia..

Tuipende Tanzania yetu, Japo tunaumizwa na Hali ilivyo lakin ni kilio Cha samaki machozi yanaishia baharini

Tuangalia hata mifano ya mataifa yaliyoendelea namna sera zao zilivyo
Labda USA, UK, ISRAEL, FRANCE

Change the Education Policy we change the Nation
Very very poor education policy.....
Tanzania ya viwanda bila Elimu haiwezekan

Chomeni moto mavitabu yoote yanayotumika sasa tuanze kuisuka upya namna Elimu yetu tunataka iwe
 
Mkuu sikatai kuwa ufisadi ni kigezo na wala mimi siyo mtetezi wa serikali

Lakini pia ni sahihi kuwa vita imesababisha economic crisis katika nchi mbalimbali hasa Europe.
Kwa sababu uchumi wetu ni tegemzi tumeathirika na tutaendelea kuathirika, mfano bei ya nishati imepanda dunia nzima chanzo ni vita. Supply ya ngano imeshuka kisa vita. gharama za maritime logistics zimepanda kisa vita ya Gaza n.k
Kitu pekee ambacho najiuliza tumefaidika vipi na vita. kwani kuna nchi uwa zinachanua kutokana na vita. Mfano North Korea kwa sasa wamekuwa supplier wakuu wa silaa kwa Urusi hali iliyopanua employment na exports. Waafrica tulipaswa kuwa supplier wa ngano, vyakura LNG na makaa ya mawe lakini tumelala dooo, usingizi wa pono.

Pia ni kweli ulipaji wa Madeni ya nje, Miradi mikubwa Tz nayo imechochea crisis nchini kwa kusababusha dola iadimike, hii ni fact. swali ni kwa nini tunakopa sana? na kwanini chuma ya mchuchuma na liganga imekwama kiasi cha kuagiza chuma nje?

nakubaliana na conclusion yako, tunapaswa kubadilika na kuwa na approach chanya. Tangu tupate uhuru tumefanya makosa mengi makubwa ya kisera na kimaamuzi ambayo yanatugharimu hadi sana na ndio chanzo cha umasikini. Upeo mdogo wa watendaji, financial crimes, miscalculation na leadership feilure ndio sababu za kuu za umasikini wetu. Wanaojua hawatakiwi na wasiojua ndio madereva.

Mungu atupe mwanga
I concur with you are conclusion but disagree with your arguments leading to it.

Hayo matukio ya kimataifa sio inflation factor kwa sasa duniani bei ya nishati kwenye soko la kimataifa imeshuka sana.

Njia yenye shida kwa sasa na risks zimepungua ilikuwa ni kuelekea ‘Suez Canal’ ndio inapitia Yemen na bidhaa nyingi zinazopita hapo ni kutokea Asia kuelekea west.

Tanzania asilimia kubwa ya Mafuta yanatoka India it has nothing to with that route, Bidhaa kutoka China it has nothing to do with that route.

Waliosabsbisha bidhaa ya nishati kupanda kwasababu ya vita vya Russia na Ukraine ni Europe kwa sababu walikuwa heavily dependant wa nishati kutoka Russia. Sanctions zao kwa Russia na kutafuta masoko mengine yalisababisha bei kupanda.

Hao watu sasa hivi wako stable bei ya nishati imeshuka kwa sababu kadhaa increased global production na kununua nishati za Russia kwa mgongo wa nyuma.

Vita ya Ukraine pamoja na middle east conflict ilisababisha inflation kufika above 10%, targets zao ni 2-3.%, sasa hivi wamesha stabilise mambo inflation imeshuka mpaka 3..5.%.

Sasa inflation ilipokuwa tatizo kwao (above 10%) monetary policy wayotumia ni kuongeza interest rate kupunguza demand, hiyo nayo ina madhara kwa nchi ambayo watu wengi wanalipa mortgages (90% ya madeni ya watu binafsi) maana yake wanalipa zaidi kwenye mortgage na kupungiwa na hela ya matumizi mengine na kupelekea uzalishaji au demand bidhaa na services nyingine kushuka.

Sasa wakati wao inflation inashuka kwa hatua walizochukua, interest bank inashusha, na bidhaa za nishati kushuka duniani. Kwetu ndio kwanza BoT inapandisha interest rates na inflation rate ni shida, maana yake hayo ni matatizo yetu ya uchumi wa ndani na kisera it has nothing to do with global events.
 
Back
Top Bottom