Shilingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi kubwa

Shilingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi kubwa

Sukari gani ambayo kilo ilikua 1300? Hata wakati wa Kikwete ilikua 1800, tatizo lenu wengi humu hamna majukumu ngumu hata kujua bidhaa zilikuwa zinauzwaje miaka kadhaa iliopita.
2005 nimenunua sukari kilo Tshs 500, debe la mahindi sh 3000
 
kwa upepo huu wa umasikini ndani ya miaka mitano ijayo 1usd itakuwa zaidi 3000tsh
Screenshot_2024-05-04-17-19-08-833_com.android.chrome.jpg
 
Hivi, waziri wa fedha si mchumi namba moja Tena dakitari? Makamu wa rais naye si mchumi Tena dakitari? Wanashindwane kuunganisha bongo zao wakatoka na suluhu la anguko la shilingi? Au hawana group discussion huko juu ni kila mtu na karai lake la maji ya baridi ya kuloweka miguu ili asisinzie?
Hebu wawaitishe kina Lipumba na wachumi wengine wafanye group discussion huenda wakapata suluhu waache ubinafsi.
 
Sarafu iko sawa haishuki kwa kazi kiivyo. Bei za bedhaa zimepanda dunia nzima, watu tnaongezeka, na mahitaji yanaongezeka. Malighafi zinapanda bei, gharama za uzalishaji zinaongezeka hivyo bei ya mlaji itaongezeka tu.
Tunaagiza kutoka nje kwa wingi kuliko tunavyouza nje, hivyo tunatumia pesa za kigeni nyingi kununua nje kuliko kiasi tunachoingiza kwa kuuza nje. Haya sasa kuna vita, na wahusika wakuu ni wale wanao tusaidia kila siku, hivyo na misaada inapungua, yani hatupati subsidies kutoka serikalini au donor countries hivyo tuna ona kila kitu kiko juu.
Thamani ya pesa ina factor nyingi sana.
Kwanini thamani ya Tsh ishuke thamani kwa kasi ivi dhidi ya Shilingi ya Uganda na Kenya.? Je wao hawajaathirika na vita?
 
Kwa kweli shillingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi ya kutisha dhidi ya sarafu nyingine. Ukitaka kujua kuwa shillingi yetu inaporomoka kwa kasi linganisha bei ya bidhaa kwa leo na ulinganishe na miaka mitatu, miwili na hata mwaka mmoja.

Chukua mfano wa nishati ya mafuta. Miaka mitatu iliyopita bei ya dizeli kwa lita moja ilikuwa wastani wa Tshs.1,500 leo hii lita moja ya dizeli ni wastani wa Tshs.3,300. Mfano mwingine chukua sukari. Miaka mitatu iliyopita sukari kilo moja ilikuwa Tshs. 1,300 leo hii kilo moja ya sukari ni Tshs.3,500.

Sasa tuje kwenye kichekesho. Jana nilikuwa kwenye mwalo moja hapo Ziwa Victoria na sikuamini macho yangu nilipoambiwa kuwa samaki moja aina ya sato ni Tshs. 30,000 karibia bei ya mbuzi wakati miaka mitatu iliyopita samaki wa uzito huo alikuwa akiuzwa kwa Tshs.8,000.

Tuna wachumi, tunaelezwa uchumi kwa Mama umepaa na mbona sisi wananchi hatuoni badiliko lolote. Huku kijijini kuna umaskini wa kutisha. Mtu kujaliwa kula balanced diet labda kuwe na harusi au sherehe fulani.

Tuwaulize wachumi wetu, Je uchumi umepaa kwa vigezo gani?.
Harafu kuna kenge wao hasira zao, badala wazielekeze kwa samia na ccm yake, wao wanawashwa wakiona Lisu, anamwaga madini kuhusu ma ccm
 
Mkuu 'halongbay', umetiririka hasa kwenye bandiko lako lote nililolisoma kwa makini sana.

Hicho kipande nilichokinyanyua hapo juu, mi nadhani ndipo viongozi wetu wanapopotezea umakini wao, na badala yake wanahangaika na maswala yasiyokuwa na umuhimu mkubwa kwa maendeleo ya nchi yetu. Hizi 'potential' unazozizungumzia hapa ndizo zingetuinua zaidi na kwa haraka kama mkazo ungewekwa huko. Kilimo, kwa mfano, asili mia zaidi ya 60 ya wananchi wetu wapo kwenye shughuli hiyo. Kuinukakwa hali ya maisha ya watu hawa, ndiko kuleta maendeleo ndani ya nchi haraka zaidi.
Mkuu Kalama nakuunga mkono
Tanzania ina potential ya kufanya mapinduzi makubwa ya kiuchumi katika muda mfupi ila hatuna know how. Tunachezea fursa katika utalii, kilimo, energy security n.k
Shida kubwa tuliyonayo ni maamuzi mabovu, poor political will, upeo mdogo wa watendaji, rushwa iliyokithiri na total failure ya oversight and accountability machinery.

Unakuta 80 % ya Mawaziro ni zero brain, 90% Makatibuu wakuuu vilaza wa kufa mtu, wakurugenzo ndio uozo kabisa, madiwani darasa la saba, wakuu wa wilaya na mikoa ni wale ambao zamani walikuwa matapeli town na wengine machangudoa kabisa town, wabunge ndio kina Dr msukumaa na Lusindeee, Ma DEED wanaokotwa tu vichochoroni. Ilibaki kidogo mkwere awape ubunge na uwaziri steeev, uwoya na sepengaa. Huyu aliyepo kagawa uongozi kwa mamis kama hana akili nzuri. Kwa mwelekeo wetu usishangae mwinjakooo au gigy money wakawa maDEED au DC. Katika mazingira haya tutaweza kweli kutengeneza sera au mipango stahili? tutawezaje kufanya maamuzi sahihi na kwa wakati stahili? tutawezaje kusimamia accountability? tuwezaje kubuni na kusimamia miradi ipasavyo. Yaani katibu Mkuuu hawezi kusoma wala kutafsiri ripoti hali inatisha.... tunaelekea gizani kwa kasi ya ajabu.
 
Papuchi uwanja wa fisi ilikuwa 3k saiv bila 5k ujalamba bado, chumba chake ndom yake
 
Mnapokuwa na Waziri wa Fedha anapozungumza hata humfahamu, unatarajia nini?
 
Sio kweli mkuu unaendelea kujenga sababu hela umekopa na ukizembea bei inapanda juu zaidi ya hapo ilipo
Kuishi Tz ni Kama drama hivi yaani sisi wananchi ndio mtaji wa serikali kwa sehemu fulani hivi yaani pamoja na kuwa na
Mbuga
Migodi
Bahari/Bandari
Lakini bado wananchi ndio pato lenyewe. Wananchi wanahela.
Mtumishi wa umma Tz analipa kodi kubwa wakati mwingine Sawa na wafanyabiashara wakubwa wakubwa. Hii yote ni katika kuimarisha uchumi wa nchi
 
Halafu wanaumbuku walipata kichaka cha kuficha madhaifu yao kwa kisingizio vita ya Urusi, kipo wapi?
 
Shida kubwa tuliyonayo ni maamuzi mabovu, poor political will, upeo mdogo wa watendaji, rushwa iliyokithiri na total failure ya oversight and accountability machinery.
Nakusoma vizuri sana mkuu.
Miaka kadhaa tulikuwa na lengo la 2025 kuwa tumefikia mahali fulani katika malengo ya maendeleo tuliyokuwa tumejiwekea. Hili lilikuwa linatajwa sana kila sehemu. Sasa 2025 ndiyo hiyo imeingia, na husikii mtu akitaja tumefikia wapi katika malengo yetu. Lugha imebadilika, malengo hayo hayo tunayahamishia 2050.
Najuwa kwa mwendo huu tunaokwenda, hasa na huyu mwana mama asiyejuwa kitu kabisa, sishangai kama wakati huo tutakuwa tumerudi kinyumenyume zaidi ya hapa tulipo.

'Oversight and accountabilit'y ni maneno yasiyokuwa na maana yoyote kwa huyu kiongozi; lakini hapo hapo anakimbilia kutafuta matapeli kwa jina la wawekezaji toka nje waje hapa wavune bila kubughudhiwa! Yeye uamini wake ni kuwa hawa ndio watakaoleta maendeleo Tanzania, badala ya waTanzania wenyewe kufanya hivyo.
Hata kupanda misitu, wananchi wetu wafaidike na 'Carbon Credits', yeye anakwenda kutafuta waarabu wa UAE, wanashikilia ardhi yetu na kuwanufaisha wao kuliko sisi wenyewe. Viongozi wa aina hii inafaa kuwajibishwa kwa sababu wanaihujumu nchi.
 
Bei zilianza kubadilika kwa kasi sana tangu awamu ya 5, awamu ya 3 na 4 kasi yake ilikuwa ndogo kuliko 5 na 6.
Awamu ya 5 bei zilikuwa juu kwa sababu rais alitaka tujitegemee kwa mapato ya ndani.
Awamu ya 6 vitu vipo juu kwasababu ya myumbo wa uchumi duniani kutokana na vita za Ukraine vs Russia na zile zinazoendelea mashariki ya kati.
Haa hiyo awamu ya 5 inaonyesha ulikuwa umeipania kweli ya 6..naona umeitetea kweli kwa external factor. Lakini amna awam ya hivyo kama hii 6
 
Sisi tuna export malighafi tena kidogo, wao wana export finished product kwa wingi. Import/Export ratio. Wao wanatechnologia wanazalisha ndani zaidi, na ziada wanagawa nje, sisis technologia hatuna, tunazalisha kidogo, ili kukidhi mahitaji yetu ya ndani tunaagiza kutoka nje. Tunaponunua kutoka nje tunatumia pesa za kigeni.

Kumbuka Dollar ni moja ya sarafu zinazutumika kama sarafu za biashara kimataifa, bila kusahau Swiss Franc, Japaneese YEN, British Pound, pesa ya kijerumani, kifaransa na Italiano.

Madafu yetu hayawezi kupanda thamani wakati hatuzalishi bidhaa zinazouzika kimataifa.

Factor ni nyingi wataalamu wasomi wa uchumi watasaidia mengine.
Hakuna uhalisia hapo...kwani Rwanda na Kenya wana siri gani inayotuzidi mpaka currency yao ni stable?
 
Kwa kweli shillingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi ya kutisha dhidi ya sarafu nyingine. Ukitaka kujua kuwa shillingi yetu inaporomoka kwa kasi linganisha bei ya bidhaa kwa leo na ulinganishe na miaka mitatu, miwili na hata mwaka mmoja.

Chukua mfano wa nishati ya mafuta. Miaka mitatu iliyopita bei ya dizeli kwa lita moja ilikuwa wastani wa Tshs.1,500 leo hii lita moja ya dizeli ni wastani wa Tshs.3,300. Mfano mwingine chukua sukari. Miaka mitatu iliyopita sukari kilo moja ilikuwa Tshs. 1,300 leo hii kilo moja ya sukari ni Tshs.3,500.

Sasa tuje kwenye kichekesho. Jana nilikuwa kwenye mwalo moja hapo Ziwa Victoria na sikuamini macho yangu nilipoambiwa kuwa samaki moja aina ya sato ni Tshs. 30,000 karibia bei ya mbuzi wakati miaka mitatu iliyopita samaki wa uzito huo alikuwa akiuzwa kwa Tshs.8,000.

Tuna wachumi, tunaelezwa uchumi kwa Mama umepaa na mbona sisi wananchi hatuoni badiliko lolote. Huku kijijini kuna umaskini wa kutisha. Mtu kujaliwa kula balanced diet labda kuwe na harusi au sherehe fulani.

Tuwaulize wachumi wetu, Je uchumi umepaa kwa vigezo gani?.
Achana wasomi wa ki-Tanzania akiwa Hana kazi anadadavua taaluma yake vizuri
Akipata ajira Serikalini anaongea Yale Tu ya kumpendeza Boss wake Anaachana na Taaluma yake
 
Import inflation imeshuka sana duniani bei ya mafuta na gęsi leo sio sawa na hizo sababu unazotaja.

Matter of fact nchi zilizoendelea ambazo inflation zilifika over 11% percent kwa sababu ya vita ya Ukraine Russia (mind you) wengi walikuwa wananunua gas Russia na mafuta. Sasa hivi inflation imeshuka mpaka 3-4% interest set by central banks nazo zinashuka.

Na huko kwao interest rates za central bank zikipanda ni shida kwa sababu watu wengi wana mortgages ambayo ni over 90% of household debt, rates ikipanda na mortgage rates zinapanda, so is credit card rates and consumer credit.

Factors nchi zilizoendelea ambazo kwa uchumi wa Tanzania ni minimal.

Sasa jiulize iwaje huko kwa wazungu central banks za zishushe interests, bei ya nishati ishuke, na inflation ishuke kwa sababu ulizotaja. Wakati sisi wenye minimal impact kwenye global events mwezi uliopita BoT imepandisha rates na inflation ni shida.

Matatizo yetu yana uhusiano mdogo sana na global invents, shida ni ufisadi (which makes hard to control inflation with monetary policies), unqualified people in economic posts, uncontrolled demand of foreign currency kupitia criminal activities.

Kwa kifupi nchi inahitaji kutafuta watu wenye uwezo wa kuongoza kuanzia usalama wa taifa. I have met a couple of Tanzania intelligent officers hawana uwezo.
Wew umeongea ukweli ..blaa blaa za export ni kwa watu waliokosa hoja ..huweiz kuwaambia watu wale kwa urefu wa kamba zao halafu utegemee moujiza ufisadi ni wa kiwango cha juu sana
 
Kwanini wasimrudishe Dr Mpango, alidhibiti inflation, mikopo ya hovyo, kwa kiasi kikubwa ufisadi na rushwa ilipungua tukafika uchumi wa kati hata Dunia ikiwa katikati ya janga la Covid biashara duniani ikiwa imesimama kwa kiasi kikubwa.
Mpango alikuwa chini ya kiongozi imara ..sasa wa kwetu anarembu na kusema mkalitizama ..basi unategemea miujiza gani
 
Back
Top Bottom