Shilingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi kubwa

Shilingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi kubwa

Kwa kweli shillingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi ya kutisha dhidi ya sarafu nyingine. Ukitaka kujua kuwa shillingi yetu inaporomoka kwa kasi linganisha bei ya bidhaa kwa leo na ulinganishe na miaka mitatu, miwili na hata mwaka mmoja.

Chukua mfano wa nishati ya mafuta. Miaka mitatu iliyopita bei ya dizeli kwa lita moja ilikuwa wastani wa Tshs.1,500 leo hii lita moja ya dizeli ni wastani wa Tshs.3,300. Mfano mwingine chukua sukari. Miaka mitatu iliyopita sukari kilo moja ilikuwa Tshs. 1,300 leo hii kilo moja ya sukari ni Tshs.3,500.

Sasa tuje kwenye kichekesho. Jana nilikuwa kwenye mwalo moja hapo Ziwa Victoria na sikuamini macho yangu nilipoambiwa kuwa samaki moja aina ya sato ni Tshs. 30,000 karibia bei ya mbuzi wakati miaka mitatu iliyopita samaki wa uzito huo alikuwa akiuzwa kwa Tshs.8,000.

Tuna wachumi, tunaelezwa uchumi kwa Mama umepaa na mbona sisi wananchi hatuoni badiliko lolote. Huku kijijini kuna umaskini wa kutisha. Mtu kujaliwa kula balanced diet labda kuwe na harusi au sherehe fulani.

Tuwaulize wachumi wetu, Je uchumi umepaa kwa vigezo gani?.
Unapo piga hayo mahesabu kumbuka idadi ya watu wanao ongezaka na gharama za kuwajengea muindo mbinu ya kisasa km itahitajika. Sema utakavyo lakini tatizo la kuhoji linaanzia kwenye ngazi ya familia namaanisha hayo unayo jaribu kuyapigia kelele na mengine tunayo yajua wengine yamekuwa hivyo kwasababu ya jamii kuto kuhoji pia la msingi la kuongezea acheni kuagiza kila kitu toka china na kwingineko thamani ya shilingi itapanda kwamaana wao Ndiyo watazinunua bidhaa zetu
 
Unapinga hoja ya mwandishi au unasapot, kwa akili yako ya kawaida unahisi kuna tofauti kati ya 1500 na 1800?
1. Kasema 1300 sukari na sio 1500
2. Kasema hio 1300 ilikua ni miaka 3 iliopita, wakati miaka 10 iliopita sukari ilikua 1800 na haijawahi kushuka, Alivyoingia Magu ika shoot hadi 4000 then ikashuka tena hadi elfu 2 na kitu ikakaa hapo muda mrefu then ikaja kupanda tena karibuni hadi 5000 na sasa imeshuka around hio 3000.

Sio hivyo tu hata mafuta data zake zipo off, in short hizo data ni matamanio yake hazina uhalisia wala source yoyote ya kuzi backup.
 
Zamani huku Kasensero (Ziwa Victoria) ukitoa laki ya Tsh unapewa Laki mbili za Uganda [emoji1254] .


Sasa hivi laki kwa laki na ishirini.


Tatizo ni wanyiramba. Wanyiramba hawajawahi kuweza kitu chochote Tanzania hii
We muongo sana, mbona wanaweza mambo mengi tu mfano kuchora mawe, kurudia madarasa baada ya kufeli, kuchunga ng'ombe kwa uhakika na kuwaambia raia wenzao wahamie Burundi japo wao hawako tayari kwenda!!
 
Ulipaji wa madeni makubwa ya Serikali nje ya nchi, Dola kutumika kununua mitambo na chuma kwa ajiri ya Miradi ya Nyerere Dam, SGR na Madaraja makubwa, na kudumaa kwa sekta za Utalii, Madini na Kilimo (wanasema zinakuwa lakini ukweli ni kuwa zimedumaaa ikilinganishwa potential yake).
Mkuu 'halongbay', umetiririka hasa kwenye bandiko lako lote nililolisoma kwa makini sana.

Hicho kipande nilichokinyanyua hapo juu, mi nadhani ndipo viongozi wetu wanapopotezea umakini wao, na badala yake wanahangaika na maswala yasiyokuwa na umuhimu mkubwa kwa maendeleo ya nchi yetu. Hizi 'potential' unazozizungumzia hapa ndizo zingetuinua zaidi na kwa haraka kama mkazo ungewekwa huko. Kilimo, kwa mfano, asili mia zaidi ya 60 ya wananchi wetu wapo kwenye shughuli hiyo. Kuinukakwa hali ya maisha ya watu hawa, ndiko kuleta maendeleo ndani ya nchi haraka zaidi.
 
Leo $1 ilikuwa 2,730
Kwa huyu Mama 1$ itafuka 4000 ni suala la muda, huwezi ukawa na Mchumi Mwigulu mkafika popote, huwezi ukategemea kuandaa mazingira ya wawekezaji ukajidanya na wewe unakuza uchumi, totally wrong!!!

Uchumi wa kweli ni kuuza zaidi nje katika soko la dunia ,je mtauza nini? Viwanda mtatoa wapi? , Mama yuko busy na kufanya basic things, teua tongue, panda ndege, hudhuria mikutano, blablabla nyingi.
 
Kwa kweli shillingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi ya kutisha dhidi ya sarafu nyingine. Ukitaka kujua kuwa shillingi yetu inaporomoka kwa kasi linganisha bei ya bidhaa kwa leo na ulinganishe na miaka mitatu, miwili na hata mwaka mmoja.

Chukua mfano wa nishati ya mafuta. Miaka mitatu iliyopita bei ya dizeli kwa lita moja ilikuwa wastani wa Tshs.1,500 leo hii lita moja ya dizeli ni wastani wa Tshs.3,300. Mfano mwingine chukua sukari. Miaka mitatu iliyopita sukari kilo moja ilikuwa Tshs. 1,300 leo hii kilo moja ya sukari ni Tshs.3,500.

Sasa tuje kwenye kichekesho. Jana nilikuwa kwenye mwalo moja hapo Ziwa Victoria na sikuamini macho yangu nilipoambiwa kuwa samaki moja aina ya sato ni Tshs. 30,000 karibia bei ya mbuzi wakati miaka mitatu iliyopita samaki wa uzito huo alikuwa akiuzwa kwa Tshs.8,000.

Tuna wachumi, tunaelezwa uchumi kwa Mama umepaa na mbona sisi wananchi hatuoni badiliko lolote. Huku kijijini kuna umaskini wa kutisha. Mtu kujaliwa kula balanced diet labda kuwe na harusi au sherehe fulani.

Tuwaulize wachumi wetu, Je uchumi umepaa kwa vigezo gani?.
Watakwambia mama anaupiga mwingi.
 
Na bado. Ukileta wageni waendeshe uchumi wako haya ndiyo matokeo yake. Unaleta wachina waweke mabonanza ya kamari nchi nzima. Matokeo yake hizo chelechele wanazokusanya wanaenda kuzibadili kuwa dola na kupeleka kwao. Shilingi inazidi kushuka, dola inazidi kuahitajika na kupanda bei. Huko tuendako hali itazidi kuwa mbaya hata zaidi.

Tudhibiti uwekezaji wa kigeni usio na tija na tudhibiti uagizaji wa baadhi ya "Takataka" kutoka nje. Tukizubaa tutaangamia.
 
Import inflation imeshuka sana duniani bei ya mafuta na gęsi leo sio sawa na hizo sababu unazotaja.

Matter of fact nchi zilizoendelea ambazo inflation zilifika over 11% percent kwa sababu ya vita ya Ukraine Russia (mind you) wengi walikuwa wananunua gas Russia na mafuta. Sasa hivi inflation imeshuka mpaka 3-4% interest set by central banks nazo zinashuka.

Na huko kwao interest rates za central bank zikipanda ni shida kwa sababu watu wengi wana mortgages ambayo ni over 90% of household debt, rates ikipanda na mortgage rates zinapanda, so is credit card rates and consumer credit.

Factors nchi zilizoendelea ambazo kwa uchumi wa Tanzania ni minimal.

Sasa jiulize iwaje huko kwa wazungu central banks za zishushe interests, bei ya nishati ishuke, na inflation ishuke kwa sababu ulizotaja. Wakati sisi wenye minimal impact kwenye global events mwezi uliopita BoT imepandisha rates na inflation ni shida.

Matatizo yetu yana uhusiano mdogo sana na global invents, shida ni ufisadi (which makes hard to control inflation with monetary policies), unqualified people in economic posts, uncontrolled demand of foreign currency kupitia criminal activities.

Kwa kifupi nchi inahitaji kutafuta watu wenye uwezo wa kuongoza kuanzia usalama wa taifa. I have met a couple of Tanzania intelligent officers hawana uwezo.

Kwanini wasimrudishe Dr Mpango, alidhibiti inflation, mikopo ya hovyo, kwa kiasi kikubwa ufisadi na rushwa ilipungua tukafika uchumi wa kati hata Dunia ikiwa katikati ya janga la Covid biashara duniani ikiwa imesimama kwa kiasi kikubwa.
 
Kwa kweli shillingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi ya kutisha dhidi ya sarafu nyingine. Ukitaka kujua kuwa shillingi yetu inaporomoka kwa kasi linganisha bei ya bidhaa kwa leo na ulinganishe na miaka mitatu, miwili na hata mwaka mmoja.

Chukua mfano wa nishati ya mafuta. Miaka mitatu iliyopita bei ya dizeli kwa lita moja ilikuwa wastani wa Tshs.1,500 leo hii lita moja ya dizeli ni wastani wa Tshs.3,300. Mfano mwingine chukua sukari. Miaka mitatu iliyopita sukari kilo moja ilikuwa Tshs. 1,300 leo hii kilo moja ya sukari ni Tshs.3,500.

Sasa tuje kwenye kichekesho. Jana nilikuwa kwenye mwalo moja hapo Ziwa Victoria na sikuamini macho yangu nilipoambiwa kuwa samaki moja aina ya sato ni Tshs. 30,000 karibia bei ya mbuzi wakati miaka mitatu iliyopita samaki wa uzito huo alikuwa akiuzwa kwa Tshs.8,000.

Tuna wachumi, tunaelezwa uchumi kwa Mama umepaa na mbona sisi wananchi hatuoni badiliko lolote. Huku kijijini kuna umaskini wa kutisha. Mtu kujaliwa kula balanced diet labda kuwe na harusi au sherehe fulani.

Tuwaulize wachumi wetu, Je uchumi umepaa kwa vigezo gani?.
2025 apumzike tu.
 
Kwanini wasimrudishe Dr Mpango, alidhibiti inflation, mikopo ya hovyo, kwa kiasi kikubwa ufisadi na rushwa ilipungua tukafika uchumi wa kati hata Dunia ikiwa katikati ya janga la Covid biashara duniani ikiwa imesimama kwa kiasi kikubwa.
Kuna vitu vingi vinahusika pamoja maamuzi ya kisiasa, na jamii ya yes bwana yaani kuto kuhoji
 
Sisi tuna export malighafi tena kidogo, wao wana export finished product kwa wingi. Import/Export ratio. Wao wanatechnologia wanazalisha ndani zaidi, na ziada wanagawa nje, sisis technologia hatuna, tunazalisha kidogo, ili kukidhi mahitaji yetu ya ndani tunaagiza kutoka nje. Tunaponunua kutoka nje tunatumia pesa za kigeni.

Kumbuka Dollar ni moja ya sarafu zinazutumika kama sarafu za biashara kimataifa, bila kusahau Swiss Franc, Japaneese YEN, British Pound, pesa ya kijerumani, kifaransa na Italiano.

Madafu yetu hayawezi kupanda thamani wakati hatuzalishi bidhaa zinazouzika kimataifa.

Factor ni nyingi wataalamu wasomi wa uchumi watasaidia mengine.
uongozi ni pesa,lkn zamani ug sh 200000 zilikuwa sawa na Tsh100000 utetezi wa export na import hapo ukoje Hilo ni tatizo la akina madelu & co.
 
Malalamiko yako ni sahihi lakini usiongeze na uongo ili kunogesha hoja yako,hiyo miaka 3 iliyopita ulikuwa una duka lako maalum ndiyo walikuwa wanakuuzia sukari kg 1 kwa 1,300? Kuwa mkweli.
 
Back
Top Bottom