Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
2005 nimenunua sukari kilo Tshs 500, debe la mahindi sh 3000Sukari gani ambayo kilo ilikua 1300? Hata wakati wa Kikwete ilikua 1800, tatizo lenu wengi humu hamna majukumu ngumu hata kujua bidhaa zilikuwa zinauzwaje miaka kadhaa iliopita.
Kwanini thamani ya Tsh ishuke thamani kwa kasi ivi dhidi ya Shilingi ya Uganda na Kenya.? Je wao hawajaathirika na vita?Sarafu iko sawa haishuki kwa kazi kiivyo. Bei za bedhaa zimepanda dunia nzima, watu tnaongezeka, na mahitaji yanaongezeka. Malighafi zinapanda bei, gharama za uzalishaji zinaongezeka hivyo bei ya mlaji itaongezeka tu.
Tunaagiza kutoka nje kwa wingi kuliko tunavyouza nje, hivyo tunatumia pesa za kigeni nyingi kununua nje kuliko kiasi tunachoingiza kwa kuuza nje. Haya sasa kuna vita, na wahusika wakuu ni wale wanao tusaidia kila siku, hivyo na misaada inapungua, yani hatupati subsidies kutoka serikalini au donor countries hivyo tuna ona kila kitu kiko juu.
Thamani ya pesa ina factor nyingi sana.
Hii inaonesha wananchi ndio wameshika uchumi maana wanauziwa 20K na wanajengaCement mwaka jana mwezi wa nne 15200 sasa 18500_20000
Harafu kuna kenge wao hasira zao, badala wazielekeze kwa samia na ccm yake, wao wanawashwa wakiona Lisu, anamwaga madini kuhusu ma ccmKwa kweli shillingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi ya kutisha dhidi ya sarafu nyingine. Ukitaka kujua kuwa shillingi yetu inaporomoka kwa kasi linganisha bei ya bidhaa kwa leo na ulinganishe na miaka mitatu, miwili na hata mwaka mmoja.
Chukua mfano wa nishati ya mafuta. Miaka mitatu iliyopita bei ya dizeli kwa lita moja ilikuwa wastani wa Tshs.1,500 leo hii lita moja ya dizeli ni wastani wa Tshs.3,300. Mfano mwingine chukua sukari. Miaka mitatu iliyopita sukari kilo moja ilikuwa Tshs. 1,300 leo hii kilo moja ya sukari ni Tshs.3,500.
Sasa tuje kwenye kichekesho. Jana nilikuwa kwenye mwalo moja hapo Ziwa Victoria na sikuamini macho yangu nilipoambiwa kuwa samaki moja aina ya sato ni Tshs. 30,000 karibia bei ya mbuzi wakati miaka mitatu iliyopita samaki wa uzito huo alikuwa akiuzwa kwa Tshs.8,000.
Tuna wachumi, tunaelezwa uchumi kwa Mama umepaa na mbona sisi wananchi hatuoni badiliko lolote. Huku kijijini kuna umaskini wa kutisha. Mtu kujaliwa kula balanced diet labda kuwe na harusi au sherehe fulani.
Tuwaulize wachumi wetu, Je uchumi umepaa kwa vigezo gani?.
Mkuu Kalama nakuunga mkonoMkuu 'halongbay', umetiririka hasa kwenye bandiko lako lote nililolisoma kwa makini sana.
Hicho kipande nilichokinyanyua hapo juu, mi nadhani ndipo viongozi wetu wanapopotezea umakini wao, na badala yake wanahangaika na maswala yasiyokuwa na umuhimu mkubwa kwa maendeleo ya nchi yetu. Hizi 'potential' unazozizungumzia hapa ndizo zingetuinua zaidi na kwa haraka kama mkazo ungewekwa huko. Kilimo, kwa mfano, asili mia zaidi ya 60 ya wananchi wetu wapo kwenye shughuli hiyo. Kuinukakwa hali ya maisha ya watu hawa, ndiko kuleta maendeleo ndani ya nchi haraka zaidi.
Sio kweli mkuu unaendelea kujenga sababu hela umekopa na ukizembea bei inapanda juu zaidi ya hapo ilipoHii inaonesha wananchi ndio wameshika uchumi maana wanauziwa 20K na wanajenga
Kuishi Tz ni Kama drama hivi yaani sisi wananchi ndio mtaji wa serikali kwa sehemu fulani hivi yaani pamoja na kuwa naSio kweli mkuu unaendelea kujenga sababu hela umekopa na ukizembea bei inapanda juu zaidi ya hapo ilipo
Nakusoma vizuri sana mkuu.Shida kubwa tuliyonayo ni maamuzi mabovu, poor political will, upeo mdogo wa watendaji, rushwa iliyokithiri na total failure ya oversight and accountability machinery.
Haa hiyo awamu ya 5 inaonyesha ulikuwa umeipania kweli ya 6..naona umeitetea kweli kwa external factor. Lakini amna awam ya hivyo kama hii 6Bei zilianza kubadilika kwa kasi sana tangu awamu ya 5, awamu ya 3 na 4 kasi yake ilikuwa ndogo kuliko 5 na 6.
Awamu ya 5 bei zilikuwa juu kwa sababu rais alitaka tujitegemee kwa mapato ya ndani.
Awamu ya 6 vitu vipo juu kwasababu ya myumbo wa uchumi duniani kutokana na vita za Ukraine vs Russia na zile zinazoendelea mashariki ya kati.
Hakuna uhalisia hapo...kwani Rwanda na Kenya wana siri gani inayotuzidi mpaka currency yao ni stable?Sisi tuna export malighafi tena kidogo, wao wana export finished product kwa wingi. Import/Export ratio. Wao wanatechnologia wanazalisha ndani zaidi, na ziada wanagawa nje, sisis technologia hatuna, tunazalisha kidogo, ili kukidhi mahitaji yetu ya ndani tunaagiza kutoka nje. Tunaponunua kutoka nje tunatumia pesa za kigeni.
Kumbuka Dollar ni moja ya sarafu zinazutumika kama sarafu za biashara kimataifa, bila kusahau Swiss Franc, Japaneese YEN, British Pound, pesa ya kijerumani, kifaransa na Italiano.
Madafu yetu hayawezi kupanda thamani wakati hatuzalishi bidhaa zinazouzika kimataifa.
Factor ni nyingi wataalamu wasomi wa uchumi watasaidia mengine.
Achana wasomi wa ki-Tanzania akiwa Hana kazi anadadavua taaluma yake vizuriKwa kweli shillingi ya Tanzania inaporomoka kwa kasi ya kutisha dhidi ya sarafu nyingine. Ukitaka kujua kuwa shillingi yetu inaporomoka kwa kasi linganisha bei ya bidhaa kwa leo na ulinganishe na miaka mitatu, miwili na hata mwaka mmoja.
Chukua mfano wa nishati ya mafuta. Miaka mitatu iliyopita bei ya dizeli kwa lita moja ilikuwa wastani wa Tshs.1,500 leo hii lita moja ya dizeli ni wastani wa Tshs.3,300. Mfano mwingine chukua sukari. Miaka mitatu iliyopita sukari kilo moja ilikuwa Tshs. 1,300 leo hii kilo moja ya sukari ni Tshs.3,500.
Sasa tuje kwenye kichekesho. Jana nilikuwa kwenye mwalo moja hapo Ziwa Victoria na sikuamini macho yangu nilipoambiwa kuwa samaki moja aina ya sato ni Tshs. 30,000 karibia bei ya mbuzi wakati miaka mitatu iliyopita samaki wa uzito huo alikuwa akiuzwa kwa Tshs.8,000.
Tuna wachumi, tunaelezwa uchumi kwa Mama umepaa na mbona sisi wananchi hatuoni badiliko lolote. Huku kijijini kuna umaskini wa kutisha. Mtu kujaliwa kula balanced diet labda kuwe na harusi au sherehe fulani.
Tuwaulize wachumi wetu, Je uchumi umepaa kwa vigezo gani?.
Wew umeongea ukweli ..blaa blaa za export ni kwa watu waliokosa hoja ..huweiz kuwaambia watu wale kwa urefu wa kamba zao halafu utegemee moujiza ufisadi ni wa kiwango cha juu sanaImport inflation imeshuka sana duniani bei ya mafuta na gęsi leo sio sawa na hizo sababu unazotaja.
Matter of fact nchi zilizoendelea ambazo inflation zilifika over 11% percent kwa sababu ya vita ya Ukraine Russia (mind you) wengi walikuwa wananunua gas Russia na mafuta. Sasa hivi inflation imeshuka mpaka 3-4% interest set by central banks nazo zinashuka.
Na huko kwao interest rates za central bank zikipanda ni shida kwa sababu watu wengi wana mortgages ambayo ni over 90% of household debt, rates ikipanda na mortgage rates zinapanda, so is credit card rates and consumer credit.
Factors nchi zilizoendelea ambazo kwa uchumi wa Tanzania ni minimal.
Sasa jiulize iwaje huko kwa wazungu central banks za zishushe interests, bei ya nishati ishuke, na inflation ishuke kwa sababu ulizotaja. Wakati sisi wenye minimal impact kwenye global events mwezi uliopita BoT imepandisha rates na inflation ni shida.
Matatizo yetu yana uhusiano mdogo sana na global invents, shida ni ufisadi (which makes hard to control inflation with monetary policies), unqualified people in economic posts, uncontrolled demand of foreign currency kupitia criminal activities.
Kwa kifupi nchi inahitaji kutafuta watu wenye uwezo wa kuongoza kuanzia usalama wa taifa. I have met a couple of Tanzania intelligent officers hawana uwezo.
Mpango alikuwa chini ya kiongozi imara ..sasa wa kwetu anarembu na kusema mkalitizama ..basi unategemea miujiza ganiKwanini wasimrudishe Dr Mpango, alidhibiti inflation, mikopo ya hovyo, kwa kiasi kikubwa ufisadi na rushwa ilipungua tukafika uchumi wa kati hata Dunia ikiwa katikati ya janga la Covid biashara duniani ikiwa imesimama kwa kiasi kikubwa.