Shilole amchana Alikiba

Shilole amchana Alikiba

Kwenye page ya michuzi naona ameweka audio ya nyimbo mpya ya Shilole, isijekuwa wanatuachezea akili zetu?

Maana hawa Bongo Mavi na Bongo fleva ni kusanyika la majitu majinga mengi.
Wanakuchezea wewe mjinga mjinga unaetetea ujinga
 
NUKUU YA SHILOLE:

Anandika shilole katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram.

“Hapana kila siku nakosewa nitaka kuongea washauri wangu wanasema nikae kimya.
Hili nimekosewa siwezi kukaa kimya mnanionea

officialikiba nakushukuru sana leo umeuthibitishia ulimwengu mambo yafuatayo :
Una kiburi cha kishamba, unavimba na kupandisha mabega katika namna isiyostahili.

Huna utu ambao watu wako wanakupamba kwamba uko nao. Sawa mimi na wewe hatuna mazoea (Hilo ni kweli kabisa), lakini mimi na wewe tupo katika field moja. Ningeweza kuja kwenye shughuli yako kuonesha upendo tu hata kama sijaalikwa, ungekuwa na utu, haikuwa na haja kwenda redio na kusema “SIJAMUALIKA” : ili mimi nionekane nilivamia tu shughuli tu.

Shame on you Ali. (ila kwa tabia zile za kwenda Marekani kuomba dada zako naniliu hushangazi)

Umethibitisha kwamba wewe hauko ‘organized’. Kwa sababu, utasema nilipostiwa kwenye page yako na kutafutwa na watu wako wakati hawajakutaarifu. Kwa hiyo kwa ukubwa tunaotangaziwa unao Bwana Ali, unataka kusema hujui hata kilichopostiwa kwenye page yako rasmi katika siku yako muhimu.

Kwa hiyo hata Nasibu uliyeshindana naye miaka mingi akakugaragaza angeweza kualikwa bila wewe kujua? (Nasibu humuwezi tusikudanganye).
Wewe ndo msanii wetu wa kimataifa, SIJAPENDA.

Kwa ufupi, sikuenda kwenye shughuli kama mvamizi. Nilialikwa, nimescreenshot post yake na kupost hapo juu.

Shughuli ile ya hovyo hovyo na kupoa kama uji wa mgonjwa, ilihitaji uwepo wangu. YEEES, Niliwasaidia kuchangamsha.

Katika mazingira ya sasa mimi hakuna lolote ninalofaidika kwa kwenda kwenye shughuli ya Ali, sana sana nilienda kumuongezea followers.

Kama nahukumiwa, nihukumuni kwa kupenda shughuli za wenzangu. Kila nikialikwa Zuwena mimi nakweenda kuonesha upendo.

Sitaacha kufanya hivyo kwasababu ya watu waliokosa utu na shukrani kama Ali.
Aah hasira zimeisha, njooni Shishi Food tule ubwabwa”


View attachment 1990886
Muandiko huu si wa Shilole, ni kama mwanaume ndio kaandika kutokana na mpangilio wa mawazo na mtiririko wa maudhui yaliyomo.

Hata kama alichoandika ni sahihi ama sio, bado andiko hili limekqa vizuri. Bila shaka ni Mwanasheria wake ama chawa wake Msomi ndio kaandika na Shihibebi kabandika tu.

Shilole hana "akili" za andiko hili!
 
Sema kumbe hata humu kuna watu wana akili ka za Youtube tu za Tazama hapa Magufuli afufuka.

Kwa heshima ambayo shilole alipewa siku ya listening party na inavyojulikana shilole alishawahi kukiri kua yeye si shabiki wa Ali ila Ali hakuona vibaya akamualika Bidada na kuna watu wengi ambao si kampani ya Ali walialikwa kama Jux pia..Lakini alichokuja kukifanya Huyu Bidada kwenye Re-Fresh kusema anamzid Ali na yeye ni Brand ilihali mtu alikua amekualika hadu kwenye shughuli yake ilikua ni dharau kwa Ali,So alichofanya Ali nae ni kujifanya hamjui kua Alivizia kwenye Shughuli ile na kalikana naona leo lipo lina lialia kwenye vyombo vya habari vyote.
Hivi umeisikiliza vizuri hiyo interview unayoisema?

Yaani interview karibu yote, Shilole kamzungumzia Esha Busheti na malalamiko yake kwa Kiba, malalamiko ambayo kwangu naona ni ya kijinga! Sekunde chache za mwisho ndipo Shilole akazungumzia suala la Followers, tena akimlenga zaidi Esha; na wala sio Kiba!!

I doubt kama kweli umesikiliza hiyo interview, au umesikiliza kipande tu!!
 
Hii comment ni kutoka kwalo matola? miaka ya nyuma umetuhenyesha sana kuhusu kiba. cc. Evelyn Salt
Mimi siyo chawa, kama mtu anafanya mambo ya kipuuzi lazima aambiwe na akemewe.

Unajuwa huyu dogo ukimfuatilia utagunduwa ana matatizo ndio maana mpinzani wa Diamond sasa hivi siyo Kiba ni Konde boy.

Kwa kipaji alichonacho Kiba isingekuwa rahisi kuchukuwa nafasi yake, lakini kwa tabia zake za kidemu sasa hivi battle ni Diamond vs Harmonizer.
 
Kweli akuanzae mmalize. Bibie kapanik hatari, kasahau shombo na nyodo zake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nadhani wengi wameona upande mmoja wa stori baada ya shilole kupost lile gazeti lakini ukifuatilia shilole ndio aliyeanza dharau akiwa anahojiwa katika kipindi refresh cha wasafi akawa amemdiss Ali na Esha kwamba yeye ni mkubwa kuliko wao na hata listening part ya Ali yeye ndio kafanya imechangamka so alichofanya Ali ni ku backfire tu na obviously anayeanza haonekani ila anaonekana anayemaliza
Umeongeza chumvi...

Kilichotokea mwanzo wake ni Esha Busheti kumlalamikia Kiba kwamba hakumpa attention kwenye listening party!! Ikaonekana Kiba hakumpa attention Esha kwa sababu ya Shilole!!

99% ya interview unayoisema, Shilole alimlenga Esha, na mwishoni kabisa mwa interview, ndipo Shilole akasema "...yaani yeye... yeye mwenyewe nimemzidi followers. Anayemzungumzia, nimemzidi followers"!

Huyo "yeye" ni Esha!!

Na kimsingi, hoja ya Shilole ilikuwa kumshangaa Esha kwanini ka-mind alichodai hakupewa attention!
 
Mimi siyo chawa, kama mtu anafanya mambo ya kipuuzi lazima aambiwe na akemewe.

Unajuwa huyu dogo ukimfuatilia utagunduwa ana matatizo ndio maana mpinzani wa Diamond sasa hivi siyo Kiba ni Konde boy.

Kwa kipaji alichonacho Kiba isingekuwa rahisi kuchukuwa nafasi yake, lakini kwa tabia zake za kidemu sasa hivi battle ni Diamond vs Harmonizer.
Ona huyu mjinga
 
NUKUU YA SHILOLE:

Anandika shilole katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram.

“Hapana kila siku nakosewa nitaka kuongea washauri wangu wanasema nikae kimya.
Hili nimekosewa siwezi kukaa kimya mnanionea

officialikiba nakushukuru sana leo umeuthibitishia ulimwengu mambo yafuatayo :
Una kiburi cha kishamba, unavimba na kupandisha mabega katika namna isiyostahili.

Huna utu ambao watu wako wanakupamba kwamba uko nao. Sawa mimi na wewe hatuna mazoea (Hilo ni kweli kabisa), lakini mimi na wewe tupo katika field moja. Ningeweza kuja kwenye shughuli yako kuonesha upendo tu hata kama sijaalikwa, ungekuwa na utu, haikuwa na haja kwenda redio na kusema “SIJAMUALIKA” : ili mimi nionekane nilivamia tu shughuli tu.

Shame on you Ali. (ila kwa tabia zile za kwenda Marekani kuomba dada zako naniliu hushangazi)

Umethibitisha kwamba wewe hauko ‘organized’. Kwa sababu, utasema nilipostiwa kwenye page yako na kutafutwa na watu wako wakati hawajakutaarifu. Kwa hiyo kwa ukubwa tunaotangaziwa unao Bwana Ali, unataka kusema hujui hata kilichopostiwa kwenye page yako rasmi katika siku yako muhimu.

Kwa hiyo hata Nasibu uliyeshindana naye miaka mingi akakugaragaza angeweza kualikwa bila wewe kujua? (Nasibu humuwezi tusikudanganye).
Wewe ndo msanii wetu wa kimataifa, SIJAPENDA.

Kwa ufupi, sikuenda kwenye shughuli kama mvamizi. Nilialikwa, nimescreenshot post yake na kupost hapo juu.

Shughuli ile ya hovyo hovyo na kupoa kama uji wa mgonjwa, ilihitaji uwepo wangu. YEEES, Niliwasaidia kuchangamsha.

Katika mazingira ya sasa mimi hakuna lolote ninalofaidika kwa kwenda kwenye shughuli ya Ali, sana sana nilienda kumuongezea followers.

Kama nahukumiwa, nihukumuni kwa kupenda shughuli za wenzangu. Kila nikialikwa Zuwena mimi nakweenda kuonesha upendo.

Sitaacha kufanya hivyo kwasababu ya watu waliokosa utu na shukrani kama Ali.
Aah hasira zimeisha, njooni Shishi Food tule ubwabwa”


View attachment 1990886
What is this?!! Don't you young men and women have something better to do!?insteady of westing time on this personal none monetary issues.
 
Nadhani wengi wameona upande mmoja wa stori baada ya shilole kupost lile gazeti lakini ukifuatilia shilole ndio aliyeanza dharau akiwa anahojiwa katika kipindi refresh cha wasafi akawa amemdiss Ali na Esha kwamba yeye ni mkubwa kuliko wao na hata listening part ya Ali yeye ndio kafanya imechangamka so alichofanya Ali ni ku backfire tu na obviously anayeanza haonekani ila anaonekana anayemaliza
Nope, Shilole alisema anamzidi Kiba 'followers' na hilo likaibua mipasho baina yao kwani Kiba akaenda Clouds kumkana Shilole kwamba hakutambua uwepo wake and so on and so forth na Shilole akeanda Wasafi media ndipo akajibu vichambo kwa jinsi yake.
All in all mtu akisema amekuzi followers(and in this case Shilole wasn't lying), is it an issue to a man?
Matokeo yake wanachambana mpaka kuhusu nani ana mafanikio kimaisha zaidi ya mwenzie. Aibu.
IMG_20211029_180104.jpg
 
Back
Top Bottom