Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Hayajakukuta mzee usiseme hvyo hujui alichokifanya huyo na huenda ukikifahamu unaweza kusema kwann asingemvunja ata mkono. Hawa wanawake hawa nadhan waliooa au wanaoishi na wanawake kwa mda mrefu watakuwa wananielewa
Hawajui jinsi gani mwanamke huwa na masimango akiwa na kazi na uwezo kifedha. "We una nini kwanza nakulisha tu" aisee hizi kauli chafu na kiburi nina hakika ndo vimemponza dada etu
 
You're right on point son, and i like the way you think.
MKUU UISHI MILELE, NTAKUWA NAKUFUATILIA KWA KARIBU ZAIDI.
 
Kama atuna pesa hawa wasanii wa bongo freva na bongo movie sio wakuwaoa tuishie tu kuwaita ndugu ze2 na dada zetu nakumbuka ya Shamsha Ford pia, kiubwege ubwege tu mnaweza jikuta mnaharibiana maisha.
 
Daah! Noma! Kibao kimebadilika sasa anakuja kulialia kwenye mitandao kutafuta huruma
 
We Uchebe una matatizo gani.
Unapiga mtu wa watu?
Kesi kwa Mambosasa inakungoja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…