Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Nimesikitika sana ..Kuna wanaume hawana shukrani mwanamke akustiri uonekane mtu mbele za watu na bado wamfanyia Mambo meusi..Hana haya na sura lake baya Kama sokwe.
Hata angekua anafanyia ndani kwake hana sababu ya kumpiga. umemshindwa mtu achaneni kwa amani, kwanza mwanaume alikua analelewaalitegemea anakula vya nani kama sio wanaume wenzie? Shilole kakosea angempiga hata chupa wawe even

Kutaka mwanamke wa mjini mzuri na uwezo wa kuhudumia huna lazima "big boys" wakusaidia tu, mtoto fala sana yule, ajifunze sasa kuwa vizuri gharama.
 
Na mm namshangaa, mm uchebe namjua vzr na ukwl ni kwamb shishi anaumaarufu tuu hela hana uchebe ndio anavisenti kdgo. Ukitaka kumpata uyu jamaa jioni kwenye maduka ya simu apa Makumbusho bus stand anakuwepo sana.
We Jamaa lazima umtetee Shilole. Si ulisema unashinda kwenye mgahawa wa Shishi unakula na kunywa bure[emoji23]
 
We Uchebe hujui kwamba Neno la MUNGU linatutaka wanaume tuishi na wanawake kwa akili??. Unataka kuumuua mtia nia ya kugombea ubunge wa jimbo la IGUNGA
 
Nimeona shilole ameandika Gazeti refu sana kuhusu uchebe lakini amini Shilole ndo anazingua na hii yote sababu ana Pesa so anaishi like Uchebe hawezi mwambia kitu. Ukiwa na hela zako bhasi usiolewe wewe tafuta viben ten vya kukupa raha siku moja moja bhasii ila sio Utake MUME.

Ukishaolewa hizo hela zako weka pembeni vaa uhusika wa Mke..Fanya majukumu ya Mke pia Kuwa Mtii kwa mume wako na Upunguze Kidomodomoo lasivyoo utakuwa unapigwaa mpaka ukome sababu mwanaume kuwa juu ya mke ni Nature ukitaka wewe ndo uwe juu bhasi Utaumiaa tuuu na mimi nasemaa mpigwee tuu mpaka mnyooke.
 
Mwanadada ana nido za ukweli yaani naona jamaa alikuwa anamwagia wadhugu hapo hapo kifuani
 
Nimesikitika sana ..Kuna wanaume hawana shukrani mwanamke akustiri uonekane mtu mbele za watu na bado wamfanyia Mambo meusi..Hana haya na sura lake baya Kama sokwe.
Akusitiri mbele za watu alafu mkiwa ndani analeta dharau????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ