Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Wenzio watakuita mtetezi wa wanawake..shauri yako.
Potelea pwetee.. Ila kwenye ukweli tuseme.. Unawezaje kumpiga mwanamke kiasi hicho, shida moja hapo jamaa kaona ana nguvu kuliko Shilole that why,, haya alivyompiga kapata faida gani, kwani matatizo yake ndio yameisha, hata kama makofi mawili matatu kwenye ndoa hayakosekani ila sio kwa kipigo hicho, utasema Shilole kapata ajali kumbe kipigo.
 
Uchebe hajui kupiga ilitakiwa ale kipigo mpaka atambae na aandikie ulimi,

Keshapata danga jipya huyo limemwambia aachane na uchebe
 
Hivi kwetu sisi wanaume tunapata wapi ujasiri wa kuoa mwanamke ambaye kachora tatoo kwenye kifua na maziwa! Wanawake wana namna hii hawafai kuolewa kabisa.

Tena uchebe naona kamgusa tu, kwangu angechezea vitasa zaidi muda huu angekuwa katundukiwa drip.
Ukiua utaishia jela

Ova
 
nimekuelewa sana.hata mimi niliishi na mke kwa miaka kumi na sikuwahi kumpiga ingawa alikuwa na mdomo sana na wivu wa kupindukia kiasi kwamba ukirudi nyumbani unanuswa hadi boksa.ilifkia nikawa nachelewa kurudi homu afu niko tusuu ili nikifika nilale tuu.siku hiyo nimefika akanianzia mdomo nikamchimba biti kali naona ananibebea kisu afu akanirushia nilikuwa kifua wazi kananipapasa begani.niliamka kwa asira hiyo kichapo nilitembeza ni mbwa koko na km sio watoto kuamka na kuanza kulia ndo nikahurumia watoto nikamuachia kachakaa uso wote.nikampa first aid vizuri akalala mbona adabu ikawepo.nikasema sijui sk zote nilikuwa wapi kuweka hishma ya kupiga vitasa.leo nimeona hili jambo hapa nikakumbuka huyu shilole wife wana undugu kutokea huko igunga unajua hawa wana ngebe sana sbb wana uchotara flani toleo la mwisho
Kwa hio wife ulisha achana nae au?
 
nimekuelewa sana.hata mimi niliishi na mke kwa miaka kumi na sikuwahi kumpiga ingawa alikuwa na mdomo sana na wivu wa kupindukia kiasi kwamba ukirudi nyumbani unanuswa hadi boksa.ilifkia nikawa nachelewa kurudi homu afu niko tusuu ili nikifika nilale tuu.siku hiyo nimefika akanianzia mdomo nikamchimba biti kali naona ananibebea kisu afu akanirushia nilikuwa kifua wazi kananipapasa begani.niliamka kwa asira hiyo kichapo nilitembeza ni mbwa koko na km sio watoto kuamka na kuanza kulia ndo nikahurumia watoto nikamuachia kachakaa uso wote.nikampa first aid vizuri akalala mbona adabu ikawepo.nikasema sijui sk zote nilikuwa wapi kuweka hishma ya kupiga vitasa.leo nimeona hili jambo hapa nikakumbuka huyu shilole wife wana undugu kutokea huko igunga unajua hawa wana ngebe sana sbb wana uchotara flani toleo la mwisho
Criss Brown alimpiga kichapo Cha mbwa Koko Rihana.
tapatalk_1594218776873.jpeg
 
Ukiona mwanaume anampiga mwanamke ujue amekasirishwa kiasi ambacho hatamani tena kumwona huyo mwanamke. Mapenzi yanaumiza sana haswa wanaume ndio wanaoumia kupita kiasi kutokana na usaliti.

Sipendi kupiga mwanamke ila sishangai mtu akipiga mwanamke najua maumivu anayopitia na pia ndoa nyingi zinavurugwa na wanawake kuliko wanaume.

Unapooana wanaume wenye ndoa wanakesha baa wanakimbia mengi sana majumbani mwao. Halafu wanawake wanajifanya kama watakatifu sana wakati wengi ni mashetani wanaoishi duniani na kuvuruga sana wanaume
Teh hivi kati ya jinsia ya kiume na ya kike ni ipi inayoongoza kwa kuchepuka kwenye ndoa
 
Halafu kuna watu wazima na akili zao hapa wanashangilia sijui wanaona raha gani mtu kuumizwa hivyo.
Umeona eeh ,, unajua hii scenario watu wengi wanaamini Shilole ana makosa kisa ni famous na ana circle kubwa ya watu.. Na ndio hao wanaoshangilia kwa ku mhukumu kwa muonekane wake wa nje (celebrity) kitu ambacho si sahihi na hata kama ana makosa kweli bado hastahili kutendewa hivyo.
 
Potelea pwetee.. Ila kwenye ukweli tuseme.. Unawezaje kumpiga mwanamke kiasi hicho, shida moja hapo jamaa kaona ana nguvu kuliko Shilole that why,, haya alivyompiga kapata faida gani, kwani matatizo yake ndio yameisha, hata kama makofi mawili matatu kwenye ndoa hayakosekani ila sio kwa kipigo hicho, utasema Shilole kapata ajali kumbe kipigo.
Domo zege kwenye ubora wako unatafuta sympathy ya wanawake wazame PM kwako.
 
Umeona eeh ,, unajua hii scenario watu wengi wanaamini Shilole ana makosa kisa ni famous na ana circle kubwa ya watu.. Na ndio hao wanaoshangilia kwa ku mhukumu kwa muonekane wake wa nje (celebrity) kitu ambacho si sahihi na hata kama ana makosa kweli bado hastahili kutendewa hivyo.
Mwanaume kuandika "umeona eeeeeh" huo ni upuuzi na ni dalili za awali za kuelekea kuwa shoga wa kiwango kikubwa mno.


Sisi wanaume tunakushauri ujirudi acha uzwazwa.
 
Wanawake hawapo hvyo mkuu kazi ya mwanamke sio kufanya fadhili akikupenda inatosha. Mwanamke leo hii huna ela siku moja tuu akakununulia chakula cha elfu 2 kwa ela yake mwenyew siku mkigombana baada ya miezi 2 atakutangazia kwa watu alikuwa anakulisha miezi 2 yote kwahyo huna fadhila na utaonekana mbya. Kwa mfano huu utaelewa hawa viumbe ni wa aina gani
Hawakumbukagi jema

Ova
 
Domo zege kwenye ubora wako unatafuta sympathy ya wanawake wazame PM kwako.
Jiheshimu wewe uheshimiwe, kwa hiyo wewe unaona Shilole alivyopigwa hivyo ni sawa? What if angekua dada yako kaolewa sehemu na kapigwa hivyo ungechukuliaje, acheni roho zenu mbaya .. Aliyekwambia kumpiga mwanamke ndio ushujaa nani??
 
Back
Top Bottom