Mnawatia aibu wazee wenu!"
My take : Yawezekana Shishi alikuwa ana mtumikisha sana huyu Kijana na Yeye anapoondoka asubuhi huyu Kijana anakuwa hana nguvu kabisa baada ya kutumika sana usiku.
My take : Yawezekana Shishi alikuwa ana mtumikisha sana huyu Kijana na Yeye anapoondoka asubuhi huyu Kijana anakuwa hana nguvu kabisa baada ya kutumika sana usiku.
Kwani jamani nyie kutuachia buku 40 mezani shida nini kama nakukojoza na kibamiaMimi ni wa kike lakini mara kibao humu naonekana wa kiume...why?kwasababu huwa sitetei pale panapoonekana hapatakiwi kutetewa kwa jinsia yangu eti kisa mimi ni wa kike
Mkuu,ulichokiandika hapa ni utetezi hafifu sana ambao kimsingi umeandika sababu wewe ni jinsia hiyo inayoachiwa 40K ikiwa imelala
Wenye akili timamu wana stress za maisha hawawezi gegeda vizuri 🤣🤣🤣🤣Shilole bwana!!!!
Sasa unapenda vibenten halafu unataka uishi navyo kama unadate na mtu mwenye Akili timamu???
Bila kukojoza hamna ndoa ata sheria ya nchi inalitambua hiloKama ndoa is all about kukojoza basi sawa mzabzab mwenye kibamia chake mjini
Ushoga unaongezeka sababu wanaume wanasahau majukumu yao wanapenda mteremko!Kwani jamani nyie kutuachia buku 40 mezani shida nini kama nakukojoza na kibamia
Hiyo hela aliyokuwa akiacha atambue kuwa ni Kodi ya Uchakavu ambayo alikuwa na wajibu wa kumlipa huyo kijana kwa kukubali kuishi na uchakavu."Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi naenda kwenye mihangaiko yeye namuacha amelala, nilikuwa naacha elfu 40 mezani haongezi hata elfu 5 tunakula hiyo elfu 40 siku inaisha anasubiri kesho tena niamke saa 12 nimlishe. Hajitumi, mimi mwanaume ambaye hahangaiki hana maana kwangu"-
View attachment 3027356
My take : Yawezekana Shishi alikuwa ana mtumikisha sana huyu Kijana na Yeye anapoondoka asubuhi huyu Kijana anakuwa hana nguvu kabisa baada ya kutumika sana usiku.
Wat man can do woman can do...haya tupe i hela hizo acheni longo longoUshoga unaongezeka sababu wanaume wanasahau majukumu yao wanapenda mteremko!
Hata kama mke anakuzidi kipato mwanaume jitutumue kutafuta pesa na kubeba majukumu hiyo ndio sifa yenu
Hata kwa kidogo, inaleta heshima kwako
Mnawatia aibu wazee wenu!
Ushindwe kwenda kutafuta hela ya kula kisa umekesha unampa mke haki yake!? Sababu ya kijinga
Mpaka unakubali kuoa maana yake nguvu za kupiga mitii unazo.
Peleka motoo vijana🤸
So alikuwa analipia hudumaHiyo hela aliyokuwa akiacha atambue kuwa ni Kodi ya Uchakavu ambayo alikuwa na wajibu wa kumlipa huyo kijana kwa kukubali kuishi na uchakavu.
So aache kujilalamisha
Sidhani,kuna wajumba wamekamilika kila sekta!!Wenye akili timamu wana stress za maisha hawawezi gegeda vizuri 🤣🤣🤣🤣
Huyo mwanaume akifanya hivyo kujihudumia na kutimiza majukumu instead kukaa na mbibi sibora atafute katoto kabichi aishi nacho.Ushoga unaongezeka sababu wanaume wanasahau majukumu yao wanapenda mteremko!
Hata kama mke anakuzidi kipato mwanaume jitutumue kutafuta pesa na kubeba majukumu hiyo ndio sifa yenu
Hata kwa kidogo, inaleta heshima kwako
Ajijui❌Huyo mwanaume akifanya hivyo kujihudumia na kutimiza majukumu instead kukaa na mbibi sibora atafute katoto kabichi aishi nacho.
Naona Shishi Ana pretend hajui rule of the Jungle na anjifanya ajijui kama yeye Mshangazi, Once mshangazi be mshangazi isiwe mtu yuko na wewe kama mshangazi unataka treatments za kabinti kibichi.