Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Umeiona sentensi ya mwisho kwenye uzi?Watanzania tumekuwa makatili sana hapa naona dada mmoja anaitwa esta anaohojiwa UTV akiwa haoni baada ya mumewe kumtoboa macho yote mawili bado haoni .
Mume baada ya tukio hilo amepotea kusikojulikana na jeshi la police linamsaka
Kama mtu humtaki si bora muachane kwa amani ,
Kama huna akili usioe
UTV
USSR
Nimeona hiyo habari nikiwa hapa karatu.Watanzania tumekuwa makatili sana hapa naona dada mmoja anaitwa esta anaohojiwa UTV akiwa haoni baada ya mumewe kumtoboa macho yote mawili bado haoni .
Mume baada ya tukio hilo amepotea kusikojulikana na jeshi la police linamsaka
Kama mtu humtaki si bora muachane kwa amani ,
Kama huna akili usioe
UTV
USSR
Hapo sawa,sasa umejibu😉tutakula ninachokula kwani na lala njaa?
Wewe ni mwoga kumbe😄Hapo sawa,sasa umejibu
Bro nilichagua weupe si unajua sisi wa kanda ya ziwa aloo unafikili huo weupe wenyewe nauona basi humu kwenye ndoa? Huo weupe ndo unaonifarakanisha sasaMkuu kama ulichagua Tako kazana tu kwani limeisha?
Tupe experience mzee wa likesHapo ndio mimi nilipo amua kuacha kila kitu nikaanza moja.
Nilioa weupe now weupe unaturafakanisha vijana nawashauri oeni kichwa sio weupe wala hips mtalia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kinakulambaaa eeeh?
Mwache aende ...yupo aliyemzaa na ameweza mvumilia mpaka ukamkuta mzima.Siyo mbuzi hiyo kwamba umenunua sasa una Uhuru wa kuichinja
Kama umeandika utani,ni sahihi.Kununua mtu?Biashara ya kununua wanawake ?Duh!Watu wametoa mahari mamilioni ya Pesa unasema hawajanunua Wanawake?
Mahari ni biashara ya kununua Mwanamke.
Kîla Siku nawaambia Watu waache mamila potofu ikiwemo Kutoa mahari.
Kama umeandika utani,ni sahihi.Kununua mtu?Biashara ya kununua wanawake ?Duh!
Kama umeandika utani,ni sahihi.Kununua mtu?Biashara ya kununua wanawake ?Duh!
Mahari ni biashara ya Wazazi kuuza mabinti zào.
Maelezo nje ya Hapo ni porojo zisizo na mantiki
Basi,safari ni ndefu hadi tufike pagak.Hakuna utani Hapo.
Zamani Wanawake waliuzwa Kwa ûkoo Mwingine Kwa kile kiitwacho mahari.
Yàani ukitoa Pesa au Mali àmbayo imepewa jina mahari unapewa Mwanamke alafu huyo Mwanamke anakuwa wako na anakuwa ûkoo wenu na unammiliki.
Basi,safari ni ndefu hadi tufike pagak.
Watanzania tumekuwa makatili sana hapa naona dada mmoja anaitwa esta anaohojiwa UTV akiwa haoni baada ya mumewe kumtoboa macho yote mawili bado haoni .
Mume baada ya tukio hilo amepotea kusikojulikana na jeshi la police linamsaka
Kama mtu humtaki si bora muachane kwa amani ,
Kama huna akili usioe
UTV
USSR
India wanawake ndio wanalipa mahari kwa familia ya wanaume ili kuolewa ila bado kuna jamii kubwa ya uncivilised baboons pia.Mahari ni biashara ya Wazazi kuuza mabinti zào.
Maelezo nje ya Hapo ni porojo zisizo na mantiki