Shinyanga: Polisi wafanikiwa kuzuia ndoa ya binti aliyefaulu kwenda kidato cha tano

Shinyanga: Polisi wafanikiwa kuzuia ndoa ya binti aliyefaulu kwenda kidato cha tano

Mbona vurugu haijatokea. Mnavamia harusi kutafuta umaarufu. Mara muanze kuwapiga picha maharusi Kama kuwadhalilisha.
Haijatokea ndio jambo la kushukuru, watu washajiandaa kwa sherehe kama hiyo alafu unaingia kati kuisitisha unafikir ni jambo dogo lazima ujiandae kwa lolote mkuu
 
Hii ishu siwezi kushangaa,mabinti wana shida sana simetime,kuna binti wa jamaa yangu alichaguliwa kwenda A-Level,likatokea jamaa linataka kumuoa,binti akamwambia baba yake asimpeleke A-Level badala yake aolewe kwanza,kisha baada ya kuolewa ndio aende vyuo vya nursing.Tukamuonya na kumshauri sana ndio akakubali,mwaka huu anahitimu Chuo kikuu.
 
What if kama kungetokea vurugu unafikir hao polisi wangejihami vipi ?
What if bunduki ingetumika vibaya….inaenda na bunduki kwenye watu wasio jihami tena watu wapo kwenye furaha…

Sema polisi wetu kwenye issue ya intelligensia wapo zero….ila wanatumiaka vibaya sana na wanasiasa
 
Iwe kiki,isiwe kiki,muhimu,tukio lishafanyika na ndoa kwa mwanafunzi ishazuilika
Shida sio kuzuia ndoa ya mwanafunzi shida wazuiaje hiyo ndoa.

Kuzuia ndoa ni sahihi,wanamlinda mtoto .

We unafikiri hiyo situation haitamuathiri huyo wanaemlinda??
 
Shida sio kuzuia ndoa ya mwanafunzi shida wazuiaje hiyo ndoa.

Kuzuia ndoa ni sahihi,wanamlinda mtoto .

We unafikiri hiyo situation haitamuathiri huyo wanaemlinda??
Kawaida kuzuia matukio kama haya inawezkuleta athari kama hapatokuwepo nguvu ya kutosha, kwa aina ya tukio hilo,hakuna ubaya nguvu iliyotumika.
 
Huyo mdada akienda kusema sutaki kwenda form five,badala yake nataka kwenda chuo cha kati,itakuaje?
Wamezingua.
Au akisema hataki kusoma anataka kuwa mkulima na mfanyabiashara wa mazao.
 
Acha kudanganya watu sheria ya ndoa imeruhusu mtoto wa miaka kumi na nne kuolewa kwa ridhaa ya wazazi Kama wazazi wamekubaliana wewe unaingilia Nini?. Halafu kitu kingine elimu ya msingi ni form four kwa Sasa. Sasa kashavuka huko Bado mnamfuatilia.
Acha kuchanganya mambo,sheria hiyo haijasema Mwanafunzi wa secondary ruksa kuolewa
Mnashabikia Wanafunzi kuolewa
 
Ikiwa ni tofauti ya siku mbili tangu kuadhimishwa siku ya mtoto wa Afrika ilikwend ana kauli mbiu ya Mpe nafasi msichana boresha sheria ya ndoa na kuchagizwa na mabango yenye jumbe mbalimbali kama USINIPE MUME NIPE ELIMU.


Kichwa cha Post yako na video iliyopo vinatofautiana kwani ndoa ilikwishafungwa, polisi walizuia tafrija ya mkwilima na bi harusi.
 
Mwanafunzi haijalishi kuwa ameenda shule au hajaenda shule,taarifa inasema kwamba anatarajiwa kuingia kidato cha nne, kwa maana hiyo bado anahesabika kama mwanafunzi,kama angekuwa hayupo katika mahesabu ya kwenda shule, basi ungekuja kutetea hoja yako hii dhaifu.
Kama utasema huyo bado hajaenda shule,basi na hawa wengine wakiwa likizo tutasema hivi hivi kwamba bado hawapo shuleni, na kama kwenda shuleni ni hiyari, kwanini asingejitoa kwenye uanafunzi, lakini haiwezekani mtu bado upo kwenye mahesabu ya wanafunzi halafu aje mtu kusema kwamba eti shule ni hiyari,hivi unajua kweli kidato cha tano na sita bado ni wanafunzi ama na wewe tukupe mtihani wa uelewa
Nikikuuliza nionyeshe Id yake yoyote inayomtambulisha kama mwanafunzi sjui utanipa hoja gani.....

Id yake ya Uanafunzi ime-expire tarehe 31/12/2022 na mpaka sasa hana Id yoyote inayomtambulisha kama mwanafunzi wa shule flani......, Kwa mantiki hyo tayari anatambulika kama Raia wa kawaida mwenye haki zote za Msingi....

Hivyo kuingilia ndoa yake ni kama kuingilia uhuru wake na mawazo yake kwa Ujumla hivyo itampelekea kupata matatizo ya kisaikolojia mfano kutojiamini na kujiona mnyonge na asiye na thamani.

Mkuu wa Wilaya anapaswa kuwajibika kwa kumlipa fidia muathiriwa...

Nitafutieni namba za familia yao tukapande kizimbani tujibishane kidogo[emoji28]
 
Nyie wazazi mapopoma endeleeni kuuchonga tu hapa nyuma ya keyboard zenu tutawavunja miguuu! Ozesheni watoto wa kike walioko shuleni tuone kama mtasalimika!
 
Nyie wazazi mapopoma endeleeni kuuchonga tu hapa nyuma ya keyboard zenu tutawavunja miguuu! Ozesheni watoto wa kike walioko shuleni tuone kama mtasalimika!
Wewe nani amekwambia yeye ni mwanafunzi na kigezo kipi haswa wametumia kumuita yeye mwanafunzi
 
Eti nipe Elimu,wanawake wangapi wanamaliza University wanakosa kazi,wanaishia kuwa michepuko au kudanga.Halafu Kuolewa si mwisho wa elimu,unaweza ukasoma chuo ukiwa umeolewa.Mimi ningekuwa huyo binti ningewashtaki hao mkuu wa mkoa,wangenipa fidia na shule siendi ningeanza kupiga biashara na mme wangu.
Ni wazazi ndiyo wanataka binti aolewe wapate mahari wakati binti amechaguliwa kuendelea kidato cha tano

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom