Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Pole sana Salum. Mungu amekulinda na aendelee kukulinda
Sasa wewe unaguna akishauriwa Mgombea Mwenza akasaidiwe na Magufuli japo gari moja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana Salum. Mungu amekulinda na aendelee kukulinda
Hata wao wanajua ni ubishi tuu, hata hospitali walipopelekwa baada ya ajali ni kazi ya rais, tena utakuta ni kati ya zile hospitali mpya alizojenga kwenye 5 ya kwanza.Sasa wewe unaguna akishauriwa Mgombea Mwenza akasaidiwe na Magufuli japo gari moja?
Mkuu kuna mgombea udiwani ni mtoto wa mganga wa kienyeji aliwambia wasikanyage huko wakawa wabishi
Dah pole sana Salum Mwalim. V8 zinahitaji madereva wenye uzoefu na barabara za vumbi zinahitaji mwendo mdogo.Tunapokea habari kuwa mgombea mwenza wa CHADEMA ndugu Salum Mwalim amepata ajali ya gari nadhani maeneo ya Msalala
====
Tumepata ajali mbaya sana eneo la Msoka Kata ya Ngogwa, Jimbo la Msalala tukitoka kwenye mkutano wa Kampeni jimbo la Msalala tukienda kwenye mkutano wa Kahama.
Kwenye gari alikuwepo Mgombea Umakamu wa Rais (CHADEMA), Mheshimiwa Salum Mwalimu, Katibu wa Makamu wa Rais, Gerva Lyenda, Mlinzi, Omary na Dereva, Haule.
Gari ilipinduka kuzunguka mara tano.
Mpaka sasa wote tupo salama, labda kama kutakuwa na maumivu ya ndani.
Kumbe uganga wa kienyeji una nguvu kiasi hichi?Mkuu kuna mgombea udiwani ni mtoto wa mganga wa kienyeji aliwambia wasikanyage huko wakawa wabishi
pale kuna mauzauza hakuna kampeni yeyote inaendelea kuna mtoto wa mganga wa jadi anagombea hata ccm hawafanyi kampeni hukoDah pole sana Salum Mwalim. V8 zinahitaji madereva wenye uzoefu na barabara za vumbi zinahitaji mwendo mdogo.
Weweee.......!!!Ilo eneo hapo kwenye ajali apakuwa na simba karibu!!
Kuna mwanamziki nae aliangukia hapohapo yule mganga ni nomaeddy funguka zaidi.
Sema V8 kwenye vumbi hazifai kabisa. Tena ni hatari mno, zinahitaji mzoefu wa barabara za vumbiPoleni sana wahanga, Mnapaswa kuwa makini barabara hiyo ni ya udongo ,vumbi na rasta za kutosha. Hupaswi overtake na speed ama zaidi ya 60..... ama chini ya 20.
Hua zinafanyaje?Sema V8 kwenye vumbi hazifai kabisa. Tena ni hatari mno, zinahitaji mzoefu wa barabara za vumbi
Dereva akikanyaga mbav za mbwa na akijaribu eithe kushika brake au kuirejesha gari basi hapo utaona gari imeanza kukatika mauno na mwisho wake ni kuzunguka mara kibao. Zile za PSU zimetengenezwa maalumu lakini hizi za kawaida zinakuwa nyepesi sana.Hua zinafanyaje?
Kuna mwanamziki nae aliangukia hapohapo yule mganga ni nomaeddy funguka zaidi.
Hilo eneo linaitwa nyanhwale, lina mauzauza ya kichifu mtu anaanguka anaendesha baiskeli sembuse gari, hata halmashauri ya msalala iko kahama mjini ndo ujue hapafaiPoleni sana wahanga, Mnapaswa kuwa makini barabara hiyo ni ya udongo ,vumbi na rasta za kutosha. Hupaswi overtake na speed ama zaidi ya 60..... ama chini ya 20.