#COVID19 Shirika la Afya Duniani (WHO) laitaka Tanzania kujiandaa kupokea chanjo ya Corona

#COVID19 Shirika la Afya Duniani (WHO) laitaka Tanzania kujiandaa kupokea chanjo ya Corona

Mwaka huu wa 2021 kwangu uko vizuri, si unajua sisi tuliojiajiri hatutegemei mbeleko ya yoyote? Kama hujaelewa nilichoandika, toa maksi za kunifelisha kwenye hiyo marking scheme yako.
Inatosha tu kama umeelewa mwenyewe😂!
 
Hatupokei chanjo za kuletewa, watusubiri tutengeneze zetu na wao wawe tayari kuzipokea! Wapuuzi sana hawa! Kwetu tatizo siyo corona sisi tunataka chanjo ya malaria, kifua kikuu, ukimwi, kisonono, gonora, pressure, na kansa!

Hiyo covid-19 wapambane nayo wenyewe, siye huku Mungu ameshatuchanja! Huo ujuha wapeane wenyewe! Tanzania tutasimama kwa neema ya Mungu!
Sasa si mtengeneze ?, au mpaka mpewe ruhusa ? Eti tunataka..., haya mambo hayapatikani kwa wishful thinking bali kwa investment, research na experimentation, na kwa kutegemea neema ya Mungu badala ya kuumiza kichwa maabara tutasubiri sana na tutakuwa watu wa kutegemea misaada
 
Hatupokei chanjo za kuletewa, watusubiri tutengeneze zetu na wao wawe tayari kuzipokea! Wapuuzi sana hawa! Kwetu tatizo siyo corona sisi tunataka chanjo ya malaria, kifua kikuu, ukimwi, kisonono, gonora, pressure, na kansa!

Hiyo covid-19 wapambane nayo wenyewe, siye huku Mungu ameshatuchanja! Huo ujuha wapeane wenyewe! Tanzania tutasimama kwa neema ya Mungu!
Sasa hizo chanjo si mtengeneze wenyewe. Mnataka then awatengenezee nani? Hii akili ya wapi? Wao kama hawana malaria wewe mwenye nayo si utafute chanjo?kwani dawa za malaria zinazotumika zinatoka wapi? Tuanzie hapo.
 
Siku moja baada ya Rais wa Tanzania, John Magufuli kutaka wizara ya afya kutokukimbilia chanjo ya Corona, Shirika la Afya Duniani WHO imeitaka nchi hiyo kujiandaa na chanjo ya Corona kama mataifa mengine duniani.

Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kwa njia ya mtandao, mkuu wa WHO kanda ya Afrika Dkt. Matshdiso Moeti amesema kuwa Tanzania inatakiwa kutumia mwanya wa upatikanaji wa chanjo kwa faida ya wananchi na kanda ya Afrika Mashariki kwa ujumla.

''Tumeanza kuwasiliana upya na ngazi za juu za uongozi, na tunatoa mchango wetu kama ilivyokua hapo mwanzo, na tunataka kushirikiana na Tanzania, kwa niaba ya watu wa Tanzania, nchi jirani na dunia kwa ujumla. Sehemu ya mawasiliano yetu na Tanzania ni kukumbusha serikali kuwa, hii ni sehemu ya makubaliano ya kanuni za afya za kimataifa ambapo nchi wanachama wamekubali kwa pamoja kuzuia kusambaa kwa magonjwa'' anasema Dkt. Moeti.

WHO inasema kuwa imekua ikitoa mchango na kuwasiliana na serikali ya Tanzania kuanzia mwanzo wa janga hili la Corona. Shirika hilo pia limesisita Tanzania kutoa takwimu za mwenendo wa Corona nchini Tanzania ili iwe rahisi katika kupambana na kuzuia maambukizi mapya.

Naye katibu mkuu wa Shirika la Afya Duniani, Tedros Ghebreyesus anasema anaunga mkono alichosema @MoetiTshidi, anatoa rai hatua dhabiti za kiafya kukabiliana dhidi ya corona zinapaswa kufuatwa na kujiandaa kupokea chanjo.

Takwimu ni suala la muhimu pia kwa Tanzania kuzitoa, tena baada ya kesi za miongoni mwa wasafiri na wageni katika miezi ya hivi karibuni.

Chanzo: BBC SWAHILI
Hatutaki kuchanjwa kwa lengi la kutufanya viuume vyetu vidogoshwe ili tusiwalambe mademu wa kizungu. Naona wameona wivu baada ya kuona tunawala Sana wao wanadharauliwa Mana tuna mashine kwelikweli
 
Sasa si mtengeneze ?, au mpaka mpewe ruhusa ? Eti tunataka..., haya mambo hayapatikani kwa wishful thinking bali kwa investment, research na experimentation, na kwa kutegemea neema ya Mungu badala ya kuumiza kichwa maabara tutasubiri sana na tutakuwa watu wa kutegemea misaada
Hatuna haraka nayo, nyie na mabwana zenu na haraka zenu embu tupisheni! Tutakapo ihitaji tuta 'nvest' na kutengeneza! Kwa sasa tunapambana na malaria, kifua kikuu, ukimwi, kaswende, nk, covid-19 isitutoe kwenye reli😡, tupo serious ebo! Style ya maisha yetu yenyewe ni chanjo tosha afu wajinga wanatuletea upuuzi wa vijanjo vya kizushi mfyuuuuuu!
 
Corona hatuna, sasa mambo ya kuchanjana yanatoka wapi?

Hizi chanjo ndio zinazalisha mashoga hizi.

Miaka ya sabini machoko walikua wachache sana tofauti na sasa.
 
Ww hujitambui ndio tatizo! Magu anazo taarifa ambazo ww hutakuja kuzijua na anafanya maamuzi kwa kuzingatia tija ya watz

Wapotelee mbalu na international health isiyojali vifo vyabmalaria na hiv na kuangalua covid-19 isiyo na madhara kiasi hicho kwetu! Wanatupima, nafikiri hawajatutambua bado watz na Magu wetu!
Haha mkuu unaandika kishabiki sana. Chanjo zitakuja na watu watachanjwa. Viongozi wetu watasafiri vipi kwenda bila kuchanjwa? Haya makelele mnayopiga humu ni ushabiki wa vyama na chanjo ikianza mtageuka tena kumtukuja huyohuyo aliyezikataa mwanzo
 
Hatuna haraka nayo, nyie na mabwana zenu na haraka zenu embu tupisheni! Tutakapo ihitaji tuta 'nvest' na kutengeneza! Kwa sasa tunapambana na malaria, kifua kikuu, ukimwi, kaswende, nk, covid-19 isitutoe kwenye reli😡, tupo serious ebo! Style ya maisha yetu yenyewe ni chanjo tosha afu wajinga wanatuletea upuuzi wa vijanjo vya kizushi mfyuuuuuu!
Mkuu hebu nitajie chanjo iliyowahitengenezwa Tanzania?
 
Sasa hizo chanjo si mtengeneze wenyewe. Mnataka then awatengenezee nani? Hii akili ya wapi? Wao kama hawana malaria wewe mwenye nayo si utafute chanjo?kwani dawa za malaria zinazotumika zinatoka wapi? Tuanzie hapo.
Hivi huelewi! Dawa za malaria tunazijua mpaka na 'pharmacodynamic & kinetics! Hiyo chanjo walioikimbiza hatakaharaka baada ya kutengeza kirus ndio hatuielewi na hatuitaki! Na kukazia tu hatuhitaki kuielewa maana tumeshajua lengo lake!
 
🤣🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwisho wa siku hii chanjo tutapewa bure huku wengine wakiinunua kwa gharama mara mbili!

Saa nyingine mikwara ya JPM inasaidia sana.
Nimeipenda iyo coment
 
Haha mkuu unaandika kishabiki sana. Chanjo zitakuja na watu watachanjwa. Viongozi wetu watasafiri vipi kwenda bila kuchanjwa? Haya makelele mnayopiga humu ni ushabiki wa vyama na chanjo ikianza mtageuka tena kumtukuja huyohuyo aliyezikataa mwanzo
Aisee, kweli hujaelewa kinachoendelea! Yaani umeshajua hii ni sumu na haifai afu urudi kinyumenyume uinywe! Bado hujaielewa Tz ya sasa chini ya mtumishi wa Mungu Magufuli ww! Hiyo imeisha hiyo!
 
Hatuna haraka nayo, nyie na mabwana zenu na haraka zenu embu tupisheni! Tutakapo ihitaji tuta 'nvest' na kutengeneza! Kwa sasa tunapambana na malaria, kifua kikuu, ukimwi, kaswende, nk, covid-19 isitutoe kwenye reli😡, tupo serious ebo! Style ya maisha yetu yenyewe ni chanjo tosha afu wajinga wanatuletea upuuzi wa vijanjo vya kizushi mfyuuuuuu!
Hivi upo serious, unafurahisha baraza au una muda wa kupoteza ? Fanya research kidogo tu hayo magonjwa uliyotaja kama kuna au hakuna mchango wa hao so called mabeberu (sometimes wanaitwa wadau) depending mnapiga siasa wapi....

Tuache siasa kwenye vitu serious...., alijisemea 2 Pac... "You Say its a White Man I Should Fear..., But its my Own Kind Doing all the Killing Here"
 
Mkuu do you think critically. Why Asian viccine is different from Europe and U.S vaccine?. If WHO is for global health why does not join all scientists in these countries so that they could make one vaccine and use it to inject to all people in the world including them. Why Asian countries they've their own vaccine and European countries have their own vaccine.
Nikwasababu wanauwezo na miundombinu ya kuzitengeneza
 
Mkuu hebu nitajie chanjo iliyowahitengenezwa Tanzania?
Dogo ulikuwa bado kuzaliwa, na zilitengenezwa hapo ubungo external! Mpaka wajinga walipo tusaliti kwa vipande vya fedha na kuishauri serikali kuanza kuagiza kwa watengezaji wa ughaibuni
 
Nikwasababu wanauwezo na miundombinu ya kuzitengeneza
oooooh no no no no, basi haina maana ya WHO, WHO has to join all nation to make one kind of vaccine no separately like this. This is global immunity because we are both suffering from one disease.
 
Aisee, kweli hujaelewa kinachoendelea! Yaani umeshajua hii ni sumu na haifai afu urudi kinyumenyume uinywe! Bado hujaielewa Tz ya sasa chini ya mtumishi wa Mungu Magufuli ww! Hiyo imeisha hiyo!
Nimesema hivyo kwa vile hata chanjo ya polio ilipataga upinzani kwenye baadhi ya inchi za Africa , Asia na America kusini na sababu zilikua kama hizi za sasa lakini mwisho wa siku mataifa huko kote yaliachia na watoto waliendelea kuchanjwa. Mwisho wa siku waliokuwa wanazuia chanjo walionekana wajinga
 
Dogo ulikuwa bado kuzaliwa, na zilitengenezwa hapo ubungo external! Mpaka wajinga walipo tusaliti kwa vipande vya fedha na kuishauri serikali kuanza kuagiza kwa watengezaji wa ughaibuni
Bado hujaitaja hiyo chanjo
 
Hivi upo serious, unafurahisha baraza au una muda wa kupoteza ? Fanya research kidogo tu hayo magonjwa uliyotaja kama kuna au hakuna mchango wa hao so called mabeberu (sometimes wanaitwa wadau) depending mnapiga siasa wapi....

Tuache siasa kwenye vitu serious...., alijisemea 2 Pac... "You Say its a White Man I Should Fear..., But its my Own Kind Doing all the Killing Here"
Wakileta dawa na chanjo za kikweli wanakuwa wadau, lakini wakileta sumu ya kutudhoofisha kiuzazi, kifikra au kutuua polepole wanakuwa mabeberu! Bado hujaelewa tu hapo! Jambo hili lipo serious kuliko neno 'serious' lenyewe! Hawa mabwana zako wako serious na kutuhujumu! Ww ambaye bado kujitambua ndio utaona haya yote tuyasemayo ni porojo!
 
Wakileta dawa na chanjo za kikweli wanakuwa wadau, lakini wakileta sumu ya kutudhoofisha kiuzazi, kifikra au kutuua polepole wanakuwa mabeberu! Bado hujaelewa tu hapo! Jambo hili lipo serious kuliko neno 'serious' lenyewe! Hawa mabwana zako wako serious na kutuhujumu! Ww ambaye bado kujitambua ndio utaona haya yote tuyasemayo ni porojo!
Kwahio mfano wa hii sumu ya Corona wakiwapa wananchi wao inakuwa pipi, ngozi nyeusi inakuwa sumu ? Na ungejua Capitalist Countries wanatuhitaji sisi tukiwa hai (as a market, labor force and source of raw materials) haya yote usingesema...

Tunajiona werevu tunawapeleka watu wetu kwenye machimbo, wanaharibu afya zao na makemikali kuchafua vyanzo vya maji ili tu tuchimbe so called madini tubadilishane na pesa zao (dollars) na tunajiona matajiri wakati bling bling wanavaa wao sisi huku tunabaki na afya mbovu... alafu tunatafuta mchawi ni nani.., na mwanasiasa ili asilaumiwe yeye anaku-convice kwamba wale ndio mwanzo na mwisho wa matatizo yako....
 
Back
Top Bottom