Shituka kijana, wewe sio benki kwenye mahusiano yako

Upo sawa ila suti bega analia.....kasomesha afu baada ya ndoa mambo yamegeuka
Dah! Kunawimbo unaitwa Stella wangu umeimbwa na Freshley Mwamburi sijui ni kisa Cha kweli ama lah.

Ila Mzee Mwamburi analalamika Stella kachana mkeka baada ya kurudi kutoka masomoni huko Japani Ili hali yeye alikuwa anawekeza hapo Ili aoe.Kauza mashamba gari,mbuzi na ng'ombe kwaajili ya Stella lakini Stella kaangukia Kwa Mfupi futi inne Mjapani[emoji851]
 
Yamemkuta mdogo wangu suti bega na mc pilipili
 
Wa
Wanawake huwa hawatumii rafu fedha za mwanaume wanaempenda ,ukiona mwanamke anatumia fedha zako rafu fatilia nyendo zake utagundua hakupendi so piga chini Hamna sababu ya kukaa na mwanamke asiyekupenda hata kama ni mzur kias gan i repeat usikae na mwanamke ambaye hakupendi kisa wewe unampenda Bora uwe na mwanamke WA kawaida ila akupende yeye,

Demu mpe vizawadi siyo fedha cash i repeat usitoe cash hata siku moja akikwambia kusuka mwekee billy,akikwambia anashida na kitu flan mletee ,yaaan ikitokea umempa fedha hakikisha ni exactly labda nauli , don't be nice to women never

☝️ with this treatment hata kama mwanamke alikuwa hakupendi atakupenda tuu
 
Bro una pigo za kiduwanzi, una tu snitch maselaπŸ˜†πŸ€£
Sinaga pigo za Kidwanzi Mimi hata kama Nampa Mtu kitu wa jinsia yoyote huwa sitegemei malipo au shukrani. Na furaha yangu ni kutoa hasa kwa Wanawake na hua natoa kwa hiari yangu sio kwa kuombwa aisee hilo kwangu halipo. Kuna msemo unasema A WOMAN WHO DOESN'T ASK FOR ANYTHING SHE DESERVES EVERYTHING. Sijui hata Wewe unapotoa kitu kwa Mwanamke/ Msichana huwa unategemea kupata chochote kitu ? Kila Mtu ana chaguo na Maamuzi yake mdogo wangu. Lakini sio mbaya kutukumbushia πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hao Wanawake wasio ask anything πŸ€£πŸ€“, labda twende Jupiter πŸ˜€πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…