Shituka kijana, wewe sio benki kwenye mahusiano yako

Shituka kijana, wewe sio benki kwenye mahusiano yako

Hii thread imeandiliwa kwa dhana ya ubaguzi,

siku zote unafanya kinacho wezekana katika maisha yako

usiangalie huyu au yule Aishi vipi

kama kipato chako kinaruhusu kwanini usitoe fedha kuhudumia

kutoa ni moyo na sadaka ukitoa utapata kwa zaidi, kila mmoja na anavyo amini
 
Hii thread imeandiliwa kwa dhana ya ubaguzi,

siku zote unafanya kinacho wezekana katika maisha yako

usiangalie huyu au yule Aishi vipi

kama kipato chako kinaruhusu kwanini usitoe fedha kuhudumia

kutoa ni moyo na sadaka ukitoa utapata kwa zaidi, kila mmoja na anavyo amini
Utalia kama suti bega wa sinza 🤣🤣🤣😂
 
Kaficha from za usajili mpya huyo. Anahujumu chama
Rasmi naku patia kadi ya kataa ndoa, wewe ni mwanachama halisi
th (6).jpeg
 
Back
Top Bottom