Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Kwani wewe unajua naishi wapi usidanganyike na comment zangu jukwaani mara niandike nipo karikoo mara mbezi😁Danganya ma pimbi🤓🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe unajua naishi wapi usidanganyike na comment zangu jukwaani mara niandike nipo karikoo mara mbezi😁Danganya ma pimbi🤓🤣
una fanya mwenyekiti nionekane dhaifu🤓🤣Sawa ila mimi siwezi kwangu Mwanaume lazima anijali kuanzia kwenye unyayo mpaka kichwanii.
Anakuchania mkeka😁una fanya mwenyekiti nionekane dhaifu🤓🤣
😄Unamuita kaka ili asiwe mgombea wa nafasi iliyoachwa wazi?😂
Jamanii ngoja niwaache na mada hii ila kifupi changa la macho🐒
Kaka wasi tugombanishe🤓🤣
Jamaa anajitetea sana kumbe jimbo liko wazi na dirisha la usajili liko wazi
Kita kuhusu🤓🤣Unamuita kaka ili asiwe mgombea wa nafasi iliyoachwa wazi?😂
Jipe moyo, kifatacho ni mazishi🤓🤣Jamaa anajitetea sana kumbe jimbo liko wazi na dirisha la usajili liko wazi
Huyu ni mweka hazina wetu kwenye chama letu la kataa ndoa ,acha heshima ifuate mkondo wake.Jamaa anajitetea sana kumbe jimbo liko wazi na dirisha la usajili liko wazi
Ubarikiwe kijana, next time kwenye kikao nita kupa cheo kipya🤒Huyu ni mweka hazina wetu kwenye chama letu la kataa ndoa ,acha heshima ifuate mkondo wake.
😅🙏Ubarikiwe kijana, next time kwenye kikao nita kupa cheo kipya🤒
Kaficha from za usajili mpya huyo. Anahujumu chamaHuyu ni mweka hazina wetu kwenye chama letu la kataa ndoa ,acha heshima ifuate mkondo wake.
😁Kaficha from za usajili mpya huyo. Anahujumu chama
Asante kiongozi umeona mbali mkuu unakuta mtu hana boksa alaf anamnunulia chupi demu ujinga mwingi@Intelligent businessmanproton pump, 100 others tume hamia Huku.
Mimi ni Mwanaume Mkuu 🙏Ila mama yako mzazi unataka ahudumiwe na kusaidiwa na mumeo?
Nikisema wanawake ni wabinafsi sana sidhani kama nakosea..
Jukumu la kusaidia wazee waliokuzaa kwa mwanaume ni jukumu la lazima kwa mujibu wa dini ya kiislamu.
Na sijui wanawake kinawauma nini ukianza kusaidia wazazi wako waliokuzaa na kukulea.
Ni roho mbaya tu inawapelekesha, siku zote mke ni mpita njia tu na sio rafiki wa kudumu,,,, ila mama yako na baba yako ndio damu yako ya kudumu hata iweje.
Wale wazee wa kataa ndoa naanza kuwaelewa na mimi ijapokuwa sijui mnawasema vbaya sijui ni wazee wa upinde hayo ni majina tu yasiyo na ukweli.
Ukitaka kumuuwa mbwa mpe jina baya.