Shituka kijana, wewe sio benki kwenye mahusiano yako

Shituka kijana, wewe sio benki kwenye mahusiano yako

Jamanii ngoja niwaache na mada hii ila kifupi changa la macho🐒
tapatalk_1573179907198.jpg
 
Ila mama yako mzazi unataka ahudumiwe na kusaidiwa na mumeo?

Nikisema wanawake ni wabinafsi sana sidhani kama nakosea..

Jukumu la kusaidia wazee waliokuzaa kwa mwanaume ni jukumu la lazima kwa mujibu wa dini ya kiislamu.

Na sijui wanawake kinawauma nini ukianza kusaidia wazazi wako waliokuzaa na kukulea.

Ni roho mbaya tu inawapelekesha, siku zote mke ni mpita njia tu na sio rafiki wa kudumu,,,, ila mama yako na baba yako ndio damu yako ya kudumu hata iweje.

Wale wazee wa kataa ndoa naanza kuwaelewa na mimi ijapokuwa sijui mnawasema vbaya sijui ni wazee wa upinde hayo ni majina tu yasiyo na ukweli.

Ukitaka kumuuwa mbwa mpe jina baya.
Mimi ni Mwanaume Mkuu 🙏

Hoja yangu ilikuwa unaanzaje kumsaidia majukumu Baba yako kumhudumia Mke wake wakati nawe una Mke wako hutaki kumhudumia?

Bila Mke, hao watoto utazaa na nani?

Mwanamke akishakuzalia obvious unatakiwa kumpa umuhimu na umuhudumie Kwa upendo kama alivyobeba Jukumu la kukuzalia
 
Back
Top Bottom