Shituka kijana, wewe sio benki kwenye mahusiano yako

Shituka kijana, wewe sio benki kwenye mahusiano yako

ASANTE CHIEF, HII 50 BORA NIMTUMIE MAMA ATUMIE ATAKACHO, HUYU DEMU KAMA ana wa kumpa hela akampe na mbunye ampelekee, tumegeuzwa chuma ulete, tunapambania furaha za mademu kuliko hata furaha zetu, as long as sio mlemavu atafute hela kama mwanaume anavyotafuta, dunia ya sasa ni 50/50, kwahyo hakuna sababu yoyote ya mwanamke kutotafuta hela yake, wapenz kusaidiana ni kawaida lakini liwe hitaji stahiki na sio kuombana ombana kila siku, leo vocha kesho ped kesho kutwa anaumwa mara kodi
 
ASANTE CHIEF, HII 50 BORA NIMTUMIE MAMA ATUMIE ATAKACHO, HUYU DEMU KAMA ana wa kumpa hela akampe na mbunye ampelekee, tumegeuzwa chuma ulete, tunapambania furaha za mademu kuliko hata furaha zetu, as long as sio mlemavu atafute hela kama mwanaume anavyotafuta, dunia ya sasa ni 50/50, kwahyo hakuna sababu yoyote ya mwanamke kutotafuta hela yake, wapenz kusaidiana ni kawaida lakini liwe hitaji stahiki na sio kuombana ombana kila siku, leo vocha kesho ped kesho kutwa anaumwa mara kodi
Naam, nafurahia kuona wajumbe mki elimika.
 
Wanawake ni wanyonyaji.... Mpe hela mke wako tu au mzazi mwenzio. Wengine chapa ilale.
Kuna kipindi nilikuwa na mahusiano na Single mother sasa akaniomba pesa ya kumlipia ada mtoto wake, Mimi moyo ulikuwa unasema nisimpe siyo jukumu langu no jukumu lake na huyo Baba mtoto wake, Sasa tokea nimnyime pesa akawa hataki mawasiliano na mimi aka ni block, Sasa nina rafiki yangu wa kizungu ni Mtu mzima ni Mmama nikajaribu kumuadisia changing cha ugomvi wetu ili nisikia jibu la huyu Mama wakizungu.
Jibu alilonipa kwanza aliniuliza je huyo mtoto Naismith nae mimi nikajibu hapana, Yeye huyo Mama wa kuzungu akaniambia Nisimpe pesa siyo jukumu lako hilo na ata Kodi nisimlipie.
 
Hii inakuhusu wewe,baada ya mwajuma kukugeuka ukaona upunguze uchungu kwa kutoa maneno humu.


Hongera sana kwa thread nzuri kukumbusha kufanya vitu kwa kiasi,safi sana baba Mwajuma,ilikuwa march 8,yes kumbukumbu zangu ilikuwa tayari umenyimwa kugusanisha kikojoleo kwa yule binti na maneno machafu juu.🤣
 
Hii inakuhusu wewe,baada ya mwajuma kukugeuka ukaona upunguze uchungu kwa kutoa maneno humu.


Hongera sana kwa thread nzuri kukumbusha kufanya vitu kwa kiasi,safi sana baba Mwajuma,ilikuwa march 8,yes kumbukumbu zangu ilikuwa tayari umenyimwa kugusanisha kikojoleo kwa yule binti na maneno machafu juu.🤣
Complimenting and dissing me at the same time😆🤣🤣.

siku wahi fikiria hata KU hold her hand, ndo sembuse kuruka juu ya 6*6 🤣
 
ASANTE CHIEF, HII 50 BORA NIMTUMIE MAMA ATUMIE ATAKACHO, HUYU DEMU KAMA ana wa kumpa hela akampe na mbunye ampelekee, tumegeuzwa chuma ulete, tunapambania furaha za mademu kuliko hata furaha zetu, as long as sio mlemavu atafute hela kama mwanaume anavyotafuta, dunia ya sasa ni 50/50, kwahyo hakuna sababu yoyote ya mwanamke kutotafuta hela yake, wapenz kusaidiana ni kawaida lakini liwe hitaji stahiki na sio kuombana ombana kila siku, leo vocha kesho ped kesho kutwa anaumwa mara kodi
Safi Sana, achana na hisia za kibwege zenye shida ndani yake.
 
Hii inakuhusu wewe,baada ya mwajuma kukugeuka ukaona upunguze uchungu kwa kutoa maneno humu.


Hongera sana kwa thread nzuri kukumbusha kufanya vitu kwa kiasi,safi sana baba Mwajuma,ilikuwa march 8,yes kumbukumbu zangu ilikuwa tayari umenyimwa kugusanisha kikojoleo kwa yule binti na maneno machafu juu.🤣
Hey bro what's up,
 
Back
Top Bottom