Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #461
KATAA MKATABA wa mchongoKATAA NDOA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KATAA MKATABA wa mchongoKATAA NDOA
Yaah nitakuwa sikumbuki fresh.Hiyo ni ile brawn strawman Ali kuja na money in the bank.
Ume sahau??
Nime angalia mieleka since mtoto, our whole family ni ma big fan wa wwe 😄Yaah nitakuwa sikumbuki fresh.
Na unatunza kumbukumbu vizuriNime angalia mieleka since mtoto, our whole family ni ma big fan wa wwe 😄
Kuhusu kumbukumbu Niko vizuri kidogo.Na unatunza kumbukumbu vizuri
Mama alishaona unaweza kuwa mwehu kama Brock. Kwa haraka haraka Brock sio mzima😂😂😂Kuhusu kumbukumbu Niko vizuri kidogo.
Home Hadi huwa tuna gombana 😄🤣, mama hataki nimshabikie Brock 😄
Nina my last sibling, huyu ni zaidi ya mama angu wa pili 🤣😄.Mama alishaona unaweza kuwa mwehu kama Brock. Kwa haraka haraka Brock sio mzima😂😂😂
unahudumia na unakuja kusikia eti kapewa Boda boda,kisa mcheshi.Mapepo hayo...KATAA NDOAKATAA NDOA
Mtalaka wa JFI mean no malice to nobody
Utatoka tu Inshallah 🙏Kaka niambie bhana, huenda ndo deal la Mimi kutoka maghetoni
💯Acha akuite bahili lakini akiona maendeleo unayo yapata katika maisha atalazimika kuendana na mifumo yako kwa sababu anajua unajenga maisha yajayo.Kama hataki kuwa na subira, mwache aende zake.
Pamoja sana kaka
Ukiona Mwanaume yeyote analalama kwa kusalitiwa hat wengine kuwapiga risasi au kujiua ni sababu ya Kuhonga sana.Mnapopigiwa mademu hamuumii kisa kukaziwa, Mnaumizwa na pesa na muda mliopoteza kwa watu ambao sio sahihi.
Nigusie Sasa hiyo surprise??, au nzi wengi!?Utatoka tu Inshallah 🙏
Andiko lako nimelielewa sana.Pamoja sana kaka
Uko sahihi, stick to your own plann.Andiko lako nimelielewa sana.
Kuna mademu walikuwa wazuri sana. Kila nikikutana nao wananiita mimi Bahili na sikuwahi kuyumba.....at the end nikawa nawala bure kabisa.
Kijana usibabaike na majina utakayoitwa kisa unaogopa kumpotez hata kama ni mzuri kiasi gani.
Kaka nijuze Sasa hiyo surprise 😄🤔🤒Utatoka tu Inshallah 🙏
Tulia Kijana 😊Kaka nijuze Sasa hiyo surprise 😄🤔🤒