Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #141
Hiyo ndio ya kukwepa mzee 🤓,Kuna mijitu inafanya kitobo ni kitega uchumi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndio ya kukwepa mzee 🤓,Kuna mijitu inafanya kitobo ni kitega uchumi
Endelea kudanganywa na conspiracy za majangili😂🤣.Kila mwanamke ana potential kwa mtu sahihi,si lazima akupee pesa,awe na akili ya maendeleo..ila anaweza kuwa potential tu kwa maumbile yake yakakupa nguvu ya kutafuta zaidi,sauti yake ikaleta amani ya moyo na ubongo hivyo itapelekea amani nafsini mwako hata kama hauna pesa,heshima yake kwa elimu ndogo aliyonayo hata kama hana elimu kubwa ikakupa nguvu ya kutafuta na kumuwezesha zaidi,
Tabasamu lake tu pale hata kama siku hiyo hujarudi na kitenge yake/hujamletea mascara,necklaces ukajihisi umefika kwa Mungu baba mbinguni umeketi na malaika wa pekee uliyekabidhiwa kwa ajili yako
.......Wait nipokee simu ya bibi ako na nafahamu hapa ataniambia "usisahau kusali hapo ulipo na mimi nakuombea afya njema"
Kuna jomba ali niagiza nimtagutie iphone 11 Dem wake 🤓.Kibuti ni uhakika kama tarehe ya kifo
Namshukuru Mungu kwa kunipa kajangili kazuri kenye adabu.Endelea kudanganywa na conspiracy za majangili😂🤣.
Msalimie bibi, Mwambie am also doing fine.
Behind every successful man…there is a woman. You know why? Well…that’s because women DON’T follow unsuccessful men.Kuna jomba ali niagiza nimtagutie iphone 11 Dem wake 🤓.
Nika mpiga lecture, aka ishia ku block namba ya jini😂🤣.
Ila yupo mwingine asha pukutishwa, ni Kama kasha pigwa limbwata.
Kapeleka mayai 5 na chipsi yai, Dem kala kidogo aka mwambia jomba Eti acha nimpe mtoto wa jirani🤣🤣
MKUU HII UMETOA TWITTER KWA MKUU PROSPER.......NIMEFURAHI UNAWASAMBAZIA MADINI MPAKA HUKU.....BIG UP BROVijana wengi wasio na wake wanapaswa kuwa na mafanikio zaidi kuliko walivyo sasa, Lakini kwa sababu wanatumia pesa nyingi kwa wanawake ambao sio wake zao, ndio maana hawafanikiwi.
Bro unajua mapenzi yanaweza kukurudisha nyuma kama usipoingia kwa akili?Ila mapenzi ni matamu sometimes lakini mpaka upendwe kwa dhati.
Unaamini demu wako anawezakuwa drawback yako katika maendeleo? Sa skia mwanangu, usiruhusu mwanamke akutengenezee failure.
Kuna maoni mengi potofu kuhusu pesa na mahusiano kwa baadhi yetu vijana.
Vijana tunapaswa kudhibiti uwezo wetu wa kutaka kuaminisha upendo kwa kuwapatia wanawake ambao sio wake zetu pesa.
Je, huna Mama, Baba, ndugu wanaohitaji?Hao ndio unapaswa kuwasaidia na sio mpenzi wako na familia yake. Hautasonga mbeleMungu hatakubariki kwa kile unachofanya.
Utabarikiwa na Mungu pale tu unapowasaidia wenye uhitaji, wazazi wako, mke wako na watoto wako.
Je, mpenzi wako ni mtu mwenye uhitaji maalum?Je, ulikutana nae kwenye nyumba ya watoto yatima?Ulikutana nae mitaani?Je, alikuwa akiishi vipi kabla ya kukutana nae?Nyote mnahitaji kuwa waangalifu juu ya jinsi mnavyojaribu ku'show love kwa mademu wenu.
You also have to know that women are more loyal to their feelings than your sacrifices.Ni bora mkewako akuulize kwamna"what have you ever done for me?"Kuliko akuulize dem hilo sio jukumu lako we sio baba yake. Wanawake wanapenda pesa, na ukitaka kuwapa kwa sana, hawata zikataa.
Lakini usifikiri kwamba matumizi yako juu yake, yatakuhakikishia chochote. Tumeona mara ngapi jinsi wanaume wanavyolipia ada mademu chuo, Na mwisho wake waliwaacha??Unatakiwa kumpa nini mpenzi wako?Zawadi za hapa na pale, kulipa bili unapoenda maeneo ya starehe, na mara chache unaweza kumsaidia kwa fedha kidogo pale tu inapohitajika.
Na hata sio inshu ya kufanya wiki chache baada ya kukutana nae. Lazima uchukue muda kumjua ni mtu wa aina gani.
Pesa yoyote unayotumia kwa demu sio investiment, haijalishi ni kidogo kiasi gani. So, fanya kidogo unachopaswa kufanya where necessary, Lakini usije kuingia kwenye deni kwa sababu yake.
Usikope pesa kwa sababu ya mpenzi wako.Usilipe ada zake Usimlipie kodi.Ngoja nikuambie.Unachodaiwa na mpenzi wako ni yeye kukuona ukiendelea.
Acha akuite bahili lakini akiona maendeleo unayo yapata katika maisha atalazimika kuendana na mifumo yako kwa sababu anajua unajenga maisha yajayo.Kama hataki kuwa na subira, mwache aende zake.
Yeye hatokulisha wewe.Wewe ndiye utamlisha.Kumpa pesa sana, unajiweka kwenye hali ya kushindwa kufanya maendeleo yako.
Hutakuwa na akiba na hutapata baraka zozote kutoka kwake Utakachopata ni usaliti, majuto na machozi.
Mnapopigiwa mademu hamuumii kisa kukaziwa, Mnaumizwa na pesa na muda mliopoteza kwa watu ambao sio sahihi.
I mean no malice to nobody!
View attachment 2928505
Umemuelewa mtoa mada?hajakataa mke kuhudumiwa....ila c dungangembe za mtaani ambazo ni chuma uletemwanamke lazima ahudumiwe, hiyo ni nature, tena kabla hajaomba unatakiwa ujue kua mwenza wako anashida fulani.
Kama huhudumii utasaidia na watu waliotayari kuhudumia
Behind every successful man, Kuna hustles na sacrifice zake.Behind every successful man…there is a woman. You know why? Well…that’s because women DON’T follow unsuccessful men.
Tafuta pesa mwenezi. Ukijipata unawapa kama sadaka tu
Uko sahihi, Ina bidi washituke ili wakae kimasta.Nawasikitikia sana vijana wanaojichanga halafu bado wanahudumia mademu. Kila wiki wanawatoa out na bado kuwanunulia vitu kede kede. Kuna strategy inabidi tuwapatie vijana.
Asante kwa kumu elimisha wakili wa saccoss za kuji tegemea au majini ya dharura🤓😂Umemuelewa mtoa mada?hajakataa mke kuhudumiwa....ila c dungangembe za mtaani ambazo ni chuma ulete
Naheshimu Chaguo yako, ila iki kuvunja meno. Don't call me crying 🤓😂Namshukuru Mungu kwa kunipa kajangili kazuri kenye adabu.
Nitampatia salam zake na nafikiri atapita hapa akipendezwa akupe like kama akiona.
Uko sahihi mkubwaMfano wa matendo ya shetani yapo kwenye mahusiano..🙅♂️
Wajinga Hawawezi elewa🤓Mfano wa matendo ya shetani yapo kwenye mahusiano..🙅♂️
Kuna sheria kavunja?🤔MKUU NAKUONA NA KULE TWITTER KUNA BANDIKO HILI...🤣🤣🤣🤣 AU WW NDIO PROSPER MZEE WA KUTOA MADINI????
BIG UP
Acha dharau, dungaembe af unafata kuomba uchi? Si ukanunue kitambaa cheupe sinza?Umemuelewa mtoa mada?hajakataa mke kuhudumiwa....ila c dungangembe za mtaani ambazo ni chuma ulete
Hawala lakini si anakupa huduma? Km hutaki hivyo kanunue basiAnayehudumia hawara ujue amejipata na kama bado basi hajui purpose yake katika maisha.