Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahaha hela zikikata wakati upo na slayqueen lazma kiumane 😂Dogo hawezi Elewa, hajui pesa huwa Zina kata.
Sasa Kama uli fuga zombie, lazima liku nyonye damu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha hela zikikata wakati upo na slayqueen lazma kiumane 😂Dogo hawezi Elewa, hajui pesa huwa Zina kata.
Sasa Kama uli fuga zombie, lazima liku nyonye damu
Jomba u snitch haufai🤓,
Naelewa vizuri mkuu. Bila kuwa distracted napoteza focus kabisaUna elewa maana ya distraction mkuu??, au ume andika tu 🤓.
Extrovert huyu jombi kani chekesha aisee🤣
Tafuta aliye na potential, mzee kufunga msukule wa saccoss ni hatarii 🤓Kwa hiyo tufanyeje Mkuu, wakituomba pesa...!? Nimechanganyikiwa.😂
Nimemuita shem aje aone unavyotema madini.😀Jomba u snitch haufai🤓,
Kuna i kauli Ina sema "kufa ili uishi", we bado hujafa mkuu.Naelewa vizuri mkuu. Bila kuwa distracted napoteza focus kabisa
Huko ni kuni snitch askari🤓, nionekane mkandamizaji wa haki zao🤣Nimemuita shem aje aone unavyotema madini.😀
Wawape wanaowapenda au walio waoa yaani wake zaoPesa zipo ila sio kwa ajili ya kutapanya kwa mahawara
Ndioo hahaaWacha wee, una Sema kweli🤓??
Acha kujitetea mwenezi.Huko ni kuni snitch askari🤓, nionekane mkandamizaji wa haki zao🤣
Nikadhani mimi ndio nishakufa sasa ndio naishi. Kumbe badobadoKuna i kauli Ina sema "kufa ili uishi", we bado hujafa mkuu.
Utasikia nataka Nika change weeving, akati we una waza una lipaje madeni😂Hahahaha hela zikikata wakati upo na slayqueen lazma kiumane 😂
Mkuu hiyo kauli Ina maana huwezi ona umuhimu wa Jambo.Nikadhani mimi ndio nishakufa sasa ndio naishi. Kumbe badobado
Kwani kila nkienda lazima nipeleke chochoteTufanye 15 days × 2k bado ni 30k. Kaa kimasta 🤓
Kila mwanamke ana potential kwa mtu sahihi,si lazima akupee pesa,awe na akili ya maendeleo..ila anaweza kuwa potential tu kwa maumbile yake yakakupa nguvu ya kutafuta zaidi,sauti yake ikaleta amani ya moyo na ubongo hivyo itapelekea amani nafsini mwako hata kama hauna pesa,heshima yake kwa elimu ndogo aliyonayo hata kama hana elimu kubwa ikakupa nguvu ya kutafuta na kumuwezesha zaidi,Akiwa na potential, kumgea angalau theluthi ya 000.01 sio mbaya🤓.
We spot out hata kijapani, una sahau siku ile uli kimbia🤓🤓
Kibuti ni uhakika kama tarehe ya kifoUtasikia nataka Nika change weeving, akati we una waza una lipaje madeni😂