Shituka kijana, wewe sio benki kwenye mahusiano yako

Endelea kudanganywa na conspiracy za majangiliπŸ˜‚πŸ€£.

Msalimie bibi, Mwambie am also doing fine.
 
Kibuti ni uhakika kama tarehe ya kifo
Kuna jomba ali niagiza nimtagutie iphone 11 Dem wake πŸ€“.
Nika mpiga lecture, aka ishia ku block namba ya jiniπŸ˜‚πŸ€£.

Ila yupo mwingine asha pukutishwa, ni Kama kasha pigwa limbwata.
Kapeleka mayai 5 na chipsi yai, Dem kala kidogo aka mwambia jomba Eti acha nimpe mtoto wa jirani🀣🀣
 
Mwanangu natamani huu ujumbe angesoma mshikaji wangu mmoja kazama Kwa Dem mmoja hv aiseee mshikaji Hela zake zote kawekeza Kwa Dem Kila cku namwona anavyoporomokaa kiuchumi tu mpk wafanyakazi wake wameanzaa kumkimbia kisa hawalipi aiseeee mwanaaa alikuwa ana plan kibao na zote zilikuwa Kwenye njia inayoonekanaa ,ilaa ndio kashazamaa Kwa Dem kumtoa huko mmmmhhh n ngumu ,maana bhana mapenzi Huwa hayaingiliwi Wala ushauri ..
 
Behind every successful man…there is a woman. You know why? Well…that’s because women DON’T follow unsuccessful men.
Tafuta pesa mwenezi. Ukijipata unawapa kama sadaka tu
 
MKUU HII UMETOA TWITTER KWA MKUU PROSPER.......NIMEFURAHI UNAWASAMBAZIA MADINI MPAKA HUKU.....BIG UP BRO
 
Nawasikitikia sana vijana wanaojichanga halafu bado wanahudumia mademu. Kila wiki wanawatoa out na bado kuwanunulia vitu kede kede. Kuna strategy inabidi tuwapatie vijana.
 
Behind every successful man…there is a woman. You know why? Well…that’s because women DON’T follow unsuccessful men.
Tafuta pesa mwenezi. Ukijipata unawapa kama sadaka tu
Behind every successful man, Kuna hustles na sacrifice zake.

Hizo ulizo andika ni chai za majangili ya kikeπŸ€“πŸ˜‚πŸ€£
 
Nawasikitikia sana vijana wanaojichanga halafu bado wanahudumia mademu. Kila wiki wanawatoa out na bado kuwanunulia vitu kede kede. Kuna strategy inabidi tuwapatie vijana.
Uko sahihi, Ina bidi washituke ili wakae kimasta.
 
MKUU NAKUONA NA KULE TWITTER KUNA BANDIKO HILI...🀣🀣🀣🀣 AU WW NDIO PROSPER MZEE WA KUTOA MADINI????
BIG UP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…