Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Tafuta hela Kijana kuhonga ni charity tu hiyoRejea andiko😀😂, we bado Sana aisee🤓🤓
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta hela Kijana kuhonga ni charity tu hiyoRejea andiko😀😂, we bado Sana aisee🤓🤓
We nusu kaputi hebu hudumia.Half american pimbi ume elewa!?
Brother ni kweli Sina hela, hapa penyewe sielewi nalala vipi.Tafuta hela Kijana kuhonga ni charity tu hiyo
😁Nimeona mnalinda sana wallet kuliko kuanzisha mahusiano yenye kuwapeleka kwenye Ndoa
Angalieni msije kuzeeka Singo bila familia 😜
Biblia/quran inasemaje kuhusu wajibu wa mwanaume ktk mahusiano/ndoa? Acha kukwepa majukumu mwanamke ni pambo la nyumba hivyo anahitaji huduma ya kueleweka ukishindwa basi kuwa kama mtume elisha hakuoa.Hata shule sija wahi kwenda
Mbona magari hata sio big dilii mjomba, labda tutafute pesa mpaka zifike sh ngap master [emoji848][emoji848]Mdogo wangu atafute tu hela. Maana hata V8 sio gari la Serikali ukiwa na hela unamiliki. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Je kama haupo kwenye hiyo mifumo ya hizo dini?Biblia/quran inasemaje kuhusu wajibu wa mwanaume ktk mahusiano/ndoa? Acha kukwepa majukumu mwanamke ni pambo la nyumba hivyo anahitaji huduma ya kueleweka ukishindwa basi kuwa kama mtume elisha hakuoa.
Swali zuri Sana, huenda mjomba etu ana ubia na BENKI🤓Mbona magari hata sio big dilii mjomba, labda tutafute pesa mpaka zifike sh ngap master [emoji848][emoji848]
Wenyewe nao wanawinda sana wallet kuliko mahusiano ya kuwapeleka kwenye ndoa.Nimeona mnalinda sana wallet kuliko kuanzisha mahusiano yenye kuwapeleka kwenye Ndoa
Angalieni msije kuzeeka Singo bila familia 😜
Kuwa na adabu we nusu albinooWe nusu kaputi hebu hudumia.
Shem Nuzulati njoo upewe hela huku na kakaSwali zuri Sana, huenda mjomba etu ana ubia na BENKI🤓
We kenge hudumia acha ubahili afu 30 haijengi nyumba 😂Kuwa na adabu we nusu albinoo
Usipompa nitamruhusu apewe na wengine 😂Jazaneni ujinga🤓🤒
Rangi ndoo kubwa ni elfu 30We kenge hudumia acha ubahili afu 30 haijengi nyumba 😂
Sasa rangi utapaka hewani?Rangi ndoo kubwa ni elfu 30
Ndo naunga unga hizo ndogo ndogo, nusu albinooSasa rangi utapaka hewani?
Jenga kwanza ndio ufikirie rangi vinginevyo mpe mtoto wa watu helaNdo naunga unga hizo ndogo ndogo, nusu albinoo
Nijenge ya nini, akati duniani tuna pita🤓😂Jenga kwanza ndio ufikirie rangi vinginevyo mpe mtoto wa watu hela
Na kama tunapita yanini kujenga njiani, honga 😂Nijenge ya nini, akati duniani tuna pita🤓😂