Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudi kwenye familia zetu waafrica je baba yako alikuwa marioo au alikuwa provider basi jifunze kupitia yeye ikiwezekana.. tatizo vijana sasahivi ni wavivu wa kutafuta tutafute hela tuache malalamikoJe kama haupo kwenye hiyo mifumo ya hizo dini?
Kumbe🙄Rudi kwenye familia zetu waafrica je baba yako alikuwa marioo au alikuwa provider basi jifunze kupitia yeye ikiwezekana.. tatizo vijana sasahivi ni wavivu wa kutafuta tutafute hela tuache malalamiko
Waoooh mdogo wangu kumbe upo matured hivi na hausemi🤩🤩?Sidhani kama inasaidia hata kama anatusanua maana hata kuhonga ni mojawapo ya matumizi. Mtu huwezi kumpangia matumizi ya hela zake.
Tutapanga hata mabomu ya ardhini kama mizinga ikishindikanaKuna madada ni majangili 😂🤓, acha tutegue visanga
Mwiba,una siti yako special paradiso!Rudi kwenye familia zetu waafrica je baba yako alikuwa marioo au alikuwa provider basi jifunze kupitia yeye ikiwezekana.. tatizo vijana sasahivi ni wavivu wa kutafuta tutafute hela tuache malalamiko
Shikamoo? 😁Waoooh mdogo wangu kumbe upo matured hivi na hausemi🤩🤩?
🤣🤣🤣🤣 Marahaba kama ni kweli!Shikamoo? 😁
Mjazeni tu, aki Lia hakuna leso ya kumpa 😂😃Mwiba,una siti yako special paradiso!
Mhhhh😂🤔, wewe mzee si uko 70, hiyo shikamoo vepee??Shikamoo? 😁
Hii imeenda!Tupo pamoja Mkuu.
"KATAA OMBA OMBA TUNZA KIBUNDA CHAKO".
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Wadogo zako tuko kuomba nauli ya kwenda job unaa kaza,Omba chochote kama nina kimudu nitakupa 🙂
Tulia Kijana usiwaze mpaka ukawazuaWadogo zako tuko kuomba nauli ya kwenda job unaa kaza,
Halafu mabinti una wapa grant ya any wish they have 🤔😂😃
Subiri basi mbona unakuwa hivyoooWee sema kweli😃🤔🤔
Wewe hakuna Cha nini, dawa ni kuharibu any of your so called mitegos😃😂Tulia Kijana usiwaze mpaka ukawazua