Siwezi maana huyu wangu ni mwamba, nikijaribu hata kumfinya nitachinjwa mchana kweupe. Nani anataka kufa?Usisahau, kila mwenzako ana mwenzake, na huyo mwenzako, mwenzake ni wewe, naye atafurahia ukimuwakilisha vyema..!!
Niliwahi kuekti nimezimia tena hapo nilitikiswa kidogo nikajiangusha cha kuchapika nini miyee niharibiwe reception π€£π€£π€£Kwanza mi mwenzio siwezi kabisa kumkabili mwanaume eti nipigane?hapana hamna kiumbe namuogopa Kam mwanaume akibadilika anaweza kuwa mnyama akuchane uso bure
Na ukishakandwa na minundu ya uso, na huku damu imevilia, ufizi umevimba huwezi kula wala kuongea, unajaribu kupitia kisa kizima akilini unaona kisa chenyewe hakina thamani ya mdundo uliokula..!! Unabaki kujilaumuKwanza mi mwenzio siwezi kabisa kumkabili mwanaume eti nipigane?hapana hamna kiumbe namuogopa Kam mwanaume akibadilika anaweza kuwa mnyama akuchane uso bure
Kaka angu ni mkorofi namjua wala liyah asijaribu atachapika π€£π€£π€£Unamtetea kakaako siyo..!! Atakandwa muandamane familia nzima. Halafu wa kukandwa huwa wanaona wanaingiliwa kwenye ndoa zao mkionyesha kumsaidia. Mnabaki kungoja auwawe..!!
CC Aaliyyah
Ushindwe π€£π€£π€£Kama bado, Mungu amsaidie apate mtoto wa kiume mkandwaji
Kwahiyo boya wa wengine tu ndugu mwandishi..!! AsenteUshindwe π€£π€£π€£
Kwa baba yake yule mwanangu nitakayemzaa hawezi kuwa boya
Sasa sina mudi ya kutoa, na ukiforce ndio hapo unaenda kuchukua kadi ya uwanachama mapema ππUkitoa uchi, mbona unazipata tu..!!
π€£π€£π€£π€£Sijawahi kudundwa,na sitokuja kudundwa....Niko makini sana kwenye hicho kipengeleNa ukishakandwa na midundu ya uso, na huku damu imevilia, ufizi umevimba huwezi kula wala kuongea, unajaribu kupitia kisa kizima akilini unaona kisa chenyewe hakina thamani ya mdundo uliokula..!! Unabaki kujilaumu
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Maana kasema wadundwe Hadi mishono ya mama Yao ifumuke,hakika nikahisi nyuzi zinacheza japo boy wangu bado mdogo
π€£π€£π€£π€£π€£ Smart girl!mwili ni wa Mapenzi,sio wa kupigwa...fanya lolote ila hakikisha hujapigwaNiliwahi kuekti nimezimia tena hapo nilitikiswa kidogo nikajiangusha cha kuchapika nini miyee niharibiwe reception π€£π€£π€£
Uzae na mtu umeme mdogo kichwani utegemee mwanao awe na megawatt za kutosha?? Lazima akandwe π€£π€£π€£Kwahiyo boya wa wengine tu ndugu mwandishi..!! Asente
Me nipigwe na fimbo iliyofungiwa na zipu tu!! ππππ€£π€£π€£π€£π€£ Smart girl!mwili ni wa Mapenzi,sio wa kupigwa...fanya lolote ila hakikisha hujapigwa
Matusi ya rohoni tena..!! Unatukana ukoo mzima..!!π€£π€£π€£π€£Sijawahi kudundwa,na sitokuja kudundwa....Niko makini sana kwenye hicho kipengele
Yaani nikifikiria meno yangu ya baraza yatolewe?mara jicho limevilia damu hapana Kwa kweli Niko radhi niwe mjinga mbele yake huku anakula matusi rohoni
Joannah unakijua kinachosababisha mshushiwe mikong'oto?π€£π€£π€£π€£π€£ Smart girl!mwili ni wa Mapenzi,sio wa kupigwa...fanya lolote ila hakikisha hujapigwa
π€£π€£π€£π€£Hilo suala la upungufu wa umeme linanichekesha sana....itabidi bwawa la Rufiji liharakishwe ufunguzi Ili kurescue hii Hali ya upungufu wa umemeUzae na mtu umeme mdogo kichwani utegemee mwanao awe na megawatt za kutosha?? Lazima akandwe π€£π€£π€£
Hata mara moja moja na wewe jibu...π€£π€£π€£π€£Sijawahi kudundwa,na sitokuja kudundwa....Niko makini sana kwenye hicho kipengele
Yaani nikifikiria meno yangu ya baraza yatolewe?mara jicho limevilia damu hapana Kwa kweli Niko radhi niwe mjinga mbele yake huku anakula matusi rohoni
Naanza na sura yake mpaka jirani yake huko mbwindeMatusi ya rohoni tena..!! Unatukana ukoo mzima..!!
Umeme mdogo!!! πππππUzae na mtu umeme mdogo kichwani utegemee mwanao awe na megawatt za kutosha?? Lazima akandwe π€£π€£π€£
Sema shida ni nini ujuwe Joannah, kipimio cha kiwango cha umeme hakijulikani. Wengine wanaamini uwezo wa kunyandua ndo husema kiwango cha Megawati kichwani au uwezo wa kifedha ndo husema kiwango cha Megawati za kichwani..!!π€£π€£π€£π€£Hilo suala la upungufu wa umeme linanichekesha sana....itabidi bwawa la Rufiji liharakishwe ufunguzi Ili kurescue hii Hali ya upungufu wa umeme