Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Wee hi mada umetolea wapi..???Mimi mbona siyajui hayoππ
πππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee hi mada umetolea wapi..???Mimi mbona siyajui hayoππ
Wanawake kwa asilimia kubwa mna roho mbaya sana kumzidi hata yule muovu shetwani na ibilisi.Ladies ukipata nafasi ya kumtesa mtoto wa mama mkwe kwa namna yoyote ile unatuwakilisha vyema
ππππ
Kheeee..!!! Mamdogo weweeeeeeeeeeee....!!!Ladies ukipata nafasi ya kumtesa mtoto wa mama mkwe kwa namna yoyote ile unatuwakilisha vyema
ππππ
ya kawaida mnooo...mwanaume kudeka deka.haipendezi...hao wote unaowaona hapo 100%hawana hela!..waimprove pande hizoHaya Dkt. Gwajima D
Haya matatizo unayazungumziaje
bamdogoooooKheeee..!!! Mamdogo weweeeeeeeeeeee....!!!
bado hujasemaWanawake kwa asilimia kubwa mna roho mbaya sana kumzidi hata yule muovu shetwani na ibilisi.
Dada unataka wifi awe mbabe?Wapigwe tu wajeuri sana.
Ndio nshasema yani nyie πbado hujasema
Ukileta ujeuri mdogo wangu itabidi unyukwe tu!Dada unataka wifi awe mbabe?
Uzuri si upo utakuwa unampelekea uji wodini πUkileta ujeuri mdogo wangu itabidi unyukwe tu!
Hivi katika hali ya kawaida mwanamke anakutesa vipi kwenye familia yako.? Moja ya kitu ambacho huwa najiuliza sana kinatokeaje.Wazee wameshindwa kuvumilia nafikiri ngazi ya familia lilishashindikana
Inabidi mwanamkewako akuheshimu na kukutii ndo utaepuka hayoHivi katika hali ya kawaida mwanamke anakutesa vipi kwenye familia yako.? Moja ya kitu ambacho huwa najiuliza sana kinatokeaje.
Aaah sioni namna kwakweli.