Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Umeme mdogo maana yake Poor Brain, si ni hivyo Lamomy ??Umeme mdogo!!! πππππ
Huu msamiati mpya kwangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeme mdogo maana yake Poor Brain, si ni hivyo Lamomy ??Umeme mdogo!!! πππππ
Huu msamiati mpya kwangu
Sura ya binadamu huwa inabadilika ujue?huwa najibu sura ikiwa bado Ina uanadamu,Kuna level ikifika huwa nakuwa humbleeeeeeeHata mara moja moja na wewe jibu...
Sio kukubali tu kuwa mjinga alaaaah πππππππππππππππ
πππππππ hapana hapanaUmeme mdogo maana yake Poor Brain, si ni hivyo Lamomy ??
Kwamba sura yake leo hii ni mbovu!?? Halafu alikuwa anatokea Kinondoni mara ghafra wa MbwindeNaanza na sura yake mpaka jirani yake huko mbwinde
Yaani Bora tu nimtukane,hata huyo jirani yake wa kinondoni atatukanwa tuKWamba sura yake leo hii nimbovu!?? Halafu alikuwa anatokea Kinondoni mara ghafra wa Mbwinde
ππππUmeme mdogo!!! πππππ
Huu msamiati mpya kwangu
Wewe unanitafutia vita na poor brain nishakuona πππUmeme mdogo maana yake Poor Brain, si ni hivyo Lamomy ??
KATAA NDOA sio wa wa dar tuKataa kuoa mwanamke wa dar, unaoa matatizo badala ya mwanamke.
Kataaa
Kataa
Kataaaaaaaa
π€£π€£π€£π€£ afu siku hizi wamekuwa wengi sijui kwann?π€£π€£π€£π€£Hilo suala la upungufu wa umeme linanichekesha sana....itabidi bwawa la Rufiji liharakishwe ufunguzi Ili kurescue hii Hali ya upungufu wa umeme
π€£π€£π€£Nadhani umeme mdogo ni mwanamme mwenye megawati ndogo kichwani hivyo kupelekea kuwa mzubafu kwenye sekta zote kama kunyandua na kutafuta pesaSema shida ni nini ujuwe Joannah, kipimio cha kiwango cha umeme hakijulikani. Wengine wanaamini uwezo wa kunyandua ndo husema kiwango cha Megawati kichwani au uwezo wa kifedha ndo husema kiwango cha Megawati za kichwani..!!
π€£π€£π€£π€£Mi sitaki bwanaπ€£π€£π€£π€£ afu siku hizi wamekuwa wengi sijui kwann?
Hiyo level kwa sisi wataalamu tunaitaSura ya binadamu huwa inabadilika ujue?huwa najibu sura ikiwa bado Ina uanadamu,Kuna level ikifika huwa nakuwa humbleeeeeee
Yaani mapema hata mi nishamuona...Wewe unanitafutia vita na poor brain nishakuona πππ
I know how to handle politely the state!π€£π€£Hiyo level kwa sisi wataalamu tunaita
Excited state... πππππ
Mbona mfano mzuri ni hao wanachama wa SHIWACHANDO we unaona madish yako vizuri kweli πππSema shida ni nini ujuwe Joannah, kipimio cha kiwango cha umeme hakijulikani. Wengine wanaamini uwezo wa kunyandua ndo husema kiwango cha Megawati kichwani au uwezo wa kifedha ndo husema kiwango cha Megawati za kichwani..!!
Uongezewe megawati π€£π€£π€£π€£Yaani mapema hata mi nishamuona...
Anataka kusema et nina umeme mdogo ππππππ
π€£π€£π€£π€£ T naye umeme mdogo ujueπ€£π€£π€£π€£Mi sitaki bwana