Shobo zangu zimenitia aibu, kuna wadada wana maringo sana

Kuna watu hamjitafakarigi before unaweza kuta una kitambi au umekondeana sana, hukuwa umevaa vizuri, hukuwa umenyoa vizuri, hukuwa unanukia vizuri, hukua na swagga, hukuwa na sauti nzuri, hukuwa na muonekano wa kiheshimiwa yaani kiufupi hukuwa na mbele wala nyuma.... Hapo tatizo linaweza kuwa sio shobo bali Ulionekana kama uliedata blaza 😁😁😁... Msiishiege kulaumu hawa warembo wangu wakati sometimes mnafeligi wenyewe
 
Kwanzia leo jifunze nidhamu hizi chache za kuongea ili uwe gentlemen

1. Ongea pale tu inapohitajika uongee, epuka kuongea sana ili ukiongea watu wazingatie unaongea nini
2. Salimia kwa sauti inayosikikia na usipojibiwa kaa kimya usilazimishe salam endelea na shughuli zako.
3.Mtu akikufata kukusimia kwa kukupa mkono usimpe mkono ukiwa umekaa chini simama kwanza shakehand ukiwa umesimama.
4. Ukiongea na mtu hakikisha unamuangalia machoni haijalishi yeye ni nani.
5. Ukiulizwa swali usikimbilie kuropoka kujibu hata kama unajua anachouliza tulia sekunde 3 ndo ujibu.
 
Aisee
 
Sasa utajlizaje swali la kijinga hv eti utashiba kwani akishiba au asiposhiba ww inakuhusu nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…