Sikumbuki vzr ila alikwenda kwenye Kongamano la dunia ambalo Mgeni rasmi alikuwa ni Bill Gate. Wakiwa bado wako nje ya Ukumbi Bill Gate alipita akiwa kavaa Jeans na shati (casual) akamsalimia ila Madam Ritta alimtazama tu kwa dharau na hakupokea salamu ya bilionea huyo.Huo mkasa ukoje aisee
Basi madam Hana akili naye Kwa kudharau mtuSikumbuki vzr ila alikwenda kwenye Kongamano la dunia ambalo Mgeni rasmi alikuwa ni Bill Gate. Wakiwa bado wako nje ya Ukumbi Bill Gate alipita akiwa kavaa Jeans na shati (casual) akamsalimia ila Madam Ritta alimtazama tu kwa dharau na hakupokea salamu ya bilionea huyo.
Nadhani Madam Ritta mwenyewe ali-tweet huku akijutia kutopokea salamu ya Bilionea huyo eti akijitetea ya kuwa hakumtambua sababu alivaa casual. Kwa walio na tweet hiyo wanaweza kutuwekea hapa.
Nimefika kwenye kimgahawa kimoja, nikaenda kwenye matunda nikakuta mdada ameshika sahani ya chakula.
Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda.
Kwa shobo zangu nikamwambia “ugali huo utashiba?” Nikamuuliza kama mara tatu lakini akafanya kama hasikii
Mara ya nne ni kama nikamgusa kidgo mana nikahisi labda ni kiziwi, lakini hakutaka hata kushtuka.
Ilionesha clearly kua ameamua kunilia buyu, kisha akaondoka zake, nimefandhaika na kujiona mjinga sana.
Muuza matunda kwakua ananiheshimu, kafanya kama hajaona kilichotokea.
Anyway leo nimejofunza ku balance shobo hasa kwa watu niliowajua.
Pengine alidhani namtaka kimapenzi au natafuta ukaribu nimtongoze, kumbe sina hata nia hiyo🙌🙌
Dada yameisha, mbona unakua mkali hivi?Punguza shobo na kutaka kumfahamu kila mtu, ingekuwa mi ulivyokuja kunishika ningekusindikiza na kerbu mxiewwww!!! Huna adabu
Watu wako na mambo zao kichwani ww na genye zako unaleta mazoea ya kijinga
Salamu muhimu we jamaaSasa jambo la casual mnaweka protocol kama vile job interview?
🤣🤣🤣🤣 haya poah!!Dada yameisha, mbona unakua mkali hivi?
Msimiache hadi aseme amekoma🤣🤣🤣🤣 haya poah!!
Mind your business.Nimefika kwenye kimgahawa kimoja, nikaenda kwenye matunda nikakuta mdada ameshika sahani ya chakula.
Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda.
Kwa shobo zangu nikamwambia “ugali huo utashiba?” Nikamuuliza kama mara tatu lakini akafanya kama hasikii
Mara ya nne ni kama nikamgusa kidgo mana nikahisi labda ni kiziwi, lakini hakutaka hata kushtuka.
Ilionesha clearly kua ameamua kunilia buyu, kisha akaondoka zake, nimefandhaika na kujiona mjinga sana.
Muuza matunda kwakua ananiheshimu, kafanya kama hajaona kilichotokea.
Anyway leo nimejofunza ku balance shobo hasa kwa watu niliowajua.
Pengine alidhani namtaka kimapenzi au natafuta ukaribu nimtongoze, kumbe sina hata nia hiyo🙌🙌
Mademu wapumbavu sana. Nilipotea njia siku moja nikakutana na demu, nikawa nakazana kumsimamisha ili anielekeze njia, nikawa namwita kweli lakini kanilia buyu tu. Kumbe kwa akili zake ndogo alijua nataka kumtongoza, majinga kweli haya.Nimefika kwenye kimgahawa kimoja, nikaenda kwenye matunda nikakuta mdada ameshika sahani ya chakula.
Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda.
Kwa shobo zangu nikamwambia “ugali huo utashiba?” Nikamuuliza kama mara tatu lakini akafanya kama hasikii
Mara ya nne ni kama nikamgusa kidgo mana nikahisi labda ni kiziwi, lakini hakutaka hata kushtuka.
Ilionesha clearly kua ameamua kunilia buyu, kisha akaondoka zake, nimefandhaika na kujiona mjinga sana.
Muuza matunda kwakua ananiheshimu, kafanya kama hajaona kilichotokea.
Anyway leo nimejofunza ku balance shobo hasa kwa watu niliowajua.
Pengine alidhani namtaka kimapenzi au natafuta ukaribu nimtongoze, kumbe sina hata nia hiyo🙌🙌
🤣🤣🤣Msimiache hadi aseme amekoma
Ulikosea line, ilibidi umuanzie na I love you na nina iPhone 15 ya kukupa bure. Mademu wa Kikongo ni wachovu mno, wanaishi maisha ya maigizo sana.Nimefika kwenye kimgahawa kimoja, nikaenda kwenye matunda nikakuta mdada ameshika sahani ya chakula.
Chakula kilikua kiugali kidogo kama vitonge vitatu, na vinyama huku akisusubiri matunda.
Kwa shobo zangu nikamwambia “ugali huo utashiba?” Nikamuuliza kama mara tatu lakini akafanya kama hasikii
Mara ya nne ni kama nikamgusa kidgo mana nikahisi labda ni kiziwi, lakini hakutaka hata kushtuka.
Ilionesha clearly kua ameamua kunilia buyu, kisha akaondoka zake, nimefandhaika na kujiona mjinga sana.
Muuza matunda kwakua ananiheshimu, kafanya kama hajaona kilichotokea.
Anyway leo nimejofunza ku balance shobo hasa kwa watu niliowajua.
Pengine alidhani namtaka kimapenzi au natafuta ukaribu nimtongoze, kumbe sina hata nia hiyo🙌🙌
Na hapo ungemtongoza tu angekuambia ana miezi kadhaa hajala na pia anadaiwa pango la nyumba yake ya miaka 2.Mademu wapumbavu sana. Nilipotea njia siku moja nikakutana na demu, nikawa nakazana kumsimamisha ili anielekeze njia, nikawa namwita kweli lakini kanilia buyu tu. Kumbe kwa akili zake ndogo alijua nataka kumtongoza, majinga kweli haya.