Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
Vipi hakuna kodi zimeongezeka huko? Risks za wagonjwa wenye shida ya upumuaji waielewa? Gharama za ku operate hizo ventilator halafu idadi kubwa ya wagonjwa wasipone na waliobaki washindwe kulipa gharama likoje?.