Shocking: Video inayomuonesha P Diddy akimpiga vibaya mpenzi wake Cassie yawekwa hadharani

Shocking: Video inayomuonesha P Diddy akimpiga vibaya mpenzi wake Cassie yawekwa hadharani

Umesema sahihi Mkuu, lakini kule Kwa wenzetu kitendo cha kumpiga Mwanamke namna hiyo ni abuse ya hali ya juu, hivyo anaweza kukabiliana mashtaka Mahakamani na wakati mwingine kukabiliana na campaign ya kususia biashara zake/Muziki wake

Unakumbuka kisa cha Chris Brown na aliyekuwa mpenzi wake Rihanna?

Kilichomsaidia Chris Brown ni ile hali ya kujishusha na kuomba msamaha

Otherwise lilikuwa kaburi la kumpoteza CB moja kwa moja [emoji119]
Aaah ila Chris Brown alizingua sana lile tukio. Alimpiga Rihanna vibaya sana ukitazama picha za lile tukio unakataa sio Chris Brown alifanya ule unyama. Alimpa mabanzi ya kiume kabisa mtoto wa watu akavimba plus manundu. Sijui kama hakumng'oa meno ya mbele.

Ndio maana Chris Brown alichukiwa sana na ile ndio ilimtoa kwenye game kiasi kikubwa. Chris Brown alikuwa amewakamata mashabiki sana ila lile tukio lilimshushushia points nyingi sana.
 
Binafsi sio muumini wa kipigo, hata kwenye mahusiano yangu sijawahi na ninaomba Mungu anisaidie nisije kunyanyua Mkono wangu kumpiga Mpenzi wangu hata Siku Moja

Muhimu kujifunza kujizuia hasa unapopatwa na hasira [emoji120]

Zipo namna ya kudeal na Wanawake wasumbufu/wenye midomo inayoudhi but sio Kwa kipigo. That's my belief
Kuna namna ya kumzingua demu akileta ujinga. Ila kuna viumbe hawacheki na nyani anapiga kama anauwa nyoka. Yaani mtu anatandika teke la nguvu kwa mtoto wa kike as if anapiga gunia.

Mmmmmmhmn me siwezi kibao chenyewe kila nikiwaza najikuta nashindwa kabisa. Ntaishia kumkamata mabega na uso then nitakaonea huruma maana ni vilaini kama sponji ila vina midomo yenye ulimi mkali kama kiwembe akikutamkia maneno ya shombo yana chana chana moyo hadi basi.
 
Kesi ipo. Kilichofanyika hapo ni jinai na mtu yoyote anaweza kufungua kesi kumshitaki Diddy kwa kutumia hiyo video.

Kuna kesi ya dada alikuwa amepigwa na mwanaume wake hadi mguu umefungwa hogo, baadae kesi kufika mahakamani demu akawa anakataa kuwa jamaa hajamfanyia lile tukio so ushahidi ukawa hamna.

Ila story ilipata airtime kubwa sana mitandaoni sasa kuna mtu ana biashara yake ng'ambo au opposite ya eneo tukio lilipotokea na kamera ili nasa vizuri lile tukio,kuna ka NGO kana deal na maswala ya domestic abuse walienda kwa familia ya yule dada na kuwapa video kesi ikafunguliwa upya, demu anakataa sio yeye kwenye video ili kumprotect jamaa yake.

Ila mahakama kwa kutumia ushahidi wa video wakatupilia mbali maneno ya demu kuwa si yeye na kuendelea na kesi na kumkuta jamaa ana hatia na wakatumia ushahidi wa mashuhuda wa kwanza wa kesi jamaa akachezea kifungo vizuri tu.


Sasa hapo wewe ukitazama haumuoni Diddy hapo kwenye video na huyo si ni Case.

Hata kama walisettle issues zao ila ilikuwa ni kati yao ila huu ushahidi unatumika vizuri tu kufungua mashtaka mapya na mwamba atachezea kifungo bila ubishi.
Maneno meengi lkn unaongea vitu irrelevant.

1)Diddy aliwalipa wenye hotel na kuwasainisha NDA khs hio video. (Breach) na ushahidi wwt uliopatikana kwa njia zisizo halali (kama huo) ni inadmissable kwenye court, meaning hauwezi kutumika kisheria

2)Timeframe ya kufungua hio kesi imekwisha kupita, sheria za marekani huzijui, nimeishi huko for 7years.

Narudia kusema hamna kesi hapo labda waitumie hio video kuanzisha movement tu ya kumfungulia class action kwa waathiriwa wengine (kama wapo na wana ushahidi)

Soma hapa dem boy
 
Mlokuwa mnatetea oooj weusi wanapotezwa hapo tu tumeona je ambavyo hatujaona sasa alivyokuwa anamfanyia
Yule binti kuna mengi amepitia hajayasema na ndio maana Diddy amemuwahi kisheria na kufunga nae kwa deal kali sana nasikia around 20 milioni US $ na other compensations ambazo hakumpa kwa kazi zake.

So binti alitulia kwasababu hiyo na kukaliwa nae mbali saa hii yupo na jamaa yake m'moja hivi wana mtoto nadhani.
 
Yule binti kuna mengi amepitia hajayasema na ndio maana Diddy amemuwahi kisheria na kufunga nae kwa deal kali sana nasikia around 20 milioni US $ na other compensations ambazo hakumpa kwa kazi zake.

So binti alitulia kwasababu hiyo na kukaliwa nae mbali saa hii yupo na jamaa yake m'moja hivi wana mtoto nadhani.
Nikisema diddy mtoto wa mjini hamnielewi.

Kisheria, huyo binti chcht anachokisema kiwe kweli ama sio kweli, hata aoneshe video akichunwa ngozi na diddy, tutamchukia diddy tu huku nje lkn sheria haitomfanya chcht sababu huo ushahidi hauwezi kutumika. Deal alilokula ndo linambana na amesainishwa NDAs kibao.

Marekani ushahidi wwt uliopatikana kwa njia zisizo halali, mfano 'Breaching' ya contract (kama kinachofanyika sshv) hauwezi kutumika. Unless watafute njia ya kutengua hizo contracts la sivyo hamna kesi hapo, narudia hamna kesi.

Diddy mtoto wa mjini, na ni mafia. Lkn kibaya zaidi Diddy kwenye siku zake za mwanzo kabisa alikua karibu na elites hasa pande za finance na law, kuja kumpata huyo mwamba sio rahisi.
 
Kuna namna ya kumzingua demu akileta ujinga. Ila kuna viumbe hawacheki na nyani anapiga kama anauwa nyoka. Yaani mtu anatandika teke la nguvu kwa mtoto wa kike as if anapiga gunia.

Mmmmmmhmn me siwezi kibao chenyewe kila nikiwaza najikuta nashindwa kabisa. Ntaishia kumkamata mabega na uso then nitakaonea huruma maana ni vilaini kama sponji ila vina midomo yenye ulimi mkali kama kiwembe akikutamkia maneno ya shombo yana chana chana moyo hadi basi.
Umesema sahihi Mkuu, huwezi kupigana na mtoto wa kike

You just give her a fuvk
 
Yaliyojiri hatujui mpaka akampiga hivyo tusihukumu kama vile tulikuepo vyombo vitafanya kazi huko kwao sisi tujangaike na mabarabara yetu yaliyojaa mashimo kila sehemu nchi nzimaa
Diamond aliwahi kumpiga wema kisawasawa enzi zao isingekua wema kuonyesha picha kaumuka uso wengi tusingejua.
Rihannah alishafumuliwa na CB.
Ruby alishapigwa na kussah.
Shilole alishapigwa na uchebe.
Wengi tu washapigwa ila kabla ya kuhukumu je unajua ni sbabu gani iliyonyuma ya pazia?

Kwenye ilo begi wat if kuna sensitive documents za diddy au pesa labda dem alikua ameziiba na ndo akawa kavaa pull over vile kujificha asionekane!! mtu wa ivo ukimkamata unamchumu eeh?

Kila mwanadamu nikatili ukimwingilia kwenye angle yake, hata papa alishawahi kumpiga mtu mkono akashau kuna camera sababu ya asila so iko kitu kipo ila kwanza jua sababu kisha hukumu.
 
Aaah ila Chris Brown alizingua sana lile tukio. Alimpiga Rihanna vibaya sana ukitazama picha za lile tukio unakataa sio Chris Brown alifanya ule unyama. Alimpa mabanzi ya kiume kabisa mtoto wa watu akavimba plus manundu. Sijui kama hakumng'oa meno ya mbele.

Ndio maana Chris Brown alichukiwa sana na ile ndio ilimtoa kwenye game kiasi kikubwa. Chris Brown alikuwa amewakamata mashabiki sana ila lile tukio lilimshushushia points nyingi sana.
Ndiyo maana wanasema hasira hasala.

Wanawake muda wote wanatumia silaha ya maneno na Ulimi kuweza kutuumiza, but as a Man you don't need to use so much powerful kuweza kumdhibiti.

Kama una nguvu, hakikisha unamliza Kwa bed, unampa mambo hadi alie machozi 😜 🙌

Tujitahidi kudhibiti hasira zetu by the way 🤗
 
Hata Rihanna amaesaidia sana kumsaficha Chris licha ya kichapo alicho mshushia.

Chris ashukuru sana Rihanna alikuwa akimpenda sana mpaka sasa huwa anakiri ni mpenzi wa maisha yake kama Rihanna angekuwa golddigger tu Moko ungemuwakia Chris
Yeah sure Mkuu

Ukitaka uone nguvu ya Mwanamke miaka hii ya Teknolojia, we mpige

Utaandamwa na Walimwengu hadi uone Dunia chungu

Zamani Wazee tulikuwa na msemo wetu kwamba Mwanamke anachapwa Kwa Upande wa Khanga.

Miaka hii ya Sasa, unaweza kumchapa Mwanamke na a vacation trip to Ngorongoro National park.

Kama umri wenu una ruhusu, kampatie na zawadi ya mimba huko huko, maana Kuna kuwa na Utulivu wa hali juu mkiwa kule 🤗
 
Back
Top Bottom