Chakubanga22
Member
- Nov 13, 2021
- 81
- 197
JIDANGANYEAcheni kudanganyana.....shoti kozi ya kubadili maisha.....ni kujifunza namna ya kuchukua hela kutoka mahali zilipoifadhiwa..........hapo maisha yatabadilika!!!
Mambo ya kusoma ni kupoteza mda na kuomba kuajiriwa ili muwe watumwa...!!!
Jifunzeni udukuzi wa pesa...!!
Hujakutana na drivers ehee? Walio piga short corse NIT na wakajipata??Acheni kudanganyana.....shoti kozi ya kubadili maisha.....ni kujifunza namna ya kuchukua hela kutoka mahali zilipoifadhiwa..........hapo maisha yatabadilika!!!
Mambo ya kusoma ni kupoteza mda na kuomba kuajiriwa ili muwe watumwa...!!!
Jifunzeni udukuzi wa pesa...!!
Forex TradingWakuu, habari za muda na wakati huu.
Katika harakati za maisha na kujitafuta unakuta umesoma Elimu nyingine ila mpenyo wako ulipata ulipo amua ku step up nakusoma kishort kozi kikakutoa jalalani.
Nilikua napenda nijui ni short kozi gani ziliwafungulia milango ili na sisi wengine tupate kuokota mawili matatu.
Side hustleForex Trading
Ngoja tuwe wavumilivu tutapata ufafanuzi mazeeNasubiri comments za hili swali na mimi.
It really chamged my life completely. Hata degree haijaweza fanya lolote kwenye maisha yangu but only ForexSide hustle
[emoji3][emoji3]watu hawajui kwa graundi mambo yanavopeleka motoJIDANGANYE
Ndio ni real deal nakubali ila mie naiweka kwa long term trading nafunga mzigo wa mwezi mzima no stress huku nikiwa napiga kokoto matosaIt really chamged my life completely. Hata degree haijaweza fanya lolote kwenye maisha yangu but only Forex
Tukopeshe mitaji mkuuAcheni kudanganyana.....shoti kozi ya kubadili maisha.....ni kujifunza namna ya kuchukua hela kutoka mahali zilipoifadhiwa..........hapo maisha yatabadilika!!!
Mambo ya kusoma ni kupoteza mda na kuomba kuajiriwa ili muwe watumwa...!!!
Jifunzeni udukuzi wa pesa...!!
Mkuu hii naipata wapi kuna kipindi walikuwa wanaitoa pale udom saivi naona kimya....nataka kuipiga hii kituCyber security
Kozi gani mkuu wanguKuna course nilipata pale college of informatics UDOM, basi Kila sehemu nikionyesha lile gamba imoo😂
God is always Great 🙏
Jamaa alisema veta wanatoa hii kitu nadhani ni veta kipawaMkuu hii naipata wapi kuna kipindi walikuwa wanaitoa pale udom saivi naona kimya....nataka kuipiga hii kitu
Forex kikubwa uwe na mtaji wa kuanzia 1000 unaienjoy sanaIt really chamged my life completely. Hata degree haijaweza fanya lolote kwenye maisha yangu but only Forex
1000 usd auForex kikubwa uwe na mtaji wa kuanzia 1000 unaienjoy sana
Vyovyote mkuu ni sawa ukitaka scalping ukitaka swing ni wewe tuu ha ha h piga hela kaa kimya. Kula NYAMA NYAMAZANdio ni real deal nakubali ila mie naiweka kwa long term trading nafunga mzigo wa mwezi mzima no stress huku nikiwa napiga kokoto matosa
Chukua Propfirm piga hela kikubwa uwe ma KNOWLEGDE. KULE KAMA HUNA KNOWLEDGE NI MAKOFI TUU UTANUNUA ACCOUNT MPAKA MAJI UITE MMA...Forex kikubwa uwe na mtaji wa kuanzia 1000 unaienjoy sana
Yeah halafu utembee lot size 0.04 order 5 tu hiyo risk management huwa naienjoy sana1000 usd au
Sio hesabu Tu 😂 kuna code's ambazo zinahuitaji wa algorithms, Mzee inabidi upambane haswaShukrani mkuu, Cyber security hata sisi wa KLF tunapiga au hesabu zitakua nyingi pia chuo gani wanatoa
Kumbe naweza nikayakanyaga[emoji3]Sio hesabu Tu [emoji23] kuna code's ambazo zinahuitaji wa algorithms, Mzee inabidi upambane haswa
Ni kukomaa tu mpaka kieleweke.Naam mkuu nipo matosa napakia Kokoto na mchanga na wahuni hakika sikosi ya kula, kwa graundi mambo magum sana [emoji3]